johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sababu za kusitisha mahojiano mnazijua.Mpumbavu ni wewe ni huyo Lisu wenu.Naukiza tena huyo akianza kutishia media za watu,nani ataenda kufanya coverage ya habari zenu?
Mpumbavu ni wewe ni huyo Lisu wenu.Naukiza tena huyo akianza kutishia media za watu,nani ataenda kufanya coverage ya habari zenu?
Alipaswa aalikwe liniNi swali rahisi sana Lakini ni gumu vile vile
Nawatakia mchana mwema 😂
Nani anatishia media na ushahidi mbao? Kama mnajua si mkashitaki anaewatishia badala ya kushitaki aliyetishika au?Kwani tatizo ni hizo media, ni media gani inatishiwa na mtu asiye na silaha? Ama unadhani hatujui nani anatishia media?
Umewaza nilichowazq, yanaweza kumkuta ya Absalom Kibanda. Watu hawako tayari kupoteza madaraka, na kitendo Cha kumpa Lisu coverage ni kutaka kuharibu madaraka Yao.Hando ajiangalie sana tena sana
Kwani lazima mhojiwe? Ndio wanazijuaSababu za kusitisha mahojiano mnazijua.
Acha pambio
Hao wanaotishia media ndio hutishia sehemu za kupatia hakiNani anatishia media na ushahidi mbao? Kama mnajua si mkashitaki anaewatishia badala ya kushitaki aliyetishika au?
Kwanini wanafanya KAZI pamoja??Ni swali rahisi sana Lakini ni gumu vile vile
Nawatakia mchana mwema 😂
Wananchi mtafanya nini? Wananchi wapumbavu wa hii nchi huwa hamna mchango serious kwenye mabadiliko,mnasubiri wachache wafanye muanze kuwacheka na kuwatukana,mangapi yameletwa kwa wananchi na mmebaki kucheka cheka tuNdio muone sasa umuhimu wa kuwa na VYOMBO vyenu vya HABARI... mnaweza kusema ohoo havitosajiliwa, sawa ILA mlishajaribu kuomba kwa kufuata TARATIBU zote?..
Ombeni kwa kufuata taratibu zote, wakikataa, NJOONI kwa Wananchi
Kama anajikuta anapenda harakati ni Bora aende huko upinzani rasmi,huko kwingine hata kazi anaweza poteza na WA kumsaidia asiwepo Kwa sababu anakuwa partial badala ya kuchukua upande.Hando ajiangalie sana tena sana
Mpuuzi huyu ,kwa wasafi amekeza shilingi ngapi ?Si wameweka hayo kwenye Barua yao. Eti Wametushitaki U.N 🤯 😂.
Nasikia kagoma kuondoka huko mpaka kieleweke.
Kaamua kufanya Uvamizi wake. C'mon
kwa nini alialikwa?Kwani lazima mhojiwe? Ndio wanazijua
Hivi wewe,kwa nini kuna muda unabisha kwa kutumia kiuno?Kwani lazima mhojiwe? Ndio wanazijua
Ndio mualiko umesitishwa na sababu mumepewa sepeni ,mnalazimisha nini labda.kwa nini alialikwa?
kwa nini alialikwa?
Mbona nyie mnatumia miguu kulazimisha hoja? Maandamano ya kwenda UN yamewapa Katiba?Hivi wewe,kwa nini kuna muda unabisha kwa kutumia kiuno?