passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli.Maana Wapalestina hawakuua watoto mwezi October.Wanaume kamili kwa kuuwa watoto na wagonjwa.
Lakini Israel iliambiwa alete ushahidi wa watoto kuuawa lakini mpaka sasa ni bila bila.Ni kweli.Maana Wapalestina hawakuua watoto mwezi October.
Habari sijaifatilia ila kama israhell kafanya na iran kasema atajibu basi nisuala la muda tuHamna kitu Israel itafanywa na Iran. Na kwa sasa jeshi la Israel lipo chonjo silaha ziko standby ili yeyote atakayejitokeza kulipiza kisasi cha shahidi huyu IRGC Brigadier General Reza Mousavi apigwe.
Israel haibembelezi, Brigadier General wa Iran alikuwa amejificha Syria anatoa maelekezo akapigwa. Na uzuri haijakana imetangaza.
SASA SISI INATUHUSU NN???
WACHA WAPIGANE TUJUE MBABE NA SIO NGONJERA ZA KWRNYE MIHADHARA
Mpaka sasa israel kapoteza wanajeshi 157 hamas wamepoteza wapiganaji 7000 na hellbullah wapoteza viongozi wao wakuu karibia 200+Habari sijaifatilia ila kama israhell kafanya na iran kasema atajibu basi nisuala la muda tu
Suala la israhell kwenda kuipiga iran hili usahau
Iran si katangaza rasmi kama anaunga mkono alicho ama anachokifanya hamas kuanzia kule israhell mpaka ghaza haya israhell kapoteza wanajeshi wangapi kamfanya nini iran au ndio kaenda kujibu mapigo
Kwamujibu wa habari hapo toka iran huyo bwana alikua ni mstaafu kama sijakosea
Israhell anapigwa kule na Lebanon wanauliwa wanajeshi wake ambao wanajulikana kabisa lebanon mtoto wa iran
Israhell hana ustand by amalizane kwanza na hamas hawezi pigana na iran
Hawa wataendelea na proxy tu utaona hawa wakipigana direct endapo mmoja wapo atashambulia ardhi za mwenzie direct nani jambo ambalo hamna atakae fanya si israhell wala iran
Kama hujui proxy za iran na israhell utaona hili jambo kuubwa ila lakawaida sanaaaaaaaa
Hamna hamas wamepoteza wanajeshi wao wote na idf haijapoteza mgambo wao hata mmojaMpaka sasa israel kapoteza wanajeshi 157 hamas wamepoteza wapiganaji 7000 na hellbullah wapoteza viongozi wao wakuu karibia 200+
Sawa pole kwa kufiwa leoHamna hamas wamepoteza wanajeshi wao wote na idf haijapoteza mgambo wao hata mmoja
Ahsante ila hongereni nyie mtakao ishi mileleSawa pole kwa kufiwa leo
Kwa hasara ambayo amesha ipata Israel mpaka sasa kutoka kwa makundi yanayo ungwa mkono na Iran ilikuwa ni sababu tosha ya Israel kutangaza vita na Iran lakini hawezi thubutu kufanya huo ufala maana anajua ni kipi kitamkuta.Hamna kitu Israel itafanywa na Iran. Na kwa sasa jeshi la Israel lipo chonjo silaha ziko standby ili yeyote atakayejitokeza kulipiza kisasi cha shahidi huyu IRGC Brigadier General Reza Mousavi apigwe.
Israel haibembelezi, Brigadier General wa Iran alikuwa amejificha Syria anatoa maelekezo akapigwa. Na uzuri haijakana imetangaza.
Msiba wapi ikwiririau manzese kwa binyau?Ahsante ila hongereni nyie mtakao ishi milele
Mfyuuu...kwani ni mara moja kuuwa hao mageneral? Mbona soleiman alichinjwaa, juzi hapa tena mtengeneza silaha kaliwa kichwa hapo hapo iran na hakuna chochote wanafanya? Mfyuu ni umbwaa tu anabweka na kuingiza mkia miguuni..Siku hizi wanasema mazayuni hapo wamekinukisha wenyewe. Iran hawezi kukubali kabisa ikapita hivihivi tu.
Kule kule kwa janaMsiba wapi ikwiririau manzese kwa binyau?
Aliuliwa iran ipi au ya pale jirani yenuMfyuuu...kwani ni mara moja kuuwa hao mageneral? Mbona soleiman alichinjwaa, juzi hapa tena mtengeneza silaha kaliwa kichwa hapo hapo iran na hakuna chochote wanafanya? Mfyuu ni umbwaa tu anabweka na kuingiza mkia miguuni..
Aliuliwa iran ipi au ya pale jirnMfyuuu...kwani ni mara moja kuuwa hao mageneral? Mbona soleiman alichinjwaa, juzi hapa tena mtengeneza silaha kaliwa kichwa hapo hapo iran na hakuna chochote wanafanya? Mfyuu ni umbwaa tu anabweka na kuingiza mkia miguuni..