Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #81
Naam ilikuwa sio powa mgahawa hule jina lake ulinifanya na mgahawa wangu ni uite jina hilo hadi sehemu yangu ya kuuza movie ina jina hilo piaLos polos hermanos 💀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam ilikuwa sio powa mgahawa hule jina lake ulinifanya na mgahawa wangu ni uite jina hilo hadi sehemu yangu ya kuuza movie ina jina hilo piaLos polos hermanos 💀
Kabisa kaka naunga mkono hojaMzungu alikaa kwa kutulia kwenye hizi vyuma.
Tier 1 BB,Wire.
Tier 2 GoT, Vurumai za vita Series aka 24, Homeland
Naomba wakorea msikomenti. Hii ligi ni elite
Jesse ni kiaziJesse Pinkman [emoji23][emoji23]
Hii season kuna scenes hua nacheka sana, unakumbuka season 1 sikumbuki episode ipi Jesse alipanda kwenye jabali kuangalia kama kuna makazi ya watu. Mr White akamuuliza kuna makazi ya watu jirani? Jesse akajibu kuwa yako mbali ila anachokiona ni "cow house"
White: What Did you see?
Jesse: Nothing except cow house
White: What?
Jesse: The cow... Where do they live
White: kwa sauti ya chini... "cow house.. God help
[emoji23][emoji23]
Chimbo wapi hilo nije niichukue House of CardsNaam ilikuwa sio powa mgahawa hule jina lake ulinifanya na mgahawa wangu ni uite jina hilo hadi sehemu yangu ya kuuza movie ina jina hilo pia
Kabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yakeTatizo wengi wamezoea movies au series zinazohusu drug business kuwa na vurugu za mabunduki, ukatili, mauaji n.k. toka mwanzo. Breaking Bad haianzi hivyo. Episodes za mwanzo za BB zinakupa background ya kwa nini na kwa vipi Walter White alibadilika toka kuwa mwalimu, mume na baba wa familia na kuwa mfanyabiashara wa drugs na mtu katili.
Na ndio main theme ya BB, the transformation of Walter White from a loving husband and father to a vicious drug lord. Usipotaka kuangalia mwanzoni ukataka kukimbilia kwenye vurugu utakosa misingi ya hiyo series. Unless huwa unapenda kuona vurugu tu bila kujali stori inayosimuliwa.
Ni congo DRC kakaChimbo wapi hilo nije niichukue House of Cards
Kile kipande nili lia sanaKabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yake
Kuna kipande Jesse anafukuzwa mjengoni.. akaenda kwa jamaa yake apewe hifadhi ajipange, mwamba kamwambia safi tu sio case... Ha ha mke wa jamaa alivyorudi kibao kikabadilika aisee yule jamaa nilim-maindi
Picha linaanza alivyotoka room kuongea na mke wake... Kwanza jamaa akawa anajichekesha nakumbuka alimwambia Jesse...man you gonna kill me... Kilichofuta Jesse ikabidi abebe box lake aondoke huku anajipa moyo kuwa ana wana kibao mshkaji asiwaze
😂Kabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yake
Kuna kipande Jesse anafukuzwa mjengoni.. akaenda kwa jamaa yake apewe hifadhi ajipange, mwamba kamwambia safi tu sio case... Ha ha mke wa jamaa alivyorudi kibao kikabadilika aisee yule jamaa nilim-maindi
Picha linaanza alivyotoka room kuongea na mke wake... Kwanza jamaa akawa anajichekesha nakumbuka alimwambia Jesse...man you gonna kill me... Kilichofuta Jesse ikabidi abebe box lake aondoke huku anajipa moyo kuwa ana wana kibao mshkaji asiwaze
Mzee wa Yo ha haJesse ni kiazi
Hatari ndio ile wanasema siku ya kufa nyani miti yote inateleza...alimpigia simu mwanae Baja napo akaangukia pua.. mwisho akaenda kulala kwenye lile basi na hapo kachafuka full kunuka nnyaKile kipande nili lia sana
Hatari ndio ile wanasema siku ya kufa nyani miti yote inateleza...alimpigia simu mwanae Baja napo akaangukia pua.. mwisho akaenda kulala kwenye lile basi na hapo kachafuka full kunuka nnya
Ha ha jamaa mtata sana Skylar hana hamu naeView attachment 2774696
Mwamba yo[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Kabisa yaaniHa ha jamaa mtata sana Skylar hana hamu nae
Yes, hakunaga kama GOT. Storylime and dialogueGame of thrones.
Tommy shelby (peak blinders)Mzungu alikaa kwa kutulia kwenye hizi vyuma.
Tier 1 BB,Wire.
Tier 2 GoT, Vurumai za vita Series aka 24, Homeland
Naomba wakorea msikomenti. Hii ligi ni elite
Mi naona mwanzo mwisho iko vizuri sanaa au labda kwa sababu napenda kucheka.Kabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yake
Kuna kipande Jesse anafukuzwa mjengoni.. akaenda kwa jamaa yake apewe hifadhi ajipange, mwamba kamwambia safi tu sio case... Ha ha mke wa jamaa alivyorudi kibao kikabadilika aisee yule jamaa nilim-maindi
Picha linaanza alivyotoka room kuongea na mke wake... Kwanza jamaa akawa anajichekesha nakumbuka alimwambia Jesse...man you gonna kill me... Kilichofuta Jesse ikabidi abebe box lake aondoke huku anajipa moyo kuwa ana wana kibao mshkaji asiwaze
Ha ha haaa. Mkuu umenikumbusha hiyo kitu.Kabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yake
Kuna kipande Jesse anafukuzwa mjengoni.. akaenda kwa jamaa yake apewe hifadhi ajipange, mwamba kamwambia safi tu sio case... Ha ha mke wa jamaa alivyorudi kibao kikabadilika aisee yule jamaa nilim-maindi
Picha linaanza alivyotoka room kuongea na mke wake... Kwanza jamaa akawa anajichekesha nakumbuka alimwambia Jesse...man you gonna kill me... Kilichofuta Jesse ikabidi abebe box lake aondoke huku anajipa moyo kuwa ana wana kibao mshkaji asiwaze