Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

Iran ndio taifa pekee la Uislamu wa ukweli wengine wanafiki tu

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini [emoji1130] imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.


Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.
Ile sio jihadi ni siasa kama na sisi tulivo pigana na ukoloni miaka ya nyuma.
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.


Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.
Irani ni washia hao , sio waislamu wa kweli, Waislamu wa kweli ni wasunni. Saudi Arabia ni adui mkubwa wa iran kuliko hata Usrael, na Irani anaitetea Palestina kinafiki ili kupata sapoti ya waarabu wasuni, lakini sio kwa ajili ya upendo wa dhati, Jiulize kwa nini Irani hakuna wapalestina?
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini 🇮🇷 imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Kwa hiyo hiyo ni vita kati ya Israel vs Palestine? Au ni vita kati ya Israel vs Waislamu?
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini [emoji1130] imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Mkuu kwa ujumla iman kwa sasa imepungua kiasi kwamba kila mtu cku izi anaangalia maslai, utakuta hata hao wapalestina wenyewe wamegawanyika kuna wenye msimamo mkali yaani wafia dini kama hamas na mujahidina wengine na serikali ambao wao mambo za kidini sio kiviile.

Kwaiyo hata hayo mataifa mengine ya kiislam kama saudia na misri na wengine wamekuwa kama vibaraka tu hapo ni majina ya kiislam lkn iman hamna wote wanaangalia maslai.
 
Ile sio jihadi ni siasa kama na sisi tulivo pigana na ukoloni miaka ya nyuma.
Siasa na dini vyote ni sababu ya mzozo lakini dini ndio sababu kuu kinachogombaniwa ni eneo la msikiti wa aqsa na Jerusalem kwa ujumla ko dini ndo chanzo hasa wakati wa mfungo wa ramadhan ndo khasia huwa kubwa kwani waislam wanataka kufanya ibada zao ndani ya msikiti na wayahudi wamezingira eneo lile kwaiyo dini huwezi iweka pembeni
 
Unamaanisha nini mkuu fafanua niongeze kitu kichwani
Waislam wanagawanyika katika makundi mawili makubwa .Shia na sunni ,kulingana na tofauti kimtizamo wa kisiasa na kidini, katika historia ya uislamu,. Kuna maelezo mafupi kutokana na tofauti hizo.


1.SUNNI.Hili ni kundi kubwa zaidi , la waislamu, na inakadiriwa kuwa 85- 90% ya waislamu duniani ni sunni, Sunni wanakubaliana na uongozi wa Abu Bakr , umar,na uthman , ambao walikua makhalifa wa kwanza kabisa wa mtume Muhammad, wanafuata hadithi ( taarifa za maneno na vitendo vya mtume) pamoja na Qur'an na wana imani katika utawala wa kiutume wa Waislam.


2. SHIA. Shia ni kundi dogo zaidi la waislamu, na inakadiriwa kuwa asilimia 10- 15 ya waislamu wote duniani, Shia wanamfuata Ali ibn Abi Talib, binam na mkwe wa mtume Muhammad, kama kiongozi wao wa kwanza , Wanapinga utawala wa ma Khalifa wa kwanza, na wanahusisha upokezi wa uongozi wa Uimamu na Ahlul-Bayt( watu wa nyumba ya mtume) .

Kuna madhehebu kadhaa ya Shia, ikiwa ni pamoja na , Shia Ithna Ashari( twelvers) na Ismaili na Zaidi, ambao wana tofauti za imani na mafundisho .


Tofauti hizi zilisababisha mgawanyiko wa Uislamu , baada ya kifo cha mtume Muhammad, na zimekua chanzo cha mvutano wa kisiasa na kidini, katika historia ya Uislamu. Ni muhimu kutambua hali ya kisiasa na mafundisho ya madhehebu ya Sunni na Shia inaweza kutofautiana katika nchi na jamii mbalimbali.

🙏🙏🙏🙏🙏
 

Attachments

  • 1697176765534.jpg
    1697176765534.jpg
    48.2 KB · Views: 4
Waislam wanagawanyika katika makundi mawili makubwa .Shia na sunni ,kulingana na tofauti kimtizamo wa kisiasa na kidini, katika historia ya uislamu,. Kuna maelezo mafupi kutokana na tofauti hizo.


