Iran imetangaza kulipiza tena Kisasi kwa Israel baada ya shambulizi huko Syria

Iran ikilipa kisasi israel sasa inaondoka na ayatollah mwenyewe
 
I think i should read again THE BIBLE BOOK OF DANIEL...
 
Mavi yanagonga chupi huko TelAviv,katoka raisi so akiuawa ayatollah atawekwa mwingine,Ila vinu lazima viitike mji ambao hiyo ndege imetokea
😂😂😂 Ndoto za mchana
 
Dah majenerali wa Iran wanauliwa uliwa na Israel kirahisi rahisi tu kama kuku....
 
Huwezi kumaliza mfumo kwa kuondoa mtu.

Unaua mtu anaingia mtu

Sasa usiombee kikaingia kichwa hatari kuliko kilichopita!
 
Mkuu wewe umetokea jamii za wakeketaji
Katika maisha yangu nilishatembea na mwanamke mmoja tu wakipare..
Aisee ukeketaji unamdhulumu mwanamke haki yake ya kufaidi maisha.
Sikurudia Mara ya pili.
It was tasteless.
 
unadhani kanisani kuna kuropoka ovyo kama huko kwa mtoro?
Na mitusi juu🙌🙌🙌.
Kor 1:25
Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…