Israel Ameamua Kukimbia Lebanon

Huna jipya umebaki kubwabwaja kijana mdogo MBYA .
Nadhani nondo zimekupata kiuhakika na umejifunza vya kutosha.
Siku nyingine uliza uelimishwe.
 
Sasa,ugumu wake ni upi hapo?Kwamba IDF ilikuwa na wanajeshi jumla kumi(10)na sasa wamekufa saba(7) wamebakia watatu tu?Hebu tueleze nini maana ya vita/mapambano?Kwamba ulitaka yale ya kwenye sinema asife hata mmoja?
 
Sasa,ugumu wake ni upi hapo?Kwamba IDF ilikuwa na wanajeshi jumla kumi(10)na sasa wamekufa saba(7) wamebakia watatu tu?Hebu tueleze nini maana ya vita/mapambano?Kwamba ulitaka yale ya kwenye sinema asife hata mmoja?
Wateule wa mungu wanakuje tena?
Mm nikadhani risasi zina dunda.
 
Sipo serious vipi, kumbe kala kiapo tayari kuwa yeye Rais hongera sana. Haya hata kama unataka kumuanzisha awe Rais kabla ya tarehe 20th January 2025. Muambie Hezbullah, Al Houthi na Iran hawatishwi naye wakati utaongea.
Basi sawa
 
Hezbollah wamempa kipigo alidhani ataingia kirahisi rahisi anatafuta sababu ya kujiondoa kwa US alivyojiondoa vietnam.
Wao si waligoma kuisikiliza UN hadi katibu mkuu akapigwa marufuku kukanyaga Israel.
Israel alitegemea akijidai kusimamisha vita Lebanon in one side, serekali ya Lebanon watawatia pressure Hezbullah wasimamishe vita. US alienda kuwahonga hao serekali ya Lebanon ambao ni masunni kwa kusaidiwa na Saud Arabia na UAE ili watume jeshi la Lebanon kule border na Hezbullah warudishe km 15 nyuma ya mto Letani. Pia walitaka serekali ya Lebanon iruhusu ndege za Israel ziwe zinahaki ya kushambulia anytime, wakiona kuna hatari upande wa Hezbullah. Pia Hezbullah azuwiwe kuingiza silaha Lebanon kwa njia ya Syria. US alisha toa ahadi wakifanya hayo serekali ya Lebanon watapewa msada wa US wa kijeshi na mabilioni ya pesa kuijenga Lebanon kutoka US, UAE na Saud Arabia.

US hajui Hezbullah akisema no ni no tu sio US, Israel, Saud Arabia, UAE na serekali ya Lebanon wanaweza fanya chochote kile. Hezbullah bila hio resolution 1701 ina taka Israel akaitekeleza masharti ya UN, hakuna lolote watapata zaidi ya Missiles kushuka kama mvua huko Israel.
 
Mods bana hawataki kabisa kusikia hizi habari za kuuliwa Waisrael, kuna uzi nilinzisha wanajeshi wa Waisrael wanaendelea kufa wamemipiga pini siwezi kupost😂
Hao ma Mods ni wafuasi wa mkosa nyumba, lazima wawatetee wanajeshi wa taifa fake la babu yao 😄

Kuna mfuasi wa Paulo humu ana majina 30+ wanamuachia alete ujinga kila kukicha.
 
Hizi habari za israel kukimbia Lebanon mnazipata msikiti gani nyie
Tazama mwanzo wa mada niliweka breaking news, hio channel ilisema ni channel 12 ya Israel ndio ilisema, wanataka kusimamisha vita upande mmoja. Walikuwa ndio wameisha amua vile na dalili pia ni hio hapa ingine. Hezbullah akasema mpaa Israel akubali wanacho taka wao Hezbullah sio serekali ya Lebanon ikubali wanacho taka Israel.

Israel alikuwa anabembeleza US akawatekenye wale ma sunni wakubali masharti yake, Hezbullah wakakataa kusimamisha vita.



View: https://youtu.be/F8qUvj_7-FY?si=Q-zkbT3Ty9aJbyrb
 
Badala ya kurudisha watu wa kaskazin lakini mpaka telaviv wamefikiwa
 
Huna jipya umebaki kubwabwaja kijana mdogo MBYA .
Nadhani nondo zimekupata kiuhakika na umejifunza vya kutosha.
Siku nyingine uliza uelimishwe.
Unajifariji tu wewe Israel ni mbabe wao ndo maana anafanya afanyavyo na hakuna mtu anaethubutu kuizuia ndo maana hata Irani wametulizwa kwao huko wamebeki kulia Lia tu
 
Wenzako bado wanapokea kipigo wewe upo Lebanon ya Manzese kwa mfuga mbwa labda.

Wanapelekewa moto mpaka sasa.
 
Vita
Hezbollah wamempa kipigo alidhani ataingia kirahisi rahisi anatafuta sababu ya kujiondoa kwa US alivyojiondoa vietnam.
Wao si waligoma kuisikiliza UN hadi katibu mkuu akapigwa marufuku kukanyaga Israel.
Iendelee tuone nani anaumia zaidi kati ya Israeli au waarabu saivi jamaa katawala anga anajibondea tu
 
Unajifariji tu wewe Israel ni mbabe wao ndo maana anafanya afanyavyo na hakuna mtu anaethubutu kuizuia ndo maana hata Irani wametulizwa kwao huko wamebeki kulia Lia tu
Nimekuletea ushahidi wa habari wewe unaniletea maneno matupu,hivi unajielewa kweli wewe kijana!??
Hivi unajua hiyo Israel yako pasi na USA,UK na France hawana NGUVU kabisa ya kijeshi!?
Nimekuletea idadi ya askari waliokufa na kugeuzwa walemavu wewe unaniletea maneno matupu.
Aiseeee kijana umekuwa brainwashed vibaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…