1.SUNNI.Hili ni kundi kubwa zaidi , la waislamu, na inakadiriwa kuwa 85- 90% ya waislamu duniani ni sunni, Sunni wanakubaliana na uongozi wa Abu Bakr , umar,na uthman , ambao walikua makhalifa wa kwanza kabisa wa mtume Muhammad, wanafuata hadithi ( taarifa za maneno na vitendo vya mtume) pamoja na Qur'an na wana imani katika utawala wa kiutume wa Waislam.


2. SHIA. Shia ni kundi dogo zaidi la waislamu, na inakadiriwa kuwa asilimia 10- 15 ya waislamu wote duniani, Shia wanamfuata Ali ibn Abi Talib, binam na mkwe wa mtume Muhammad, kama kiongozi wao wa kwanza , Wanapinga utawala wa ma Khalifa wa kwanza, na wanahusisha upokezi wa uongozi wa Uimamu na Ahlul-Bayt( watu wa nyumba ya mtume) .

Kuna madhehebu kadhaa ya Shia, ikiwa ni pamoja na , Shia Ithna Ashari( twelvers) na Ismaili na Zaidi, ambao wana tofauti za imani na mafundisho .


Tofauti hizi zilisababisha mgawanyiko wa Uislamu , baada ya kifo cha mtume Muhammad, na zimekua chanzo cha mvutano wa kisiasa na kidini, katika historia ya Uislamu. Ni muhimu kutambua hali ya kisiasa na mafundisho ya madhehebu ya Sunni na Shia inaweza kutofautiana katika nchi na jamii mbalimbali.

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Maana ake kuwa Iran ni Shia si ndio mkuu
 
Toka Gaza ikumbwe na mashambulizi ya Israel hakuna nchi ya Kiislamu iliyothubutu kukemea unyanyasaji huyo kwa raia lakini [emoji1130] imethubutu mara kadhaa kusema huenda ikaingia na kusababisha mzozo kuwa mkubwa zaidi.

Saudia iko wap na uwezo wake?
Qatar je kwann wasitoe hata vifaa?
Misri jirani kabisa lakini kimya?

Ni aibu kubwa sana kuona ndugu yako akionewa na ww huchujui hatua yeyote

Uislamu ni undugu undugu wao kwa Palestina uko wapi zaidi ya unafiki.

--
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameionya Israel kwamba eneo la Mashariki ya Kati linaweza kudorora ikiwa haitasitisha mashambulizi dhidi ya Gaza.

Alisema Marekani pia ndiyo "ya kulaumiwa" kwa kutoa msaada wa kijeshi kwa Israel.

Saa chache baadaye, Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwatahadharisha wanajeshi wake kuwa katika vita vya kuokoa maisha yao na kusema vita dhidi ya Hamas ni "fanya au ufe".

Iran inaunga mkono Hamas, ambayo ilishambulia Israel wiki mbili zilizopita na kuua watu 1,400, na Hezbollah ya Lebanon.

Zaidi ya Wapalestina 4,600 wameuawa katika muda wa wiki mbili zilizopita huko Gaza, kwa mujibu wa wizara ya afya inayoendeshwa na Hamas, na Israel ilitangaza siku ya Jumamosi kuwa inazidisha mashambulizi ya anga.

"Ninaionya Marekani na wakala wake Israel kwamba ikiwa hawatakomesha mara moja uhalifu dhidi ya ubinadamu na mauaji ya halaiki huko Gaza, lolote linawezekana wakati wowote na eneo hilo halitaweza kudhibitika tena," Bw Amir-Abdollahian alisema katika mkutano na waandishi wa habari mjini Tehran.

Alisema kuwa matokeo yanaweza kuwa "makali, machungu" na "kuwa na athari kubwa", kikanda na kwa wale wanaotetea vita.

Waziri huyo wa mambo ya nje aliongeza kuwa uungaji mkono wa kijeshi wa Marekani kwa Israel ni ushahidi kwamba mzozo unaoendelea Gaza ni "vita vya uwakilishi vinavyofanywa na Israel kwa niaba ya Marekani".

Maafisa wakuu wa Marekani pia wanaonya kwamba mzozo huo unaweza kuenea.
Kwani waislamu wa Iran wanamuamini mtume?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom