inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwani ISIS na Al Qaeda wanapendwa na serikali zao!?..bin laden aliondoka saudia akaenda kuishi Sudan na Afghanistan, misri penyewe angeachwa morsi mambo yangekua tofauti LeoMiaka yote hiyo kwanini hawakuwepo
waarabu wote wako upande wa USA!
iiran labda isaidiwe na Russia na china
Israel itachakaa,amini hiloAkishambulia direct na majibu yake yatarudi hivo hivo
kukataa kuweka base siyo ndo kuwa anti USA kuna mataifa kibao ya USA lakin hayajakubali kuwa na base!!!Nani kakudanganya kuwa Waarabu wote wapo kwa USA?
Kama wapo kwa USA kwanini Oman,Bahrain na UAE zilikataa airbase zake na bandari zake kutumika dhidi ya Houthi Yemen???
Kama ulikua hujui mataifa ya kiarabu yameanza kujisogeza kwa Iran alianza Saudi Arabia akafuata Qatar.
Waarabu kwa kinachotokea Palestina washajiona hawako salama kushirikiana na USA.
Uliona maonesho ya silaha ya kimataifa Qatar??
Hizbulah inashambulia ndani ya Israel kila siku na mwisho wao hatujawahi kuuona sembuse Iran?Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.
Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.
Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.
Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.
Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.
Bye bye Iran
View attachment 2953272View attachment 2953273
kama iliweza kuwashinda mataifa yote ya kiarabu ndani ya siku sita na technologia duni ni taifa gani middle East litaishinda saiziIsrael itachakaa,amini hilo
Dua la kukuVitu vizito vitatua tel Aviv na middle east haitokua hii Tena,nawaona ISIS,Al Qaeda ndani ya Israel
Waliopogana walikua waingereza,wafaransa na marekani,pekua mambokama iliweza kuwashinda mataifa yote ya kiarabu ndani ya siku sita na technologia duni ni taifa gani middle East litaishinda saizi
We unaweza kupigana vita ya wanajeshi wanaojificha kwene watu na dunia inakulalamikiaHizbulah inashambulia ndani ya Israel kila siku na mwisho wao hatujawahi kuuona sembuse Iran?
Hivi unadhani vita ni kitu rahisi kama kukata mauno?
Yaani Israel ambayo imeshindwa kuufikisha mwisho utawala wa hamas ndani ya Gaza ndo waje wamalize utawala wa Iran ,ebu acha uzuzu.
Shule mlienda kusomea ujinga??Waliopogana walikua waingereza,wafaransa na marekani,pekua mambo
😂😂Dua la kuku
Yaani watu wanatembeza mkong'oto waziwazi we unaleta habari za maonesho ya Nane Nane?Nani kakudanganya kuwa Waarabu wote wapo kwa USA?
Kama wapo kwa USA kwanini Oman,Bahrain na UAE zilikataa airbase zake na bandari zake kutumika dhidi ya Houthi Yemen???
Kama ulikua hujui mataifa ya kiarabu yameanza kujisogeza kwa Iran alianza Saudi Arabia akafuata Qatar.
Waarabu kwa kinachotokea Palestina washajiona hawako salama kushirikiana na USA.
Uliona maonesho ya silaha ya kimataifa Qatar??
Ww ndo unachambua kimihemkoWe unaweza kupigana vita ya wanajeshi wanaojificha kwene watu na dunia inakulalamikia
Tofautisha vita na ugaidi…. kwene vita hawaangalii kama kuna raia au nn ni bomu tu
chukulia mabomu ya hiroshima hiyo ndio vita ilivo. kwa mantik hiyo ikifika hatua ya kusurvive au kuperish israel ingeangusha bomu moja la nyuklia gaza na mchezo ungeisha.
Usichambue vita kwa mihemuko kaka
Ww ndo unachambua kimihemko na ndio maana unasema kiurahisi eti utakuwa mwisho wa serikali ya Iran kana kwamba vita ni sawa na kucheza mziki unaweza kucheza kwa sitaili unayo itaka, kwa jeshi lipi hilo ililo nalo Israel lenye uwezo wa kufanya uvamizi wa ardhini dhidi ya Iran na kwenda kuipindua serikali yake?We unaweza kupigana vita ya wanajeshi wanaojificha kwene watu na dunia inakulalamikia
Tofautisha vita na ugaidi…. kwene vita hawaangalii kama kuna raia au nn ni bomu tu
chukulia mabomu ya hiroshima hiyo ndio vita ilivo. kwa mantik hiyo ikifika hatua ya kusurvive au kuperish israel ingeangusha bomu moja la nyuklia gaza na mchezo ungeisha.
Usichambue vita kwa mihemuko kaka
kwa uwezo wako mdogoWw ndo unachambua kimihemko
Ww ndo unachambua kimihemko na ndio maana unasema kiurahisi eti utakuwa mwisho wa serikali ya Iran kana kwamba vita ni sawa na kucheza mziki unaweza kucheza kwa sitaili unayo itaka, kwa jeshi lipi hilo ililo nalo Israel lenye uwezo wa kufanya uvamizi wa ardhini dhidi ya Iran na kwenda kuipindua serikali yake?
Nchi ngapi ?kwa uwezo wako mdogo
niambie irani inaweza pigana na nchi ngap kwa pamoja na kuzishinda??
Vita si singeli , we unaijua Iran ?Kumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.
Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.
Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.
Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.
Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.
Bye bye Iran
View attachment 2953272View attachment 2953273
Kwamba yule kafiri putin kashirikiana na Iran kwa sababu yeye peke ake hawezi mpiga ukraine?Israel peke yake Hana uwezo wa kupigana na Iran,angekua nao angeshafanya siku nyingi,siku zote huwa wanajitahidi kuiingiza USA vitani na Iran
Wapo wa-iran weusi Rufiji hukoMiaka yote hiyo kwanini hawakuwepo
waarabu wote wako upande wa USA!
iiran labda isaidiwe na Russia na china
Mkong'oto wa kuvizia kwa ku press button??Yaani watu wanatembeza mkong'oto waziwazi we unaleta habari za maonesho ya Nane Nane?