Iran yaiambia Israel isitishe vita haraka kabla haijachelewa

Tuisave kwa matumizi ya baadae au tuipotezee ?
 
πŸ˜‚ dogo hio ni leo hata Israel wamekubali wamepewa kipigo we unaleta ujinga hapa.

Israel wanajiharia wanaogopa kuingia Gaza nawalitoa onyo eti masaa 24 wataingia Gaza leo masaa 72 yamepita kimya wataishia piga majumba tu πŸ˜‚
Wewe ni mjinga sana, hujui hii ni vita unafikiri wanaingia eti vile umesema, wataingia kwa muda wao na kuangamiza hao Islamic Terrorists.
 
Mkuu mimi niliwaambia hata kwenye uzi ule wa vita.
Iran hawezi patana na kukaa kiti kimoja na Saudi hio haiwezekani kabisa.
Iran atafuta njia ya kuiangusha ufalme wa Saudi.
 
Tuisave kwa matumizi ya baadae au tuipotezee ?
CNN forgot it's on air and the news director instructed the news reporter and cameraman on the phone to pretend they've been hit by Hamas rockets when he told her to look around in a way that "you're panicking"

Your browser is not able to display this video.
 
Jihadists mkishavimbiwa na magimbi na maharage mnaandika tu chochote kinachokuja kichwani ili mjiliwaze..!!!
 
πŸ˜‚ dogo hio ni leo hata Israel wamekubali wamepewa kipigo we unaleta ujinga hapa.

Israel wanajiharia wanaogopa kuingia Gaza nawalitoa onyo eti masaa 24 wataingia Gaza leo masaa 72 yamepita kimya wataishia piga majumba tu πŸ˜‚
Ww unadhani kuingia kwenye vita ni sawa na unavyoingiliwa ukiwa umeinama hapo msikitini
 
Mikwala tu. Ashaona Hamas wameshindwa na Gaza unaenda kutekwa.

Anafanya kupooza kwa propaganda.
 
Sema Takbirrrr πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€. Jipeni moyo mtashinda sio kwa uweza wa Mungu muumba mbingu na nchi.
 
Tatizo nyie mmeisha danganywa sana na bibilia kuwa Israel ni taifa la mungu wa bibilia πŸ˜‚

Mimi nakuambia Israel haingizi jeshi Lake Gaza anajua kinacho mgojea ukikuwa utapata akili


View: https://youtu.be/T3d7-TLaZhY?si=Wo6_usQut47AW8T7
Israel ndio mzaliwa wa kwanza wangu mimi asema Bwana. Yeye amgusaye ni kama ameigusa mboni ya jicho la Mungu. Mwana wa house girl hawezi kurithi pamoja na mwana wa ahadi ndio maana Baba Ibrahim akamfukuzia mbali. Israel na ibarikiwe milele na milele.
 
Sema Takbirrrr πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€. Jipeni moyo mtashinda sio kwa uweza wa Mungu muumba mbingu na nchi.
Moyo wanini zaidi ya waliouonesha vijana walioitwanga nchi yenye kila aina ya silaha na huku ikisaidiwa na wanaojifanya wababe wote wa duniani kwa kutumia pikipiki na miavuli?

Hama hujauona ushindi huo, nakupa pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…