Iran ni nchi ya maajabu sana

Wayahudi wa buza wameshindwa kutumia akili zao kuujua ukweli ulioandika hapa. Inashangaza sana.
 
We jifanye mshia tu utapata toto moja la haja alafu wana akili balaa.
Ubaya wao ni mmoja
Yaani wale masheikh zetu wa njaa njaa si wanaendaga huko Iran kusoma. Basi na wakisema wanataka binti wa kuoa wanapewa kabisa, ila hao mabinti washa andaliwa
Wakuu nataka nifanye namuna nikavute toto moja la kiajemi nioe nimlete bongo apo naamini watoto wangu watakuwa na maakili yani watawaza mambo za kinyuklia nyuklia tu
 
No yuko sawa
Simple logic
Tupige kura
Maprofessa 10 vs wajinga 20
Nani atashinda?
Basi elewa Democrasia ni propaganda
Ndio kusema nchi zote zinazofuata utawala wa demokrasia ni maskini na zile zinazofuata utawala wa kidikteta ni matajiri. Si ndiyo ee
 
Ndio kusema nchi zote zinazofuata utawala wa demokrasia ni maskini na zile zinazofuata utawala wa kidikteta ni matajiri. Si ndiyo ee
Inategemea. Ila kiuhalisia nchi zinazofata utawala wa kidikteta, nyingi zipo hoi kiuchumi japo sio zote.

Na zinazofata utawala wa kidemokrasia nyingi zipo vizuri kiuchumi japo sio zote.
 
We jifanye mshia tu utapata toto moja la haja alafu wana akili balaa.
Ubaya wao ni mmoja
Yaani wale masheikh zetu wa njaa njaa si wanaendaga huko Iran kusoma. Basi na wakisema wanataka binti wa kuoa wanapewa kabisa, ila hao mabinti washa andaliwa
😂😂😂😂
 
Ngoja ujidanganye....na wakati mafuta yao ndo kiburi,

Tunaelekea kutumia magari na treni za umeme watakoma.

Wape salam middle east yote, waambie ugaidi mwishoooooo
Ugaidi utaishaje na wakati wazungu wanatumia njia nyingi kuuwa watu ili waibe resource zetu.
Yanayoendelea Congo waasi wa M23, Cameroon, Ukraine nk sio ugaidi ule?
 
Ya kweli mkuu, bora Israel mwanaum kupuliwa ruhusa.
 
Baada ya kukuza utafiti kwenye taifa lenu ili na nyinyi muunde silaha zenu, unashauri ujinga , eti bora na sisi tuanze kununua silaha zao.

Yaani kuna mijitu utegemezi wa fikra hautakaa uishe kwenye vichwa vyao.
 
Baada ya kukuza utafiti kwenye taifa lenu ili na nyinyi muunde silaha zenu, unashauri ujinga , eti bora na sisi tuanze kununua silaha zao.

Yaani kuna mijitu utegemezi wa fikra hautakaa uishe kwenye vichwa vyao.
Dah aisee...
 
Umetudanganya sana Kaka.
Wanaoipa msaada Israel ni USA.
Ule mzozo wa mwisho ambao Israel ililupua kambi ya wakimbizi Palestine USA senates waliweka kikao na kusema Israel inyimwe ufadhili wa silaha km ikilipua shule ya UN.
SISI TUNAJIELEWA BRO USITUFANYE WATOTO WADOGO,KILA MWAKA SENATE YA USA HUKAA NA KUPITISHA BAJETI YA UFADHILI WA PESA NA SILAHA KWA ISRAEL .
 
Huna unalolijua we
Ile Vita Israel alivamia kambi ya ndege za Misri na akaenda kuvamia Syria.
Hakupigana na mataifa sita km mnavyodanganywa.
Nakutajia vita alizoshindwa Israel.
1) October war 1974,alipokonywa Sinai na Egypt chini ya Anwar Sadat hasira akahamishia Syria na mkataba wa camp david ulisaniwa kuiokoa Syria.
2)Israel-Lebanese war 2006,tena hapa hizbollah waliingia mipaka ya Israel na kuua Askari nane na kuteka nyara watatu.
Na ikumbukwe Hizbollah ni tishio kwa Israel mpaka sasa na hizbollah inafadhiliwa kisilaha na fedha na Iran.
ISRAEL AKIONA TAIFA TISHIO ANAIVAMIA NA NDEGE KM AFANYAVYO GAZA Ila mbona hafanyi hivyo kwa Iran?
Katika migogoro inayotokea baina ya Israel na Gaza Hizbollah hurusha makombora kwenda Israel takriban 10-15 lakini mbona Israel haipeleki ndege Lebanon?
Acheni kupelekeshwa kifikra.
 
Ndo haya nayaita maneno ya kwenye kanga.....Israel ipo hapo na haijafutwa, wakati unajipanga kuifuta Israel utajikuta umejifuta mwenyewe.
 
Fact
 
Ni hawa hawa Iran wenye uwezo wa kuifuta Isreal kwenye uso wa dunia kwa maneno ya mdomoni, usifanye mchezo na taifa la kiyahudi, level yao ni juu mara mia zaidi ya binadamu mwingine yoyote anayeishi duniani....Israel is blessed.
Israeli iliyopo sasa pale Mashariki ya kati ni Israeli ya Mchongo. Na tena sio Blessed Country.

Israeli ya leo ipo kwa Mskusudi Maalumu.

Blessed Country inasaidiwa na Marekani, wewe uliona wapi?

Anasidiwa Fedha na Silaha tangu mwaka 1948 alipokaa pale kimabavu hadi leo.

Hayo yanakutosha kwanza, ukitaka twende kimaandiko ya Biblia niko tayari.

Ila bado sana hujui kitu acha nikuache tu na Taifa lako la Mchongo.
 
Usisahau kuna wengine viherehere wanauliwa kwa Maslahi ya Taifa.

Katika UKOMUNISTI, ukileta habari za uhuru wa kujieleza unapotezwa kwa Maslahi ya Taifa, muda mwingine inakuwa ni jambo jema
 
Nyie wavaa kobaz ndo taifa teule, bwahahaha.........waliobarikiwa wamebarikiwa tu hakuna haja ya makasiriko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…