msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 683
- 551
Tulieni hivyohivyo Dawa iwaingie, mlisema IDF hawawezi sogea Iran, sasa anga yote iko chini ya Mazayuni mmake.Netanyahu anachofanya ni kujitafutia matatizo, hapo alipo kwake amekimbia kwa kukoswa na drone la hezbollah lililopiga nyumba yake, haijulikani anaishi lodge au hostel halafu bado anachokoza tena Tehran.
Lakini IDF waesema wanalenga military targets, hawezi kuleta ule usenge wake kwenda kupiga raia, tena hapo USA kawaambia msithubutu kuua raia yeyote wa Iran, kupiga visima vya mafuta ama nuclear facilities...
Ninasoma muda huu USA inasema haihusiki na mashambulizi nchini Iran...🤣
Iran sio Hezbollah.Mlisema hivi hivi kwa hizbullah
Mzee si tule makande yetu hapa hawa white people ni wasenge wote ni ujinga wa hali ya juu kwa miafrika kufuatilia hiz mambo wakati hapa Sudan na congo blacks wanauana ila hiz madea zipo kimya.Hahaha we unajua Nyau yuko wapi sasa hivi
View: https://youtu.be/rL2a4_RGrHs?si=d05Geazwz_p3jSgX
Iran wanasema hakuna missiles zimefika kwenye target hizo za mana kweli inasemekana kuna badhi ya madhara yako lakini sio hata ya kuhitaji Rescue.
Israel anasema kuna second wave inanza wacha tuone atakacho fanya mwanzo hamna lolote.
Je Israel kajianda kipigo kinakuja THAAD haita msaidia kitu.
We kaa Zanzibar hapo hujitambui. Hiv hapo Sudan kwanini hampasemei au wale sio waislamNaona upeo wako wa kufikiri ndipo ulipoishia.
Hakuba jipya haoa, kobdoo tu wamejaa wanaharisha na kunya kunya hovyo.
Akili ya madrasa haiwezi kuukomboa ulimwengu.Ita mhadhara ulinganie dini yako sisi tunashuhudia muajemi akichapika
Ayatollah mkuuSource?..
Mzee si tule makande yetu hapa hawa white people ni wasenge wote ni ujinga wa hali ya juu kwa miafrika kufuatilia hiz mambo wakati hapa Sudan na congo blacks wanauana ila hiz madea zipo kimya.
Hapo hamna retaliation, ni upuuzi tu...Kweli wamepiga lakini kuna makubaliano / ishara kabla:
Walikwisha onywa ilikiwa watapiga vituo vya mafuta au nuclear au makazi ya viongozi wao , Iran lazima itajibu. Na ilishawapa onyo itafanya nini.
Na ikiwa vijutuo vya kijeshi hafifu Iran inaweza isijibu maana inakuwa haina maana kujibu vita vikubwa vitavuka.
Na wanalijua kuwa waja maana Iran Iraq walifunga jana kabla mipaka yao hadi kesho saa 5 asubuhi. Hii ni ping pong iliyosettiwa,
Amerika ndio yakwanza kusema haikuhusika. Lakini unafiki wao unajulikana amlinda mbwa wake kwa thamani yoyote kwa maana yeye anaamrishwa na mbwa huyo huyo 😂.
Wengine wanamwita mteule🤷🏾♂️
Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream? Wewe unaulizwa jina lako nani, unaanza kujibu "mimi naishi kibong'oto".
, hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Au ndiyo ukondoo wenyewe huo?
Ndio.Hapo hamna retaliation, ni upuuzi tu...
Na mie niliona Blinken alivyoondoka Israel na Israel ikafanya retaliation , ina maana kuna kitu US na ISrael walipanga juu ya hili.
Yaani unajua kabisa huyu dogo ni mtoto wa Jenerali halafu unamletea ubabe unamtia makonzi. Halafu dingi akiingilia kati unanza kujiliza.Kumbe ni Marekani inamlipia kisasi Israel halafu sisi tunaisifia Israel kuwa ni mwamba
Mgogoro wa Israel na Iran ni wa miaka mingi. Kwanini tusiamini labda anataka kumaliza tatizo once and for all?Dunia hii ilivyo na mambo mengi chini ya kapeti, ukute hapo walishafikia makubaliano pande mbili na kuihusisha Russia kuwa Iran iwape baadhi ya target zao za kijeshi wazipige ili kulimaliza hili suala na ionekane KISASI KIMELIPWA. Haiingii akilini taifa kama Israel lipigwe halafu eti iwachukuwe karibia mwezi kujipanga kulipa kisasi. Israel tunayoijua hujibu papo kwa papo.
Hii ya kusubiria muda wote huo ninaamini kulikuwa na majadiliano ya pande mbili yalikuwa yakiendelea.
Asubuhi tutajua Allah katoa bikira ngapi zamu hiiUteule feki unatambisha😂
Lakini Trump ndiye aliyesababisha US Air force wakamlenga Qasem Suleiman, na Iran ikapiga kambi za US pale Iraq kama retaliation...Pamoja na ‘wehu’ wake, kipindi akiwa madarakani hakukuwa na hizi vita. Huu ni ukweli, hata kama haukupendezi.
Chini ya Biden/ Harris, vita kila kona.
Ni vizuri kwenda na hali halisi kuliko hypotheticals.
Sahihi kabisaaaHapo Israel ni profile picture ana ye chat ni USA na EU.
Sasa zamu yao iran😃
Hii picha ni mashabulizi ya Iran Oct 1 nchini Israel, wananchi wamejificha kwenye mahandaki wanaona kama mwisho wa dunia umefika...
Ngoja tusubiri waajemi watasemaje lakini kilichofanyika na jeshi la wateule ni kichekesho.Kwanza US ndio kahusika tulia uone warabu wa Gulf state watakavyo bamizwa pili Hakuna madhara sana ndege zimeishia nje ya mpaka zimerusha missiles karibu zote zimeangushwa wave zote mbili hakuna walicho fanya
View: https://youtu.be/kGyhCSNUnc4?si=_8dJEZfoN4SFPA1c
Kule Asfahan ndio wave ya pili ndio hakuna madhara yoyote yale.
Mimi naona Israel kapiga ili aonekane kapiga kajaribu kutafuta target zile Iran ataona haina haja ya kulipa, je Iran atakubali?