Mnahalibu Mali za watu wakiwapeleka polisi mnasingizia mmetekwaInahitaji akili ya maiti kuwaamini polisiccm
CHADEMA wajitathimini sana juu ya mwenendo wao kitabia.maana wanatabia na maadili mabaya sana.
Ndugu zangu Watanzania,
Inaonyesha CHADEMA imejaa walevi wa pombe na wanaopenda sana ulevi na unywaji wa pombe kupita kiasi.inaonyesha wao na Pombe ni damu damu.nazani pia mnakumbuka mchungaji peter Msigwa aliwahi kumtuhumu naibu katibu mkuu Benson Kigaila kuwa alinyweshwa sana Pombe siku moja Kabla ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa na kambi ya mpinzani wake.
Pia mnakumbuka kiongozi wao pia mkubwa Alilewa sana pombe akiwa Dodoma mpaka kudondoka na kuumia Mguu wake na kusingizia alivamiwa. Watanzania tusiruhusu hawa watu wakapewa madaraka maana watauza Nchi kwa kupewa Pombe .watasaini na kusainishwa Mikataba Mikubwa wakiwa wamelewa chakali mpaka Taifa lipate aibuView attachment 3112762View attachment 3112763
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani umeona wapi hapo kabambikiwa kesi zaidi ya ulevi wake?Kwani hao ndugu walishaacha kubambikizia watu kesi?
Tena hawakumpiga vizuri vizuri.ilitakiwa afundishwe na kushikishwa adabu mpaka pombe imtoke kichwani mwake.Mbali na mienendo na maadili.
Huyu mtu kalewa kagonga gari, anatakanl kusema anajua kila mtu anayeendesha gari?
Ati watu wasiojulikana walimtwanga.
Anajua Road rage?
Yaani unigongee gari langu na ulevi wako halaf? na akaenda polisi baada ya hapo.
Hawa kila kitu wanataka kusema ni kwa sababu za siasa. Ati ni kada wa CHADEMA, so what? Mlevi ni Mlevi tu, haijalishi ametokea chama gani.
Anyways, najua kuna kampeni(ona nyuzi hapa JF) kabambe zinazowaandama polisi.
Wakome huo upumbavu..
Kwani umeona wapi hapo kabambikiwa kesi zaidi ya ulevi wake?
Polisiccm waongoMnahalibu Mali za watu wakiwapeleka polisi mnasingizia mmetekwa
Hata chadema waongo kama mwenyekiti wao kalewa konyagi kaanguka kasingizia kushambuliwaPolisiccm waongo
Aliyekusimulia hayo ni mwongoHata chadema waongo kama mwenyekiti wao kalewa konyagi kaanguka kasingizia kushambuliwa
Muulize chamani wakoAliyekusimulia hayo ni mwongo
SOKOMOKO kazua balaa!!Jeshi la Polisi mkoani Iringa limemkamata kada wa Chadema, Vitus Nkuna kwa kusababisha ajali mnamo Septemba 30, 2024. Kamanda wa Polisi, SACP Allan Bukumbi, ameeleza kuwa Nkuna alikuwa anaendesha gari akiwa na kiwango kikubwa cha ulevi, hali iliyosababisha kugonga gari la kampuni ya KINGS.
Hata hivyo, kupitia ukurasa wake wa Twitter siku ya Jumatatu, Nkuna alidai kushambuliwa na watu wasiojulikana. "Nimeshambuliwa na watu wasiojulikana nikiwa barabarani hapa Iringa," aliandika.
Aliongeza kuwa baada ya kufika kituo cha polisi, viongozi wa Chadema walifika kumuunga mkono.
“Tunatoka Kituo Kikuu cha Polisi Iringa na naelekea kwangu. Kesho tutajua nani alikuwa wanataka kunikamata barabarani usiku huu kwa kunizuia mbele na nyuma. Tutaujuza umma kwa kila hatua”, alisisitiza Nkuna katika chapisho lingine.
Jeshi la Polisi limekanusha madai hayo, likieleza kuwa hakukuwa na shambulio, na tukio hilo lilitokana na ajali iliyosababishwa na Nkuna mwenyewe akiwa amelewa.
Una ushahidi alipimwa na nani na hicho kipimo kimethibitishwa na nani? ubora na usalama wake ukoje? kina hifadhiwa na nani? kibali cha kupima kilitolewa na mahakama ipi?alipimwa akakutwa yupo chakari huyu Nkuna sio wa kumtetea si ndo yy alieiba uchaguz alafu kamat kuu ikatengua ushindi wake
Moshiwa bangi anayotuta Mbowe naona unawachanganyaPolisi ni zaidi ya UVCCM, wanapambana na CHADEMA kuliko kupambana na majambazi
Maswali ya kijinga- Nkuna anakula mvua jiandaeni kumchangia mke wakeUna ushahidi alipimwa na nani na hicho kipimo kimethibitishwa na nani? ubora na usalama wake ukoje? kina hifadhiwa na nani? kibali cha kupima kilitolewa na mahakama ipi?
Mumeo anatumia upi?Moshiwa bangi anayotuta Mbowe naona unawachanganya
Akila mvua wewe na mumeo mtapata hasara gani?Maswali ya kijinga- Nkuna anakula mvua jiandaeni kumchangia mke wake