STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
In the last couple of barrages. both Saraya Al-Quds and Hamas Al-Qassam announce they targeted Iron Dome batteries.Basi mambo yanaelekea kubaya zaidi
Watume tu! Wanangojewa!BREAKING: HAMAS LAUNCHES BALLISTIC MISSILES AT ISRAEL.[emoji120][emoji120]View attachment 1783506
Hizo 1000 unajua ni za aina gani? Hizo wanapasha tu na wao silaha kali zitatumika hali inavyozidi kubadilika...........hizo 1000 sio lazima zipige target ya maana ............wanawatia hasara tu hao wayahudi hata wao wanajua hivyo vikombora haviwezi leta uharibifu wa maana shida yao ni hio iron dome na hapo usikute wanarusha ili kuisoma inavyofanya kazi piaWa Palestina bado hawajaonja vitu hivi, viko pembeni bado. Wanajeshi wa Israel wameanza kujaa kwenye ukanda wa Gaza, ikikisiwa kuwa wanajitayarisha kwa mashambulio ya ardhini ikifikia hapo, wako tayari kuzama ndani!
View attachment 1783461
View attachment 1783462
View attachment 1783463
View attachment 1783464
View attachment 1783465
View attachment 1783466
Hilo gari la kijeshi liko unmanned, yaani linaendeshwa kiteknolojia.
View attachment 1783467
View attachment 1783468
View attachment 1783469
View attachment 1783470
View attachment 1783471
View attachment 1783472
View attachment 1783473
View attachment 1783474
View attachment 1783475
View attachment 1783476
NB;nchi tajari upande wa kijeshi siku zote hawaendi kichwa kichwa, wanakupima uwezo wako kwanza ndio waanze ku eliminate hizo strength points zako. Hapo Mpalestina anafanya uboya kurusha makombora, wanapimiwa unga sasa, ndo maana kina Egypt na Marekani wametuma wajumbe wao kuanza mazungumzo sababu wanajua, Israel haijaanza vita vizuri, inagoja mda mwafaka. Hivyo vifaa vyote hapo juu ni hela kutengeneza na vyote ni vya Israel. Je wapalestina wanavyo, wanaunda au ni vya bure wanangoja kupewa na mahasidi wa Israel aka Iran? Vita sahi vya Israel ni Fighter jets na tanks tu sahi anatumia sana, bado Netanyahu anasema hiyo ni warm up kudadadeki! Wacha waendelee kurusha zao zote tu. Utarushaje 1000 rockets kwa usiku mmoja na usifanye loss ya maana kwa adui, huku mwingine anatumia silaha kiasi tu za kisasa, mnalizwa kila pande ya mtaa.
Narudia tena, Vita sio vizuri!
Niliwahi kuwambia watu humu isije ikaja kutokea ya YemenHizo 1000 unajua ni za aina gani? Hizo wanapasha tu na wao silaha kali zitatumika hali inavyozidi kubadilika...........hizo 1000 sio lazima zipige target ya maana ............wanawatia hasara tu hao wayahudi hata wao wanajua hivyo vikombora haviwezi leta uharibifu wa maana shida yao ni hio iron dome na hapo usikute wanarusha ili kuisoma inavyofanya kazi pia
Inakwaje 1000 yote madhara madogo hiviHizo 1000 unajua ni za aina gani? Hizo wanapasha tu na wao silaha kali zitatumika hali inavyozidi kubadilika...........hizo 1000 sio lazima zipige target ya maana ............wanawatia hasara tu hao wayahudi hata wao wanajua hivyo vikombora haviwezi leta uharibifu wa maana shida yao ni hio iron dome na hapo usikute wanarusha ili kuisoma inavyofanya kazi pia
Daah wewe jamaaIsraeli terrorist regime never thought they would face an existential threat from Gaza.
They're now being taught a good lesson.
Eat all those rockets & UAVs.
