Umri wako mdogo vita Israel na Palestina umevujulia JF kabla ya October 7 hufahamu chochote wewe endelea na ushabiki mandazi hii vita imeanza miaka 75 iliyopita kabla ya October 7 unajua Waisrael walichofanya Masjd Al Alqsa?Hiyo inaitwa akikupiga ngumi ya jicho nawe mpige ya sikio. Akikuuliza unaonaje, nawe muulize unajisikiaje๐๐๐๐๐๐
October 7 mlishangilia sana naye anafanya october 7 kwa wapelestina kwahiyo mkae kwa kutulia tu ili nanyi msikie maumivu
Walikojolea na kunyea humo Masjid Al Aqsa. Kuna vitu vya ajabu sana duniani na katika kosa kubwa lililofanyika duniani ni kuruhusiwa kuzaliwa kwa Muddy(56) mme wa bi. Aisha (9) maana kasababisha mambo ya hovyo sana humu duniani.Umri wako mdogo vita Israel na Palestina umevujulia JF kabla ya October 7 hufahamu chochote wewe endelea na ushabiki mandazi hii vita imeanza miaka 75 iliyopita kabla ya October 7 unajua Waisrael walichofanya Masjd Al Alqsa?
Huyo siku zote likija swala Kama Hilo anatanguliza dini akili anaicha nyuma.Ndugu Ritz ,wewe ni mkongwe humu jukwaani, kuona umeandika neno hilo kwa kumuuita mwanajukwaa naona si sahihi.
Tutofautiane na kupingana kwa hoja kwa stara.
Story za magazeti hizi, Israel mpaka unaona inafanya strike ya namna hiyo hizo hesabu zoooote unazojua zilishafanyika.Siku hizi wanasema mazayuni hapo wamekinukisha wenyewe. Iran hawezi kukubali kabisa ikapita hivihivi tu.
Warabu maneno matupu.....DpwWanaukumbi.
BEIRUT, Des 25 (Reuters) - Shambulio la anga la Israel nje ya mji mkuu wa Syria Damascus siku ya Jumatatu lilimuua mshauri mkuu katika Walinzi wa Mapinduzi ya Iran, vyanzo vitatu vya usalama vilisema.
Vyanzo hivyo vililiambia shirika la habari la Reuters kwamba mshauri huyo anayefahamika kwa jina la utani la Sayyed Razi Mousavi, alihusika kuratibu muungano wa
kijeshi kati ya Syria na Iran.
===============
BEIRUT, Dec 25 (Reuters) -An Israeli air strike outside the Syrian capital Damascus on Monday killed a senior adviser in Iranโs Revolutionary Guards, three security sources said.
The sources told Reuters that the adviser, known by his nickname Sayyed Razi Mousavi, was responsible for coordinating the military alliance between Syria and Iran.
View: https://x.com/megatron_ron/status/1739305576100757507?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
====================
๐ฎ๐ทTAMKO RASMI LA IRAN: ISRAEL WATALIPA BEI YA KUMUUA REZA MOUSAVI
Walinzi wa Mapinduzi ya Irani:
"Shirika la Kizayuni litalipa gharama ya uhalifu wa kumuua mmoja wa washauri wetu wa zamani wa kijeshi nchini Syria.
Mshauri ambaye aliuawa na kundi la Kizayuni alikuwa na jukumu la kitengo cha usaidizi cha mhimili wa upinzani nchini Syria.
Chanzo: Al Jazeera
Warabu wanajua kutuibia tu mabanadari yetu kwa rushwa......hawana loloteStory za magazeti hizi, Israel mpaka unaona inafanya strike ya namna hiyo hizo hesabu zoooote unazojua zilishafanyika.
Qasem Soleimani was killed in air strike inside Tehran by so called US Army, lakini ukwlei walikuwa wanatekeleza interest of Israel.......Iran ili vow kulipiza kisasi kisicho mithirika, now its going 4 years nothing tangible ever happened.
Western Country Plus Israel, ni wadhulumu haki za watu, wauaji na watu wanaotengeneza vita nyingi zinazo sababibisha uhalifu wa maisha ya watuu, but who can dare to touch them? nobody because of economic power they have, millitary capability they have....View attachment 2853274
Bado tu mpo kwenye propaga tu hata vita ya gaza haijawafundisha kuelewa kuwa vita sio kucheza sindimba?ni bora Iran ifanye hivyo, tena ifanye mapema kabisa ili Israel watafute solution ya kudumu mapema. elewa neno "solution ya kudumu".
Saa hizi wanajipanga wanajisogeza sogeza na wanatayarisha upinzani wa Serikali ya Iran ukinukishe ndani ya Iran kama walivyofanya Libya na Iraq. Sema wameminywa tu.Marekani na washirika wake wanamtafuta sana Iran ni sababu tu ya kumshambulia moja kwa moja hawajaipata ila wanaisaka kwa udi na uvumba.
iran isibweteke ijifunze kwa Iraki.
mrusi hakuweza kumtetea Iraki, libya, Afghanistan &co nchi zao zisisambaratishwe.
Heheeeeee mbna unapovukwa sana kiongoziBrigadier General, Reza Mousavi alikuwa mtoto na mgonjwa?
Hujafuatilia sasa unajibu nini hapa?
Ndio Israel kaua Brigadier General wa Iran. Aya ilete hiyo Iran ifutukute, nayo imuue Brigadier General au ifanye maafa makubwa kwa Israel.
Israel directly kaua maofisa wa jeshi la Iran kibao pale Syria, vilevile Israel kaua maofisa kadhaa wa nyuklia wa Iran tena bila suicide bombing wala terrorism, ni pure military and intelligence actions. Zingatia neno directly.
Kama unataka majina mengine sema nikutajie. Kisha taja ofisa yeyote wa Mossad au IDF aliyeuwawa directly na Iran akiwa Israel au kwa mshirika wake.
Aaah wapi, acha longolongo iteni hao Iran wafanye wanalofanya. Brigadier General Mosuavi yuko stationed na serikali yake pale Syria akifanya coordination ya kijeshi baina ya Iran na Syria leo unamuita mstaafu kisa kafa.
Mtu alikuwa anacoordinate fedha na silaha kwenda kwa vikundi rafiki wa Iran unamuita mstaafu. Hamas na Hezbollah zimepata sana fedha na silaha kutoka kwake.
Hezbollah mpaka juzi imetangaza wapiganaji wake waliouwawa na Israel ni 117 tangu October 7.
Taja idadi ya Israel inayodai wanajeshi wake wameuwawa na Hezbollah tulinganishe nani anadundwa.
Kuna maofisa wawili wa ngazi ya chini kwenye mojawapo ya ranks 5 za majenerali wa Iran waliuwawa na Israel palepale Syria, ni kama 2 weeks ago na TASNIM ilitangaza. Ni mwendelezo huu, Israel itaua maofisa wa Iran ikijisikia hapo Syria na ndio kupambana kwenyewe au wewe unataka wapambane uso kwa uso. Si uiombe Iran ianzishe idundwe, we uliona wapi Israel inaanzisha vita?
You are right except that hili sio jambo dogo, ni jambo kubwa. Unamchukulia Brigadier General kama jambo dogo kwa Iran?
Israhell washaanzisha vita waliwapiga ambush misri gugo huko utapata majibuIsrael haijawahi anzisha vita, inawasubiri muanzishe wenyewe ili ikiwatandika msiseme mmeonewa. Adui asitafute janjajanja ya kuja kulalamika baadae kama anaona ana uwezo dhidi ya Israel, aende direct ashambulie.
Hezbollah kwenye taarifa zao rasmi imedai wapiganaji wake 117 hadi sasa wameuwawa na Israel. Basi Hezbollah iingie vitani, mbona Hamas walianzisha wenyewe na sasa hivi wanabaki wamevaa chupi tu kwenye uwanja wa mpira pale Gaza
View: https://twitter.com/clashreport/status/1739337970191049051?t=rGemRQgMoSSA0eBCLyEMVQ&s=19
Hongera mkuu yaani wewe umejua ila iran hawajuiKitu ambacho Iran haikijui ni kwamba MOSAID wako ndani ya nchi yake hata kwenye vyombo vyake vya Intelijensia pamoja na jeshi lake!
Kila mkakati ambao Iran inapanga dhidi ya Israeli, Israeli inajua!
Huu umbea umeupata wapi ewe mzayuni wa jfStory za magazeti hizi, Israel mpaka unaona inafanya strike ya namna hiyo hizo hesabu zoooote unazojua zilishafanyika.
Qasem Soleimani was killed in air strike inside Tehran by so called US Army, lakini ukwlei walikuwa wanatekeleza interest of Israel.......Iran ili vow kulipiza kisasi kisicho mithirika, now its going 4 years nothing tangible ever happened.
Western Country Plus Israel, ni wadhulumu haki za watu, wauaji na watu wanaotengeneza vita nyingi zinazo sababibisha uhalifu wa maisha ya watuu, but who can dare to touch them? nobody because of economic power they have, millitary capability they have....View attachment 2853274
Wanataka sababu ipiMarekani na washirika wake wanamtafuta sana Iran ni sababu tu ya kumshambulia moja kwa moja hawajaipata ila wanaisaka kwa udi na uvumba.
iran isibweteke ijifunze kwa Iraki.
mrusi hakuweza kumtetea Iraki, libya, Afghanistan &co nchi zao zisisambaratishwe.
Umeleta input ungerupatia pia output ya haya mashambulio
iran haijui ila wewe unajua..!๐Kitu ambacho Iran haikijui ni kwamba MOSAID wako ndani ya nchi yake hata kwenye vyombo vyake vya Intelijensia pamoja na jeshi lake!
Kila mkakati ambao Iran inapanga dhidi ya Israeli, Israeli inajua!