Ni kweli, na ndo maana Iran naye kaiga. duh! Ila kaua RAIA wake 82 kwa kuiga upuuzi.Hata marekani alishatugua ndege ya abiria ya Iran flight 655 mwaka 1988 walikufa watu wote 290 waliokiwepo kwenye ndege
Sent using Jamii Forums mobile app
us na washirika wake wakifanya uharifu mashariki ya kati au popote duniani mnaona ni sawa wacha itumike sheria ya jino kwa jino tu.
Hata US walipo Tunguliwa Ile Drone Yao Walikana Kata Kata Lakini Baada Ya Ushahidi wakakubaliHili jeshi dhaifu ndio lilitaka kupigana na US kweli?
Mwanzo walikana katakata, USA na Canada intelligency wakasema wana ushaidi wa picha za satelite kwamba kombora la Iran lilitungua ndege, leo kipo wap
Ndio maana US hataki hawa wamiliki nuclear maana wataangamiza dunia kwa mihemko yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Marekani naye uwezo wake ni mdogo?Maana alishaitungua ndege ya Iran akauwa abiria wote 290.
Si alikuwa ameshupaza shingo kukataa, US alisema toka mwanzo Iran kadungua ndege tena kimakosa Iran wakakataa, lakin sasa Iran inaongea lugha ileile ya US.Bora wao wamekiri kuliko lingekuwa lile taifa la wanafiki, wanaoshindwa kusemaga ukweli eti taifa lao lisipate aibu!
Kwakuwa Ukraine waliruhusiwa na wenyewe Iran kuwepo katika uchunguzi naimani wataipokea hyo taarifa kuliko wangekataa alafu wenyewe wakaja kujua baadae kungekuwa na mzozo wa kidiplomasia.
Roho za marehemu zipumzike kwa aman.
Hata US walipo Tunguliwa Ile Drone Yao Walikana Kata Kata Lakini Baada Ya Ushahidi wakakubali
Kwani Lini IRAN Walisema Wanataka Kumiliki Nyuklia
Hawana Nyuklia Mnateseka Wakiwanazo C Mtakufa Kabla Hawajazitumia
Poleni Mnooo Kwamateso Muyapatayo [emoji23][emoji23][emoji12][emoji14][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama anaongoza alishindwaje kuzuia kuharibiwa kwa kambi yake.USA ametisha kwa Tech. acha kujifariji. Na hasemi kwa uwazi amejuaje mchongo mzima. Achana na USA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Unahisi IRAN Wapuuzi Sana Mpaka Wachunguzwe Mpaka Visivyohusika Waambata Wa IAEA Kila Mara Wanaenda Hapo Wanateseka 2Wewe ndiye umeelewa hili picha. Na ndio maana wenyewe walijua mapema kama "ndege yao" imetunguliwa; likely walikuwa wakiifuatilia. Na kitendo cha kuwahi kukiri pia ni strategy nzuri kwa Iran kwasababu inapunguza "scope" ya uchunguzi ambao ungefanyika ambapo US na washirika wake wangetumia "uchunguzi" huo kuchunguza na vingine visivyohusika.
Wamekubali sikiliza vizuri BBC, CNN, sky news, na aljazeeraMKWEPA KODI Iran haijakiri kutokana na mashinikizo lakini imekiri baada taratibu za kiniplomasia baina ya mataifa mawili kati yake na Ukraine! Iran ilishatoa tamko kuwa wenyewe Ukraine watakuwepo wakati wa uchunguzi wa tukio ila haitakuwa tayari hyo black box kuipeleka USA au kuwakabidhi Boeing.
us na washirika wake wakifanya uharifu mashariki ya kati au popote duniani mnaona ni sawa wacha itumike sheria ya jino kwa jino tu.
Unachofanya, ni eti kisa john aliua basi Edward kuua ni sawa tu.Mm siko hapa kuitetea Iran ninacho taka kusema makosa ya kibinadamu huwa hayaepikiki.
Jana marekani katoka kuuwa watu zaidi 60 nchini Afghanistan baada ya ndege zake kuyalenga kimakosa makazi ya raia wakati wakiwalenga wana mgambo.
Na marekani kaisha uwa maerufu ya watu kama si malaki kwa sitaili hiyo kwa hiyo tunapo jadili jambo mihemuko ya kipumbavu tuwe tuna weka pembeni na kuangalia uhalisia.
Unasema mashambulizi haya kuwa na impact ?Hapa umeyumba.
Ni kazi sana kumtetea Iran kwa hili blander kwa kufananisha na la Marekani. Kosa la US halihalalishi kosa kwa Iran.
Halafu unaposema 290 -176 na kumuona Iran sio fala unakosea.
Vita AKILI sio siraha peke yake.
Au hujui Iran kaua zaidi (82)raia wake😄😄😄😄 , kwa hili mimi naona Iran ni fala, ana siraha nzito ila akili kisoda.
Juzi kati pia amerusha kombora 15 zisizo na impact
Yaani Iran aachane kabisa na vita agaist US.
US Kama Anataka Kumuweza IRAN Vikwazo Sio Njia Sahihi Vikwazo Kwa IRAN Vishakua Meaningless Atafte Njia MbadalaAcheni kupost vitu kishabiki, mtu kashaongezewa vikwazo, we unasema negotiations without preconditions
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahio Ndio Unateseka [emoji23][emoji23][emoji23]Taifa lenyewe la Iran linaendeshwa kidini, limekaa kiugaidi gaidi.
Teh tehe teh eti kuharibu kambi,wangapi walikufa na majeruhi pia ni wangapi bila kusahau tuletee hapa hasara ya Mali na vitu iliyotokea.Haa we mkenya naona unatumia kivuri kutungulia ndege kujifariji baada ya baba yako Trump kuufyata.
Hebu pitia coment zako ulizo kuwa unatoa kabla ya Iran kuiharibu kambi ya marekani uone jinsi ulivyo boya.
two wrongs cant make it right.Hata marekani alishatugua ndege ya abiria ya Iran flight 655 mwaka 1988 walikufa watu wote 290 waliokiwepo kwenye ndege
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan Kama Ndege Ikitunguliwa Ndio Uchunguzi Hua Haufanyiki ?!Sasa uchunguzi wa Kazi gani wakati anajua ndege katungua yeye mwenyewe?
Sent using Jamii Forums mobile app