STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Mihemuko ikikuzidi huwa unabwabwaja tuNa Bado israel isisikilize usitishwaji wowote wavita ishushe mashambulizi ya kutosha mpaka Palestina washike adabu haiwezekani warushe vikombora vyao israel ikaanza kujibu ndio UN wanataka vita visitishwe
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Netanyahu: “Can't say we are not facing an escalation. The intelligence we have says it is very possible that the violence will increase in the coming days"
1-HamasHivi Hamas na Alshabab or Boko Haram Nani Ni deadly Kati ya haya makundi matatu????
Duuu!!!??? Km kwel wameilipua kuna uwezekano mkubwa Leo usiku us akajifanya mpatanishSome sources (unofficial) claim the target was an Iron-Dome radar system.
If true, this will be a huge blow to the zionist entity.
Hayo Mayahudi ni maonezi Sana sijui hata Waarabu wanashindwa nini kujitoa mhanga kwa ajili ya kuwasidiaWatu wanaoshabikia sana hii vita ya Hammas dhidi ya Israel,lakini ukweli ni kwamba,Sio Hammas wala IDF atakayepoteza baada ya vita hii bali ni wananchi wa Palestina. Kwanini? Angalia sababu hizi:
1.Kwani baada ya Vita Hammas hapotezi chochote? Ni kwamba,Hammas ambao majengo yao rasmi pale Gazza hayajulikani wao kazi yao ni kuvurumisha makombora kuelekea Israel tu,Makombora baadhi hutunguliwa na mifumo ya Ulinzi ya Israel,Mengine huangukia Maeneo ya Wazi na Machache huweza Ku-HIT Target na kusababisha Madhara kwa Wananchi wa Israel. Baada ya kurusha Makombora Hammas hujificha na hivyo kuwa vigumu kwa Israel kujua walipo.
2.Kwanini Israel Haipotezi baada ya Vita? Ukweli ni kwamba,vita nyingi kati ya Israel na Hammas husababishwa na POLITICAL TENSION huko Israel. Netanyahu amekalia kuti Kavu huko Israel,kupunguza TENSION ya kisiasa huko Nyumbani,huamua kuzusha Msala wowote ule wa Kivita dhidi ya Hammas. Mfano,yaani vita hii imetokana na Mpango wa Israel kuondoa Makazi 6 ya Wapalestina yaliyobaki huko Jerusalem Mashariki kitu ambacho hakina Mantiki kabisa.
3. Kwanini raia wa Palestina ndio wanaopoteza mwisho wa Vita hii? Kwasababu,Baada ya Hammas kushambulia Israel kwa Makombora na kujificha kusiko julikana na hivyo kumpa ugumu Israel jinsi ya Kutarget kambi za Hammas. Kwa kuona hilo,Israel hana Chaguo zaidi ya kutuma Makombora ya ndege na Drones kwenye Majengo yenye rais wa Palestina na kutangaza kwamba amelipua kambi za Hammas ili kuwaridhisha raia wa Israel waone kwamba serikali yao iko inalipa kwa kile kilichofanywa na Hammas. Mwisho wa Siku raia wengi wa Palestina hufa,wengine kuachwa Vilema na wengine bila Makazi.
Mfano Mzuri ni hili ghorofa ambalo limeangushwa na Israel huko Gazza katika harakati za kujibu mashambulizi ya Hammas. Wapalestina wengi hapo mwisho wa vita wataachwa bila Makazi huku raia wa Israel waliobomolewa paa zao na Makombora ya Hammas wakijengewa Nyumba nzuri zaidi kabisa.View attachment 1782197
Upo sahih mnama kwa sabab si wapalestina wala waisrael wote wapo roho juu Yale maisha ya kawaida hakunaSema tuna ongea kishabiki lakini kwa picha nnazo ziona uko Vita sio ya kushangilia kabisa
Wanapata nguvu kutoka kwa USHayo Mayahudi ni maonezi Sana sijui hata Waarabu wanashindwa nini kujitoa mhanga kwa ajili ya kuwasidia
Vyanzo huko kwenye mitandao wameongea hivyohivyoDuuu!!!??? Km kwel wameilipua kuna uwezekano mkubwa Leo usiku us akajifanya mpatanish
huoni aibu kuandika uongo !!Wazungu hawa waliwauwa sana, waliwapiga sumu wafe wamalizike kwa bahati wakabaki wacheche kila nchi ilikua inawakataa so waliobakia ndio wakachukuliwa wakapelekwa kwenye ardhi ya Palestina na kupewa silaha, yaani ni kama kikundi kimepewa silaha ndio wakaanza kupora maeneo kwa huku kukiwa na support ya wakubwa zake Us na uk, Yaani walitawanyika na unapowakaribisha kwenye nchi yako wamejaa ufisadi
Wacha tuone mziki utaishajeTaari wameanza kutumia ballistic missile medium range View attachment 1783512
Basi mambo yanaelekea kubaya zaidi#BREAKING CNN: The Pentagon withdraw 120 US military and civilians from Israel [emoji1134] ~