Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyuzi zingine za kisenge sana
Kama wana akili na teknolojia mbona Hitler aliwanyoosha. Na kila nchi ambayo myahudi aliishi huko Ulaya alikua anachinjwa tu why baada ya US kuwapa nchi hapo palestina ndio ghafla wawe na akili na teknolojia???Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine
Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine
Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine
Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Wayahudi ni watu hatari sanaWayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine
Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine
Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Uliza sababu ya Hitler kuwaua kaka. Walikuwa sekta zote za uchumi wameshikilia halafu hapo hapo wanashirikiana na Uingereza adui wa ujerman by then kutaka kurudishiwa ardhi ya mababu zao kule british palestine. Hata Spain tatizo ni hilo hilo.Kama wana akili na teknolojia mbona Hitler aliwanyoosha. Na kila nchi ambayo myahudi aliishi huko Ulaya alikua anachinjwa tu why baada ya US kuwapa nchi hapo palestina ndio ghafla wawe na akili na teknolojia???
Hata Ukraine mbona ameweza mudu vita? Si sababu ni msaada wa silaha za USA bila hivyo wangeshatekwa zamani sana.
Ndugu mimi nafikiri kuna kilichojificha nyuma ya hawa marafiki 2 huwezi kukitambua kwa macho ya kawaida inakulazimu kuwa mmoja wao ktk utendaji wao, sio kama tunavyo fikiri kirahisi hapa jukwaani.Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine
Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Kuna kitu kikubwa sana nyuma hapo tutabakia kukisia tu kwakweli wakubwa hawa wana maajenda yao na ukiwaingilia lazima wakunyofoe upotee.Uliza sababu ya Hitler kuwaua kaka. Walikuwa sekta zote za uchumi wameshikilia halafu hapo hapo wanashirikiana na Uingereza adui wa ujerman by then kutaka kurudishiwa ardhi ya mababu zao kule british palestine. Hata Spain tatizo ni hilo hilo.
MiAfrika ndivyo ilivyo.Ukitaka nchi yako ibarikiwe ibariki Israel na ukitaka nchi yako ilaaniwe ilaani Israel utalaaniwa na uzao wako pamoja na nchi yako.
Kuna watu wana matatizo makubwa sana halafu hawajajigundua.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Israel haipo hata top five ya mataifa yenye technology kubwa.Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine
Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Hakuna cha ardhi za mababu wala nini.Uliza sababu ya Hitler kuwaua kaka. Walikuwa sekta zote za uchumi wameshikilia halafu hapo hapo wanashirikiana na Uingereza adui wa ujerman by then kutaka kurudishiwa ardhi ya mababu zao kule british palestine. Hata Spain tatizo ni hilo hilo.