Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Sio kurusha tu, je na wao wakirushiwa wataweza kuhimili?
Hezbollah na Hamas kwisha habari yao ndio maana boss wao kaamua aingie mwenyewe.
Wanazi wanasema Iran alikuwa anasubiriwa, ngoja tuone. Mimi binafsi naamini Iran yuko overated
 
Marekani. Nato, UK washawapa Isreal silaha zote za dunia..lkn bado majeneza yanarudishwa kwa wingi Telaviv.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…