Nataman Israeli akimalizana na wavaa kobazi wa huko mashariki ya kati aje na huku awachape pia wavaa kobazi wa mashariki ya Afrika.Hata kule kwa wavaa mashuka Afghanistan pia US alikuwa anataka, lakini mwisho wa siku akakimbia mwenyewe bila kuaga. Tena aliowakimbia wavaa mashuka wasiokuwa na drone, mifumo ya ulinzi wala kifaru. So ije kuwa huku kwa watu wenye misilaha mpaka mingine wanampa mrusi bure awachape wavaa nepi huko Ukraine!!
Je Iran iliporusha makimbora yake ulipata picha ya madhara yaliyosababishwa au uliishia kuona makombora yakipaa tuMi nawashangaa sana nyie watu. Kwanini hamtuoneshi kwa picha na video hayo madhara yaliyofanyika huko Iran?
Wakati Iran anaipiga Israel tarehe 1 mwezi huu tuliona Live moto ukishuka pale Tel avivi je Israel na marekani wanakwama wapi kutoonesha live wakiwasha moto hapo Jana?
Nahitimisha kwa kusema Israel na marekani wamefeli kulipa kisasi kwa Iran hapo Jana .
Kama kawaida yenu kujifariji. Mwanzon mlisema yamedunguliwa yote baadae uharibifu umetokea kidogo lakin sasa Iran kakiri wanajesh wanne wameuwawa na mashambulizi yalikuwa mikoa mitano tofauti.Kenge mimi au wewe!?
Ushasahau kama Iraq kuna kambi za kijeshi za USA!?
Hizo kambi za USA ndani ya Iraq ndizo zimetumika ku facilitate hilo shambulio.
Ngojea nitaenda kuhakiki kama ni wanne ila taarifa nilosoma inasema wawili.
Pilot kuwa demu hoja!?
Mbona Tanzania ina pilot wa fighter jets mademu tena wengi tu na wanazirushaga hizo ndege!??
Hoja zako dhaifu kiasi hiki!??
Dunia nzima Tuliona moto mwingi sana ikiashiria kuwa mabomu yameanguka na kulipuka. Kule Iran mbona hata moto haukuonekanaJe Iran iliporusha makimbora yake ulipata picha ya madhara yaliyosababishwa au uliishia kuona makombora yakipaa tu
Kabisa yaani. kwasababu hivi sasa keshaharibu mifumo yote ya ulinzi wa anga la Iran.Muda si mrefu Israel anaenda kupasua nuclear sites na visima vya mafuta.
Nadhani kama wamefeli basi sitarajii kuona Irani ikitaka kulipa kisasi.Mi nawashangaa sana nyie watu. Kwanini hamtuoneshi kwa picha na video hayo madhara yaliyofanyika huko Iran?
Wakati Iran anaipiga Israel tarehe 1 mwezi huu tuliona Live moto ukishuka pale Tel avivi je Israel na marekani wanakwama wapi kutoonesha live wakiwasha moto hapo Jana?
Nahitimisha kwa kusema Israel na marekani wamefeli kulipa kisasi kwa Iran hapo Jana .
Mnatamani sana kama ingekuwa kweli🤣 ila kimoyo moyo mnaiskilizia ilivyopenya!wamefanya hivyo. miundo mbinu yenyewe wala si ya kutisha sana, anachoringia iran ni vitu viwili tu, (1) nuclear facility ambayo ukipiga tu italeta madhara kwa raia wa Iran na israel au amrekani watalaumiwa milele (2) kiwanda cha kuzalisha mafuta kwenye kile kisiwa chao ambacho ukipiga tu mafuta yatasambaa baharini na bahari itachafuka, kwa wana mazingira hiyo itakuwa msala mkubwa sana.
inajulikana IRAN ana mahandaki ya kuhifadhia siala chini ya ardhi, lakini hata uwe na silaha namna gani kama air defence system yako ni mbovu, wenzio watakuja na ndege watakupiga na hautawaona. utasoma namba tu. Israel kasambaratisha air defence systems hata zile Mrusi alipeleka IRan zimefyekwa, sasaivi iran yupo uchi kabisa, Israel inaweza kumpiga ipendavyo na hatajua kama kuna ndege zinakuja wala zinatokea wapi.
40 casualties.Tuliwaambia hizbollah sio hamas ukipiga raia na yeye anawalisha raia
— ❗️ 🇮🇱 BREAKING: A truck ran over dozens of settlers near the Mossad headquarters in Tel Aviv, At least 40 casualties are being reported.
@Middle_East_Spectator
Kwa hiyo hata kombora likidondoka kwenye ghala la mahindi na ukawaka moto mwingi basi unahesabu hiyo kama ni pigo kubwa?Dunia nzima Tuliona moto mwingi sana ikiashiria kuwa mabomu yameanguka na kulipuka. Kule Iran mbona hata moto haukuonekana
Siyo Israel ni IsraU.S.A.li.Israel noma sana. Yaani wamewaparalyse Hamas, Hezbollah na wengine sasa wanamtaka Iran. Kula vitoto ili ukianza kumla mama yao visilie
Kama shambulizi halijafanya uharibifu, Kwanini Irani watake kulipa tena kisasi?sasa iran angetangaza kwamba atalipiza kisasi kama hakuna madhara ndugu yangu. cha muhimu ni kuomba Mungu wapatane tu, vita sio nzuri, ila kupigwa kapigwa mno. kiwanda chake cha kutengeneza makombora kimekuwa majibu na itachukua si chini ya miaka 2 kusimama, air defence system zote fyekelea mbali, sasaivi hata Tanzania tunaweza kwenda na ndege yetu pale tukapiga na kurudi bila iran kujua kama tunakuja wala kutudungua.
Waliouliwa wamekufa as a result of interception.Kama kawaida yenu kujifariji. Mwanzon mlisema yamedunguliwa yote baadae uharibifu umetokea kidogo lakin sasa Iran kakiri wanajesh wanne wameuwawa na mashambulizi yalikuwa mikoa mitano tofauti.
We jamaa umeweza vipi kuniquote akati mimi hii niiliifuta chap? Duuh anyway hio ni revenge wamefanya hamas kwa raia 50 wameenda40 casualties.
hivi hizo trucks huwa zinafanya hivyo kila siku>?
Hivi huwa unahesabu roho zinazoondolewa na wayahudi kule Gaza kila siku>?
Iran ilishaapa kuwa italipiza kisasi itaposhambuliwa eidha madhara yatokee ama laa.Kama shambulizi halijafanya uharibifu, Kwanini Irani watake kulipa tena kisasi?
Hili swali gumu sana kwa mwendawazimu kulijibu kwa ufasaha.
Israel noma sana. Yaani wamewaparalyse Hamas, Hezbollah na wengine sasa wanamtaka Iran. Kula vitoto ili ukianza kumla mama yao visilie
ndugu yangu, tumwombee tu ayatolah apone, manake hali yake huko ni mbaya.
View: https://x.com/Osint613/status/1850265117155324118/photo/1
Hayatolla ataingia kwenye 18 muda sio mrefu.Wanaukumbi.
Tel Aviv iwe tayari tena kwa makombora ya Iran.
Operesheni True Promise III inakuja hivi karibuni.
Iran, wamesema wazi lazima walipize kisasi wana haki ya kujilinda kama taifa kamwe hawezi kukubali na wako tayari kwa vita virefu.
View: https://x.com/timesof_lebanon/status/1850231493710262737?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw