avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Wapo sahihi zaidi ya asilimia 90000. Kanisa katoliki hali entertain, ushirikina, mazingaumbwe na miujiza ya kimagumashi. Hata hivyo hao watu walishaliasi kanisa katoliki kwa kufanya ibada tofauti na mifumo ya kanisa, kukataa baadhi ya mambo ambayo ni msingi wa kanisa katoliki, sasa muumini ukashiriki hizo ibada halafu urudi tena. Kama wamevutiwa waende huko huko wakaongeze idadi. Kanisa katoliki ni tajiri wa waamini halibembelezi waamini, halifanyi promotion za kuvutia watu kujiunga kwa kuwashawishi kwa fedha, au kuwaoza wake wengi kama wengine wafanyafyo. Kanisa katoliki ni kuwajibika na sio kudekeza