Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Tahadhari kuwepo haimaanishi kuwa huwezi kushambuliwa kwa sababu ya Nyuklia zako.Nimemaanisha nchi yenye nuclear power haiwezi vamiwa tu kizembe. Kuna tahadhari kubwa sana inachukuliwa
Unajifariji tu. Vita sio kama mpira wa ndondo🤣🤣🤣 Sio kwa iran mzee USA mwenyewe alibutuliwa kambi zake na alitulia huyo Israel yy anachokoza ugomvi anajua bwnake atamsaidia
Kipindi gani unakizungumzia maana historia ya NK ni ndefuKwa nini us hakumpiga North Korea kipindi wanavutana ?
North Korea alikuwa anajivunia nini vile?
nyie Kajamba nani shangilieni, wese mtauziwa lita sh 6000/ na muanze kulia lia, mnashangilia ujinga, kichwani mmejaza Kamasi?Zipigwe pachangamke.
Anayetaka kujupiga haongei sana unashtukia tu kitu kizito kimetua miguu juu kichwa chini.
Ondoa neno hovyo hovyo maana sijasema hivyo.Tahadhari kuwepo haimaanishi kuwa huwezi kushambuliwa kwa sababu ya Nyuklia zako.
Nyuklia haitumiwi hovyo hovyo kama mabomu mengine tu
Israel halazi damu akipgwa kwake na huku Hezbollah anapga kila siku makombora raia wake wa kaskazini wote wamekimbiaManeno meeeengi, Israel tayari keshasukuma kete, zamu ya Iran.
Hajui apige wapi ili vita isije nchi kwake.....
Sana sana hatapiga ndani ya Israel maana Israel huwa halazi damu kabisa, kajipanga....
Kazi kwetu tujiandae kununua mafuta kwa 10000.
Maana hii vita lazima US ataingilia na akiingilia Homuz hapapitiki tena
Soma vizuri, ni bingw wa intelijensia duniani ndio kasema hayo, kuwa iran inajipanga kufanya yake. Tusubiri tuone kama kweli au bingwa wa intelijensia kaingia chaka.Anayetaka kujupiga haongei sana unashtukia tu kitu kizito kimetua miguu juu kichwa chini.
Nawe upo tayari kutupiwa hizo Nyuklia inabidi ujiulize hilo swali kabla ya kuchukua uamuzi unaotaka kuchukuaOndoa neno hovyo hovyo maana sijasema hivyo.
Mfano umenivamia na naona kabisa unaenda kuniangamia, je nitakuacha uniangamize kwa vile sheria hairuhusu kutumia nuclear?
We ni mjinga, ulitaka Irani kwenye naandamano yao atumie hadi Nyambizi kutuliza waandamanaji? Kule USA wanadamanaji wakiandamana Marekani itatumia zile F22 kutuliza waandamanaji? fuvu umejaza kamasi au ubongo?Iran haina uwezo wa kivita ndani tu ya Iran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu
Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.
Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.
Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?
Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani
Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran
Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran
Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua
Mwambieni huyo Ayatollah aache maneno apige Israel aone muziki wake wapenda Iran mje kuanza kulia lia hunu kuwa anaua wanawake na vitoto vichanga vya Iran na raia wasio na hatia kama mnavyolia Gaza wakati Hamas ndio walichokoza
Israel inamsubiri Iran kwa hamu sana aingie kwenye anga zao.Wamekuwa wakimsubiri muda mrefu ili wamuonyeshe cha mtema kuni
huyo kwemye fuvu kajaza kamasi hakuna kitu hapoBasi Unajiona unaijua Iran
Kweli Bongo Nyoso
sasa kwanini wanamchokoza Iran mzee wa kiwese?.nyie Kajamba nani shangilieni, wese mtauziwa lita sh 6000/ na muanze kulia lia, mnashangilia ujinga, kichwani mmejaza Kamasi?
Mimi sina cha kupoteza maana hata nisipokutupia bado utaniangamiza. Bora nitupe maana hapa tunaongelea kujiokoa au kuangamia.Nawe upo tayari kutupiwa hizo Nyuklia inabidi ujiulize hilo swali kabla ya kuchukua uamuzi unaotaka kuchukua
Mkuu una gubuIran haina uwezo wa kivita ndani tu ya Iran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu
Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.
Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.
Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?
Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani
Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran
Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran
Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua
Mwambieni huyo Ayatollah aache maneno apige Israel aone muziki wake wapenda Iran mje kuanza kulia lia hunu kuwa anaua wanawake na vitoto vichanga vya Iran na raia wasio na hatia kama mnavyolia Gaza wakati Hamas ndio walichokoza
Israel inamsubiri Iran kwa hamu sana aingie kwenye anga zao.Wamekuwa wakimsubiri muda mrefu ili wamuonyeshe cha mtema kuni
Ni nukta nzuri lakini tujaribu kuyafikiria haya!Haimiliki. Imepambana sana kutengeneza lakini anakwamishwa.
Hii imekaa vizuri mno. Tungoje tuone mtu-mvaa kobazi akiomba poo.Iran haina uwezo wa kivita ndani tu ya Iran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu
Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.
Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.
Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?
Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani
Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran
Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran
Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua
Mwambieni huyo Ayatollah aache maneno apige Israel aone muziki wake wapenda Iran mje kuanza kulia lia hunu kuwa anaua wanawake na vitoto vichanga vya Iran na raia wasio na hatia kama mnavyolia Gaza wakati Hamas ndio walichokoza
Israel inamsubiri Iran kwa hamu sana aingie kwenye anga zao.Wamekuwa wakimsubiri muda mrefu ili wamuonyeshe cha mtema kuni
Udiniiiiii ,hapa ndipo Naona Umuhimu wa Mwana Jf KirangaIran haina uwezo wa kivita ndani tu ya Iran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu
Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.
Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.
Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?
Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani
Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran
Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran
Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua
Mwambieni huyo Ayatollah aache maneno apige Israel aone muziki wake wapenda Iran mje kuanza kulia lia hunu kuwa anaua wanawake na vitoto vichanga vya Iran na raia wasio na hatia kama mnavyolia Gaza wakati Hamas ndio walichokoza
Israel inamsubiri Iran kwa hamu sana aingie kwenye anga zao.Wamekuwa wakimsubiri muda mrefu ili wamuonyeshe cha mtema kuni
Usisahau na maarabu na mashoga wenzao IOCHii vita ya 3 haikwepeki ,ni suala la muda tu
Washenzi wamekuwa wengi , mazayuni na mashoga wenzao wa EU na America ni tatizo