Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 1,513
- 2,019
Wanakumbi.
MPYA:
🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:
"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"
Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon, basi chaguzi zote zitakuwa mezani ikiwa ni pamoja na kuhusika kwa pande zote katika mhimili wa muqawama.
View: https://x.com/megatron_ron/status/1807016405834912086?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Waongo hawana huo umoja hata siku moja unaijua israel ww unaijua NATO unamjua TRUMP trump hana majadiliano ni chuma chuma hata tz tutaingia we TAIFA LA MUNGU WANGU YESU ISAYA 9:6