Ipi ni season bora ya muda wote kati ya hizi mbili

Ipi ni season bora ya muda wote kati ya hizi mbili

Ipi ni series pendwa

  • Breaking bad

    Votes: 14 53.8%
  • Games of thrones

    Votes: 13 50.0%

  • Total voters
    26
Jesse Pinkman [emoji23][emoji23]
Hii season kuna scenes hua nacheka sana, unakumbuka season 1 sikumbuki episode ipi Jesse alipanda kwenye jabali kuangalia kama kuna makazi ya watu. Mr White akamuuliza kuna makazi ya watu jirani? Jesse akajibu kuwa yako mbali ila anachokiona ni "cow house"

White: What Did you see?
Jesse: Nothing except cow house
White: What?
Jesse: The cow... Where do they live

White: kwa sauti ya chini... "cow house.. God help
[emoji23][emoji23]
Jesse ni kiazi
 
Tatizo wengi wamezoea movies au series zinazohusu drug business kuwa na vurugu za mabunduki, ukatili, mauaji n.k. toka mwanzo. Breaking Bad haianzi hivyo. Episodes za mwanzo za BB zinakupa background ya kwa nini na kwa vipi Walter White alibadilika toka kuwa mwalimu, mume na baba wa familia na kuwa mfanyabiashara wa drugs na mtu katili.

Na ndio main theme ya BB, the transformation of Walter White from a loving husband and father to a vicious drug lord. Usipotaka kuangalia mwanzoni ukataka kukimbilia kwenye vurugu utakosa misingi ya hiyo series. Unless huwa unapenda kuona vurugu tu bila kujali stori inayosimuliwa.
Kabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yake

Kuna kipande Jesse anafukuzwa mjengoni.. akaenda kwa jamaa yake apewe hifadhi ajipange, mwamba kamwambia safi tu sio case... Ha ha mke wa jamaa alivyorudi kibao kikabadilika aisee yule jamaa nilim-maindi

Picha linaanza alivyotoka room kuongea na mke wake... Kwanza jamaa akawa anajichekesha nakumbuka alimwambia Jesse...man you gonna kill me... Kilichofuta Jesse ikabidi abebe box lake aondoke huku anajipa moyo kuwa ana wana kibao mshkaji asiwaze
 
Kabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yake

Kuna kipande Jesse anafukuzwa mjengoni.. akaenda kwa jamaa yake apewe hifadhi ajipange, mwamba kamwambia safi tu sio case... Ha ha mke wa jamaa alivyorudi kibao kikabadilika aisee yule jamaa nilim-maindi

Picha linaanza alivyotoka room kuongea na mke wake... Kwanza jamaa akawa anajichekesha nakumbuka alimwambia Jesse...man you gonna kill me... Kilichofuta Jesse ikabidi abebe box lake aondoke huku anajipa moyo kuwa ana wana kibao mshkaji asiwaze
Kile kipande nili lia sana
 
Kabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yake

Kuna kipande Jesse anafukuzwa mjengoni.. akaenda kwa jamaa yake apewe hifadhi ajipange, mwamba kamwambia safi tu sio case... Ha ha mke wa jamaa alivyorudi kibao kikabadilika aisee yule jamaa nilim-maindi

Picha linaanza alivyotoka room kuongea na mke wake... Kwanza jamaa akawa anajichekesha nakumbuka alimwambia Jesse...man you gonna kill me... Kilichofuta Jesse ikabidi abebe box lake aondoke huku anajipa moyo kuwa ana wana kibao mshkaji asiwaze
😂
 
Hatari ndio ile wanasema siku ya kufa nyani miti yote inateleza...alimpigia simu mwanae Baja napo akaangukia pua.. mwisho akaenda kulala kwenye lile basi na hapo kachafuka full kunuka nnya
20230509_115314.jpg

Mwamba yo😂🤣🤣
 
Mzungu alikaa kwa kutulia kwenye hizi vyuma.
Tier 1 BB,Wire.
Tier 2 GoT, Vurumai za vita Series aka 24, Homeland

Naomba wakorea msikomenti. Hii ligi ni elite
Tommy shelby (peak blinders)
Duuuu life style lake naona kama diamond platinum anavyokusanya ndg zake katika kutafuta hela....sumaku (warembo wote mjini kawala)
NB.
Na wish na sisi tungekua na mavifaaa,pesa na waigizaji wazuri wamuigize (Simba) litakua bonge la pichaaa.
 
Kabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yake

Kuna kipande Jesse anafukuzwa mjengoni.. akaenda kwa jamaa yake apewe hifadhi ajipange, mwamba kamwambia safi tu sio case... Ha ha mke wa jamaa alivyorudi kibao kikabadilika aisee yule jamaa nilim-maindi

Picha linaanza alivyotoka room kuongea na mke wake... Kwanza jamaa akawa anajichekesha nakumbuka alimwambia Jesse...man you gonna kill me... Kilichofuta Jesse ikabidi abebe box lake aondoke huku anajipa moyo kuwa ana wana kibao mshkaji asiwaze
Mi naona mwanzo mwisho iko vizuri sanaa au labda kwa sababu napenda kucheka.

Wanafanya mauaji lakini in comedy way ,😂😂😂😂nyamera akafanikiwa kuwatoroka.....jesse kutumwa vifaaa vya kuweka asidi Ili wapoteze ushahidi kaleta vidogo akaamua kutumia bathtub likayeyuka yaaaaan 😂😂😂😂😂m ntairudia siiichoki.
 
Kabisa hii muvi inavyoanza unaweza kuidiss kumbe kadiri inavyoendelea inakuwa moto.. kuna yule mke wa Henk yule dada ameichezea vyema nafasi yake

Kuna kipande Jesse anafukuzwa mjengoni.. akaenda kwa jamaa yake apewe hifadhi ajipange, mwamba kamwambia safi tu sio case... Ha ha mke wa jamaa alivyorudi kibao kikabadilika aisee yule jamaa nilim-maindi

Picha linaanza alivyotoka room kuongea na mke wake... Kwanza jamaa akawa anajichekesha nakumbuka alimwambia Jesse...man you gonna kill me... Kilichofuta Jesse ikabidi abebe box lake aondoke huku anajipa moyo kuwa ana wana kibao mshkaji asiwaze
Ha ha haaa. Mkuu umenikumbusha hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom