Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

Bado una la kusema ?
 
Iron dome imeshindwa vibaya sana.

Mdaa huu shule na viwanja vya ndege vimefungwa baada ya baada ya maroketi kufanikiwa kupiga sehemu za kiraia ni nandra kusikia vifo huko israel ila huwezi amin mda mfupi ulio pita wamekufa watu watatu
Baba na bintiye, wote wana asili ya kiarabu lakini ni wakaazi wa Israel, pamoja na mama m Israel mmoja...kwa hiyo Hamas wakirusha wajue wanaua watu wenye asili ya kiarabu pia, sio Wayahudi wote.
 
Duuuu???!! Wameshaanza mapambano ya uso kwa macho
Ni kweli. Angalia anavyosema meya wa mji wa Lod
"The mayor of Lod, Yair Revivo, said decades of coexistence had been "trampled."
He said Arab-Israeli rioters had been "burning synagogues, Talmud Torah, dozens of vehicles, burning garbage containers, destroying Israeli flags and worse, lowering the Israeli flag and hoisting the Palestinian flag, on a night of riots that injured policemen and residents who found themselves besieged."

A truck burns at the entrance of the mixed Jewish-Arab city of Lod, where a state of emergency has been declared.
 
Baba na bintiye, wote wana asili ya kiarabu lakini ni wakaazi wa Israel, pamoja na mama m Israel mmoja...kwa hiyo Hamas wakirusha wajue wanaua watu wenye asili ya kiarabu pia, sio Wayahudi wote.
Na hata huko palestina kuna wakazi ambao asili yao ni wayahudi
 
Mayahudi wakiingia katika nchi,watajipenyeza kijanja kwenye taasisi za fedha na vitega uchumi vikubwa kama vile madini.Kwa kuwatumia viongozi fisadi wa serikali mara amri zinakuwa ni zao na wananchi wanaanza kuona machungu yake.
Nchi za kiarabu zilizorudisha uhusiano karibuni na Israel hivi sasa umasikini wa raia unapanda kwa kasi na wengi wao wanatamani kukimbia wakaishi nchi za mbali.
Mayahudi wakiingia katika nchi,watajipenyeza kijanja kwenye taasisi za fedha na vitega uchumi vikubwa kama vile madini.Kwa kuwatumia viongozi fisadi wa serikali mara amri zinakuwa ni zao na wananchi wanaanza kuona machungu yake.
Nchi za kiarabu zilizorudisha uhusiano karibuni na Israel hivi sasa umasikini wa raia unapanda kwa kasi na wengi wao wanatamani kukimbia wakaishi nchi za mbali.
 
Ni kweli mkuu uwezo mdogo wa hizo roketi ni faida kwa Israel. Laiti yangekua ni makombora ya kisasa hali ingekua mby mno kwa Netanyahu
 
#BREAKING: Rockets from Gaza again heading to central Israel including Tel Aviv


Hii iron dome huwa inalala?
 
Watanzania wajinga sana kwa jinsi wanavyoongelea hii vita kwa uchungu utadhani bibi na babu zao ndio wanauawa huko, wakati shangazi zao wapo vijijini choka mbaya na wameliwa na funza bado yanakenua tu meno kama kenge mzee
 
#BREAKING: Hamas now sending suicide drones laden with explosives to border communities in southern Israel
 
Hamas announces they carried out multiple ops with suicide drones. At the same time, suicide drones are on the way to Israel.
 
#BREAKING: Israelis in Gaza border area asked to turn off security cameras in homes and businesses, following intelligence that Hamas is waging cyber warfare, taking over the systems and may gather intelligence. Residents also asked to disconnect the systems from the internet.
 
Israel's nightmare is becoming reality.

Palestinian forces just used Loitering Munition (suicide drones) to target Israeli terrorists.

Attack was successful and Palestine will soon reveal the details of the operation.
 
Sipendi kinachoendelea lakini Israel ana msimamo sana. Akisema watalipa gharama anafanya kweli. Nilihisi hatafanya kitu lakini kwa yanayoendelea hadi naogopa.
Tayari keshafanya yake wavaa makobazi badala ya kuwasifia kama awali saivi wanalaumu

Wanadamu bhana
 
Kuna mtu naona hataki kuonekana mnyama kwa kutumia nuclear systems zake, ila akikosea tu hasira zimzidi atoe, basi hapabaki mtu upande wa pili, itakuwa Syria nyingine kusipofanywa ceasefire hapo! Siombi yawe hivyo hata siku moja!
Uzuri Israel ukubwa wa eneo lake ni 22,145 km² tu(eneo dogo sana) so madhara ya Nuclear hata yenyewe Israel itayapata kwa uzuri kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…