Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Iran mkubwa wewe , hapo ndio utaona israel hana uwezo 😀 😀 😀Kikubwa Iran imeshambuliwa huo ni ujumbe tosha
Kombora likidakwa na air defence system huwa halitoi mlipukoDuuuh apo Jana Israel ilifanya mashambulizi ya kulipiza kisasi nchini Iran apo Jana usiku katika mashambulizi hayo ya makombora ambayo makombora yote ya Israel yaliyopigwa Jana yalizuiwa na mfumo wq air defence system WA Iran bavar,
Hili shambulio halijaleta madhara yoyote zaidi Tu ya kuleta Moshi mzito huko Tehran
Hakikaa Israel anamuogopa sana Iran wala hajapiga nyuklia facilities,
Sasa Iran umesema itajibu mara KUmi huku ukiwa na taarifa kuwa Iran Iran kurusha missiles 1000 apo kesho Iran za hypersonic missles huko tel Aviv
Basi Iran ndiyo mbabe, Marekani na Israel hakuna kitu.Hii sasa ni dhahiri Israel ni muoga kupitiliza yaani hicho kisasi ni kichekesho hata kwa mtu asiyefuatilia mgogoro huu.
Iran wakati anaichapa Israel dunia nzima ilikuwa attention maana vyuma vilirushwa direct from Iran hadi Israel na vyuma vikapiga target vizuri kabisa.
Lakini Israel na Marekani kwa kufuta aibu wakatuma vijindege karibu na Iran eti virushe vimondo ili mradi tu kuondoa aibu ya kuambiwa wameshindwa kujibu.
Kwahiyo Israel na Marekani wamekaa siku 25 kujiandaa kujibu shambulizi ndiyo wakaja na hiki kituko cha karne kweli?😂😂😂
Sijui nijulisheKilicholipuliwa ni nini?
Unajua nchi hii ina watu wengi wagonjwa wa akiliWanataka kuona Iran ikirusha vikombora vyake basi kesho yake Israel nayo ijibu.
Haya siyo mambo ya vigodoro vya Mwananyamala Kisiwani.
Mbona haueleweki ndugu.Akijibu wanaume wanamalizana nae.
Mara akishambuliwa wanaume wanamalizana nae, mara hawezi kujibu na ishu imeshapita.So mzigo umepita. Iran hatajibu na ishu imepita hiyo.
Inaonyesha hata zile za kukusaidia kujisafisha kule hamnzo kabisa🤣🤣🤣Hii sasa ni dhahiri Israel ni muoga kupitiliza yaani hicho kisasi ni kichekesho hata kwa mtu asiyefuatilia mgogoro huu.
Iran wakati anaichapa Israel dunia nzima ilikuwa attention maana vyuma vilirushwa direct from Iran hadi Israel na vyuma vikapiga target vizuri kabisa.
Lakini Israel na Marekani kwa kufuta aibu wakatuma vijindege karibu na Iran eti virushe vimondo ili mradi tu kuondoa aibu ya kuambiwa wameshindwa kujibu.
Kwahiyo Israel na Marekani wamekaa siku 25 kujiandaa kujibu shambulizi ndiyo wakaja na hiki kituko cha karne kweli?😂😂😂
silaha za marekani ni zakitoto sana 🤫🤫🤫Hao ndio shia bhana , vitu vinapanguliwa kama utoto ...Israel anajitahidi kuwapa moyo wanaoamini ni taifa la Mungu ...Piga visima vya mafuta na nuclear sites huone sio unatumia vikoroketi . 😀 😀 😀
View: https://x.com/tariqtramboo/status/1850011134595674327
Hiyo milipuko ilikuwa yanini hapo Tehran kama makombora yalipanguliwa?Yaani zimepanguliwa kama mtoto hata kufika level ya chini hazijafika ....Israel analinda heshima maana atawaangusha wanaomini ni taifa la Mungu ila hana kitu .
Angalia hapo Iran kwake na israel alivypigwa ..Mpaka sasa Iran 3 - 0 israel
Bado wanafanyia orientation namna ya kuyatumiaWhere are the S400? Urus kamuuingiza chaka muajemi.
Na siyo Iran tu mwamba mteule kashusha vitu vizito pia Syria.
Halafu yeye harushi vimondo hovyo hovyo yeye kapiga precise strike target maamae.
Kwa masaa Israel inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.
JESUS AND ISRAEL FOREVER
Biashara hiyo watanunua huo mfumo .Si
Laha za marekani ni zakitoto sana 🤫🤫🤫
Kwani wewe huoni hata kwenye video inasikika , ulizani kuyapangua ni kufanyaje !? Yanalipuliwa juu ili yasipige target hata mabaki yake yanaanguka kama ulikuwa hujui .Hiyo milipuko ilikuwa yanini hapo Tehran kama makombora yalipanguliwa?
Jamaa kwa kujifariji hamjambo, tokalini makombora yakapanguliwa ardhini, video zimeonyesha vyuma vikitua ardhini, tuonyeshe huo mfumo wa ulinzi ulivyopangua hayo makomboraAise Iran ni dunia nyingine wajameni.
Hapa naangalia kupitia televisheni vijikombora vilikuwa vinamezwa kama chatu anavyomeza wanyama wadogo wadogo.
Huu mfumo wa ulinzi alionao Iran utauzika sana ulimwenguni kote hata Mazayuni, Marekani na ulaya yote kwa vyovyote vile wanautamani na lazima waibe teknolojia iliyotumika kuundwa kwake.
Propaganda tu hawana walikuwa wanatishia nyau tuHivi ile mitambo ya kuona adui kabla hajashambuli ile alipewa na Russia ilikuwa imesinzia jana?
Kama houthi wamezuia melli zote za US,UK na Israel pale red Sea ndio Iran ashindwe?Hana uwezo huo, Ayatollah asali ili Republican wasichukue nchi maana watamfanya mbaya kuliko Saddam Hussein