Siku nyingine uwe unaongea kwa takwimu sio insha nyingi
msaada ambao israel inapokea n 2B sasa unasemaje mabilion ya fedha kutoka US
Nilijua tu kuwa atatokea myahudi wa kisukuma aje kuwatetea wayahudi wa kizungu bila kuwa na fact ya kile anachotetea.
Umesema siku nyingin niwe naongea kwa takwimu, lakini wewe mwenyewe ulieni quote unashindwa kuweka takwimu ya ulichoandika. Yani wayahudi wa Chato mnachekesha sana mnapoingia kichwa kichwa na mihemko yenu kuwatetea wayahudi wa kizungu ambao nina hakika hawawafahamu 😂😂😂
Angalia picha hapo chini ili ujifunze hii fact iliyo katika takwimu kama inafanana na kile ulichotoa kichwani kwako mwenyewe bila ya kutafiti.
si hivo tu US inawapa palestina,Rwanda,n nchi mbali mbali misaada tofauti ni kuwa wanafanyia nn!
Misaada wanayopewa Palestina ni ya kinafiki, hauwezi kufananisha na ile ya kiyahudi kwa sababu kadhaa ambazo wewe myahudi wa kisukuma hauzijui.
A. Misaada wanayopewa wapalestina ni ya masharti maalumu yani hawaruhusiwi kuitumia kununua silaha yoyote ambayo wanaweza kuitumia kujilinda. Ila wanayopewa Israel ni ruhusa kununua silaha au kuitumia kutengeneza silaha zao wenyewe, kuboresha jeshi lao nk.
B. Misaada wanayopewa wapalestina ni kwa ajili ya kununua madawa, chakula na huduma zingine za kawaida. Ila wanayopewa Israel ni ruhusa kuitumia kuimarisha jeshi lake, kuboresha silaha zake kwa ajili ya kupambana na majirani zake na zingine wanazitumia hadi kuwajengea watu wao katika ile ardhi ambayo sio ya kwao na sheria za kimataifa, ikiwepo hiyo Marekani yenyewe haziwaruhusu kujenga.
Lakini hujaeleza kua Iran pia baada ya sanction ilitegemea bidhaa za magendo,na nchi za Asia
Yes kutumia magendo ndo ujanja, ubabe na uwezo wenyewe. Nchi nyingi ziligwaya, zilianguka kiuchumi, kijeshi na kiuongozi baada ya kuwekewa vikwazo na Umoja wa mataifa.
Leo hii Israel achilia mbali kuwekewa vikwazo, hata wakinyima misaada na Marekani kwa muda wa miaka mitano tu. Itakuwa nyang'a nyang'a kama Cuba ambayo leo hii limebaki jina tu ila uchumi wa nchi na jeshi ni hovyo kabisa.
Lakini pia kuna nchi kama North korea ambayo vikwazo vimedunda pia
Ni akili tu za watawala
Vikwazo vya North Korea ni tofauti na vile vya Iran. Inatumika nguvu kubwa zaidi ya vikwazo kwa Iran kwa sababu mbili kubwa.
1. Geography yake ya kuwa karibu na nchi ya Israel, ambayo inaifanya Marekani, USA, UK na umoja wa Ulaya wahofie kwamba Iran isipowekewa vikwazo vya silaha, na uchumi basi kuna uwezekano mkubwa wa siku moja nchi hiyo ikafanya kitu ambacho watu wengi hawatokitegemea kutokea huko Israel na mashariki ya kati kwa ujumla.
2. Historia yake, kama nchi yenye historia ya kuwa na nguvu pamoja na jeshi bora kwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita, hata kama hauipendi Iran na hauna ujuzi wa historia, lakini nakushauri uingie google usome kuhusu persia empires, au uende kwa biblia ukaisome historia ya uajemi.
Ni tofauti na vinchi kama US ambavyo vimeanzishwa miaka mia tatu tu iliyopita na waingereza.