Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Sijachanganya mada, nilikuwa ninamuunga mkono aliyesema USA ndiyo chanzo cha kuvurugika kwa amani ya dunia, ndege ya Ukraine imetunguliwa-- chanzo cha hayo yote ni Mauaji ya kamanda wa Iran yaliyofanywa na Marekani.
"Marekani sio baba lao bali ni jinga lao"