Iran ni nchi ya maajabu sana

DEMOCRASIA kwangu mimi ni ADUI mkubwa kwa MATAIFA yanayoendelea


Nakazia MKUU
 
Kuna fursa duniani ila tumekazana za [emoji631] na [emoji636] tu huu ni utumwa na hautaisha
Tuna safari ndefu sana



Nakazia
 
Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
Kwenye ubora wako muyahudi Wa buza
 


Wayahudi wa Buza mnatia huruma..

Kabla ya mwaka 1947...huyo Mungu wa Hilo Taifa teule hakuwepo?..wakati Hitler anawakaanga nakuwaweka kwenye kambi huyo Mungu wao hakuwepo?...

So dunia inaanza na kuna mataifa Yana miaka zaidi ya elfu moja...mataifa Kama Ethiopia yapo miaka zaidi ya elfu moja...halafu kataifa kanaundwa mwaka 1947 baada ya kuuwawa ovyo ovyo Kwa huruma ya UN na USA kuweka ubavu ndo Leo unakaita kanaiongoza dunia?

Wayahudi wa Buza hamtumii logic kabisa
 
Wakuu nataka nifanye namuna nikavute toto moja la kiajemi nioe nimlete bongo apo naamini watoto wangu watakuwa na maakili yani watawaza mambo za kinyuklia nyuklia tu
 
Ujinga mtupu. Na wajinga wakijadiliana matokeo yake ni kuwa na jamii pana ya mambumbumbu
 
Ujinga mtupu. Na wajinga wakijadiliana matokeo yake ni kuwa na jamii pana ya mambumbumbu
 
Ondoa hizi takataka zako hapa, unajionyesha jinsi ulivyo kilaza na kuzidi kujiaibisha tu.
Acha uzuzu weka data zako na ww ili tuzione mjinga ww.

Aliye andika takataka ni nani kati yangu niliye leta data za kiuchumi kiuchumi kwa mujibu wa benki ya dunia na ww unaye toa kichwani mwako?

Sasa ngoja nikutaalifu lingine ili uendelee kuumia na ikiwezekana ujinyonge kabisa kwa mujibu wa benki ya IMF mwaka 2022 uchumi wa Iran umeupiku uchumi wa Argentina.

Umezoea kupotosha watu kwa kujifanya unajua kila kitu ni tahakikisha na kudhibiti.
 
Nimeshaeleza, Israel huwa wanapitia vipindi ambavyo wanakuwa kwenye adhabu toka kwa Mungu, tatizo unataka kubishana na mimi.......kama una access ni biblia soma kwa kina utaelewa chanzo cha hilo taifa na unabii wake hadi mwisho wa nyakati, ukibishana na mimi unapoteza energy bure.....,.
 
Wakuu nataka nifanye namuna nikavute toto moja la kiajemi nioe nimlete bongo apo naamini watoto wangu watakuwa na maakili yani watawaza mambo za kinyuklia nyuklia tu
Kwa waajemi sina uhakika, ila ungekuwa unataka kuowa myahudi ungempata fasta, maana tumewajaza humu wayahudi wa buza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, na ndio wengi walio comment humu kuwatetea wayahudi wenzao, na wakati thread hii inahusu waajemi.
 
Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
Aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…