Israel anajivunia akili na technologies anazouzia nchi nyingine. Ni ajabu kusema Israel haina nguvu bila Marekani

Israel anajivunia akili na technologies anazouzia nchi nyingine. Ni ajabu kusema Israel haina nguvu bila Marekani

Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine

Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Kama wana akili na teknolojia mbona Hitler aliwanyoosha. Na kila nchi ambayo myahudi aliishi huko Ulaya alikua anachinjwa tu why baada ya US kuwapa nchi hapo palestina ndio ghafla wawe na akili na teknolojia???

Hata Ukraine mbona ameweza mudu vita? Si sababu ni msaada wa silaha za USA bila hivyo wangeshatekwa zamani sana.
 
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine

Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
 

Attachments

  • IMG_20240929_192216_550.jpg
    IMG_20240929_192216_550.jpg
    114.1 KB · Views: 1
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine

Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Wayahudi ni watu hatari sana
 
Musa alizaliwa kipindi ambapo Filauni (Farao) alikuwa ametangaza kiama kwa watoto wote wa kiume ili tu Wayahudi wasilete hatari katika nchi ya wamisiri kwa siku za usoni

Mama yake Musa ilibidi amtupe kwa mto na ule mto ndo watoto wa kishua Farao walikuwa wakipenda kuogelea, Walimwokota Musa, naye Musa alikuwa ni mtoto mchanga, alilelewa na kupewa huduma zote za kibinadamu ktk nyuma ya Kifalume,

Musa alipokuwa mtu mzima, kwanza alijitambua kuwa yeye si mmisiri ila ni Myahudi, hiki ni kitendo cha kushangaza sana kati ya simulizi zilizoko kwenye Biblia

Alijitambua kuwa yeye ni Mwisrael, Musa aliibua kisanga Siku alipowakuta Wawili wakigombana, Mmisiri na myahudi, na hapo aliwatambua mmisiri ni yupi na Myahudi ni yupi, haya nayo ni maajabu

Musa aliingilia ugomvi na kumchapa mmisiri hadi umauti


Musa alikimbia Misiri na kwenda Midiani na ndiko alikokulia na kuoa huko,

Hii ni ishara kuwa, Wayahudi ni wayahudi tu, kokote waliko wanatambua kuwa, wao ni wayahudi hata kama wana uraia wa nchi hizo, bado watatekeleza mambo yao kiyahudi na kutetea taifa lao la kiyahudi licha kwamba hawakai Israel

Sioni ajabu viongozi wa kiarabu kuuliwa kirahisi, kwa sababu myahudi kila kona yuko, na amapokuwa huko, anatabia zote za kiyahudi

Nawaambieni hivi msiowajua wayahudi, hata Irani au kiongozi wao watakapoanza kuwapiga wayahudi, wayahudi walioko huko Uran ndio watakaomuuwa

Damu ya myahudi haipotezi asili yake popote pale ilipo

Vitavya pili vya dunia vilipowatawanyisha wayahudi na kwenda kwenye nchi mbalimbali duniani, ilikuwa ni mpango kabambe wa Mungu ili wasipate shida iwapo taifa lolote litawainukia

Siri zote zitakuwa wazi kwa kiongozi wa taifa lao kutoka kwenye nchi yoyote walipo

Dunia lazima iseme, Israel ni mpango wa Mungu, na anayeshupaza shingo, atavunjwa
 
Marekani anafanya nini?
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine

Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
 
Kama wana akili na teknolojia mbona Hitler aliwanyoosha. Na kila nchi ambayo myahudi aliishi huko Ulaya alikua anachinjwa tu why baada ya US kuwapa nchi hapo palestina ndio ghafla wawe na akili na teknolojia???

Hata Ukraine mbona ameweza mudu vita? Si sababu ni msaada wa silaha za USA bila hivyo wangeshatekwa zamani sana.
Uliza sababu ya Hitler kuwaua kaka. Walikuwa sekta zote za uchumi wameshikilia halafu hapo hapo wanashirikiana na Uingereza adui wa ujerman by then kutaka kurudishiwa ardhi ya mababu zao kule british palestine. Hata Spain tatizo ni hilo hilo.
 
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine

Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Ndugu mimi nafikiri kuna kilichojificha nyuma ya hawa marafiki 2 huwezi kukitambua kwa macho ya kawaida inakulazimu kuwa mmoja wao ktk utendaji wao, sio kama tunavyo fikiri kirahisi hapa jukwaani.
 
Uliza sababu ya Hitler kuwaua kaka. Walikuwa sekta zote za uchumi wameshikilia halafu hapo hapo wanashirikiana na Uingereza adui wa ujerman by then kutaka kurudishiwa ardhi ya mababu zao kule british palestine. Hata Spain tatizo ni hilo hilo.
Kuna kitu kikubwa sana nyuma hapo tutabakia kukisia tu kwakweli wakubwa hawa wana maajenda yao na ukiwaingilia lazima wakunyofoe upotee.
 
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine

Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Israel haipo hata top five ya mataifa yenye technology kubwa.
Muwe mnafuatilia vitu sio kuropoka ropoka.
Israel inaongoza sehem moja tu,kwenye technology ya kilimo basi.
Hadi leo Israel kuunda ndege hawezi anatumia za USA.
 
Uliza sababu ya Hitler kuwaua kaka. Walikuwa sekta zote za uchumi wameshikilia halafu hapo hapo wanashirikiana na Uingereza adui wa ujerman by then kutaka kurudishiwa ardhi ya mababu zao kule british palestine. Hata Spain tatizo ni hilo hilo.
Hakuna cha ardhi za mababu wala nini.
Hii dunia kama tukisema kila mtu adai ardhi yake basi ingepasuka kwa vita dunia nzima.
*Uturuki anakaa ardhi ya Mgiriki na Muiran.
*Egypt, Algeria,Morocco wanakaa ardhi za wanubi.
*USA na Canada wanakaa ardhi ya walatini.
*Australia wanakaa ardhi ya caucasians.
Kwahiyo mwenye haki ni Israel peke yake!??
Hitler ana akili sana kuwaua hao jamaa.
Hawana shukran kabisa ukiwaacha wastawi.
 
Back
Top Bottom