mbona wanagombania waumini sasa haileti picha nzuri ikiwa wote wana hubiri neno la Mungu na kuanza kuonesha kama kwamba wao ni wakamilifu kuliko wahubiri wengineKanisa la Roman Catholic Iringa limefukuza na kutoa onyo kali kwa washirika wake waliohudhuria kongamano la Mwamposa na wengine walionunua maji na mafuta kwenye mkutano wake
View attachment 2236071
View attachment 2236072
Kwani tunaongelea maombi, au miujiza? Miujiza ya utajiri! Ghafla tu kwenye mpesa inaingia milioni 10, baadaye zinaingia milioni 7 nyngine!Unamaanisha baada ya yesu hakuna mkiristo anayeweza omba na akakubaliwa maombi!?
Wengi watakuja na kusema tulitoa people kwa jina lako na kwa jina lako kufanya miujiza mingi ndipo atakaposema ondokeni kwangu maana sikuwajua kamwe.Ni kama kwenye mpira kuna wanachama na mashabiki huwezi kuwatofautisha.Hivyo kuna mashabiki wa Yesu na Mwili wa Yesu.Katoliki na walokole wote so no wa yesu!?
Mwaposa anahudumia watu kiroha Zaid ya elf kumina tano kwa siku wew Ni Nani useme muhuni subiri utupiwe uchawi utatumia Yale maji taka usitakeMwamposa ni muhuni kama wahuni wengine!
Kanisa Katoliki halina shida na madhehebu mengine! Ila lina shida tu na waumini baridi na wale vuguvugu.Unamaanisha kuwa dhehebu jingine la kikristo, nje ya ukatoliki ni dhambi ?
You people are conservatives.Kanisa Katoliki halina shida na madhehebu mengine! Ila lina shida tu na waumini baridi na wale vuguvugu.
Waumini baridi ni wale wasio enda kanisani, wasioshiriki kwenye Jumuiya na pia wasioshiriki sakramenti mbalimbali za Kanisa!
Waumini vuguvugu ni wale bendera fuata upepo! Mguu mmoja nje, mguu mmoja ndani! Wale wanao amini maji ya Mwamposa yana upako, wanoenda kwa waganga wa kienyeji, wanaofanya matambiko, nk. Halafu wakati huo huo bado wanajitambulisha kama Wakatoliki.
And we are very proud for that! We followers of The Holy Apostolic Catholic Church. (Sijui nimepatia 😁)You people are conservatives.
Shida hiyo miujiza au pesa wanazolipa!?Kwani tunaongelea maombi, au miujiza? Miujiza ya utajiri! Ghafla tu kwenye mpesa inaingia milioni 10, baadaye zinaingia milioni 7 nyngine!
Eti hazijulikani zilipotoka! Na baada ya hapo unaanza kuzitumia! Na hii ni baada ya kutoa laki kwa Nabii! 🤔 Ni wajinga pekee ndiyo watakao amini huu utapeli.
Walokoke mashabiki wa yesu,wakatoliki mwili wa yesu!?Wengi watakuja na kusema tulitoa people kwa jina lako na kwa jina lako kufanya miujiza mingi ndipo atakaposema ondokeni kwangu maana sikuwajua kamwe.Ni kama kwenye mpira kuna wanachama na mashabiki huwezi kuwatofautisha.Hivyo kuna mashabiki wa Yesu na Mwili wa Yesu.
ApostolicAnd we are very proud for that! We followers of The Holly Apostles Catholic Church. (Sijui nimepatia [emoji16])
Bado Kakobe
🙏 Tumsifu Yesu KristuApostolic
Watu elfu kumi na tano ni nini mbele ya watu bilioni na zaidi??Mwaposa anahudumia watu kiroha Zaid ya elf kumina tano kwa siku wew Ni Nani useme muhuni subiri utupiwe uchawi utatumia Yale maji taka usitake
Siyo kweli, muislam akienda kwa mwamposa halafu akarudi msikitini hafukuzwi.Hii ikifanywa na waislam ingechukuliwa tofauti, bora wamefanya hao
Walioitwa ni wengi na bali wateule ni wachache.Ni jambo la mtu mmoja mikononi Mungu.Walokoke mashabiki wa yesu,wakatoliki mwili wa yesu!?
Wakatoliki Ni mbumbu wa kusoma maandiko ,hivo Ni rahisi kutapeliwa na waganga wa kienyeji Kama kina mwamposa,gwajima, suguye,kuhan MusaAnayependwa na wengi wakiwemo wakatoliki
Inasaidia. Mkatoliki hukatazwi na Kanisa kwenda dini nyingine kama umeamua hivyo. Wanachokuambia ni kwamba usiwe mguu mmoja huku na mwingine kule. Kama wana nia ya kuhamia huko, waende tu ila wasirudi huku kupokea Sakramenti.Haisaidii, wakitaka kwenda kwa hiyari yao wataenda tu.