Inakwaje 1000 yote madhara madogo hivi
Atakayeenda hasara ni nani, mwenye kuzi manufacture mwenyewe, au mwenye kuzinunua au kupewa bure nyingi ya silaha zake? π Ni sawa na Diamond aanze kushindana na Dweji, si waona utopolo hapo? π π πView attachment 1783542View attachment 1783543
Gharama za hizo rocket kwa kila upande hivyo vi rocket havina malengo ya kuleta uharibifu mkubwa huko wanaporusha kombora moja la Hamas gharama kama $800 kwa miaka hio kama unavyoona hapo wakati kombora 1 la iron dome ni $80,000 sasa huyo akirusha makombora 1000 lazima na upande mwingine atumie makombora mengi ili kuyazuia hayo yanayokuja..........hapo utaona lengo kuu la hamas na hizo rocket zao.......mengine jiongeze utaelewa
Nani anapewa bure hapoAtakayeenda hasara ni nani, mwenye kuzi manufacture mwenyewe, au mwenye kuzinunua au kupewa bure nyingi ya silaha zake? π
Nionyeshe kampuni ya kutengeza Missiles, Drones, Fighter Jets, War ships, Arms & ammunition, iliyo ndani ya Palestine au hao Hamas wako nazo? π Wanashindana na ndovu kuenda haja kubwa, lazma pana mtu atapasuka msamba hapo!Nani anapewa bure hapo
Hawana viwanda hayo makombora wanayorusha wanapokea toka mbinguni na bado yanapenya kwenye ngome za hao wenye viwanda..............na mmoja anapigana jihad hana hasara hata akifa wakati mwingine ana vingi vya kupoteza.....Nionyeshe kampuni ya kutengeza Missiles, Drones, Fighter Jets, War ships, Arms & ammunition, iliyo ndani ya Palestine au hao Hamas wako nazo? π Wanashindana na ndovu kuenda haja kubwa, lazma pana mtu atapasuka msamba hapo!
Siongei mengi...!Hawana viwanda hayo makombora wanayorusha wanapokea toka mbinguni na bado yanapenya kwenye ngome za hao wenye viwanda..............na mmoja anapigana jihad hana hasara hata akifa wakati mwingine ana vingi vya kupoteza.....
Haya yote hayana maana kama vita yenyewe unapigana na wana mgambo tu......ngoma kama hizi zina maana kama vita ni ya taifa kwa taifa na wote wana majeshi ya kueleweka na si wana mgambo ndo maana hata huyo marekani Syria ,Afganistan na Somalia anambwelaIsraeli Military Industries (IMI) Systems and Israel Aerospace Industries (IAI) unveiled their own air-launched ballistic missile, called 'RAMPAGE'.
View attachment 1783554
Muda utaongeaSiongei mengi...!
Inawezekana pia waisrael wamekufa zaidi ya hao ila hawawezi sema.Tatizo LA mtanange huu habar zinazohusu uharibifu ktk maeneo ya Israel zinabanwa hazitolew kinagaubaga
Halaf hizo Qasam hamas anazalisha mwenyewe na yeye anaingia gharama za kuzitengeneza kama huyo mwenye viwanda nae anavyoingia, tofauti mmoja hatumii gharama kubwa kutengeneza, hizo Qasam masela wanaweza jifungie magetoni tu na wakatoa mzigo wakati mwingine kawekeza pesa ndefu na muda mwingi huko kwenye maviwanda kwahio rocket 1 la hamas ni kama mtu akurushie ka iphone tu na wewe umjibu kwa kurusha kombora lako lenye gharama ya audi ya mjerumaniAtakayeenda hasara ni nani, mwenye kuzi manufacture mwenyewe, au mwenye kuzinunua au kupewa bure nyingi ya silaha zake? π Ni sawa na Diamond aanze kushindana na Dweji, si waona utopolo hapo? π π π
Maana media nyingi kubwa za kuripoti hayo mambo zinamilikiwa na haohao wayahudiInawezekana pia waisrael wamekufa zaidi ya hao ila hawawezi sema.