Israel imemuua Jenerali wa Iran Sayyed Razi Mousa vita vinaweza kuenea sehemu kubwa

Umri wako mdogo vita Israel na Palestina umevujulia JF kabla ya October 7 hufahamu chochote wewe endelea na ushabiki mandazi hii vita imeanza miaka 75 iliyopita kabla ya October 7 unajua Waisrael walichofanya Masjd Al Alqsa?
 
Umri wako mdogo vita Israel na Palestina umevujulia JF kabla ya October 7 hufahamu chochote wewe endelea na ushabiki mandazi hii vita imeanza miaka 75 iliyopita kabla ya October 7 unajua Waisrael walichofanya Masjd Al Alqsa?
Walikojolea na kunyea humo Masjid Al Aqsa. Kuna vitu vya ajabu sana duniani na katika kosa kubwa lililofanyika duniani ni kuruhusiwa kuzaliwa kwa Muddy(56) mme wa bi. Aisha (9) maana kasababisha mambo ya hovyo sana humu duniani.

Yaani Mkuresh ambaye mungu wake lile jiwe jeusi la pale macca leo anaenda kung'ang'ania eneo lingine na kusema mungu wake amempa eneo la ibada la Mungu mwingine. Yaani muarabu ambaye hana uhusiano wowote na myahudi leo analazimisha mungu wake kampa eneo la kuabudia la myahudi. Eti nilisalisha swala pale na manabii wa kiyahudi aliwaongoza swala waliozaliwa na kufa miaka dahali nyuma yake. Yaani mungu anayesikia maombi ya kiarabu akawasalishe na kuwaongoza watu wasiojua kiarabu. Mambo vurugu vurugu tupu.
 
Siku hizi wanasema mazayuni hapo wamekinukisha wenyewe. Iran hawezi kukubali kabisa ikapita hivihivi tu.
Story za magazeti hizi, Israel mpaka unaona inafanya strike ya namna hiyo hizo hesabu zoooote unazojua zilishafanyika.

Qasem Soleimani was killed in air strike inside Tehran by so called US Army, lakini ukwlei walikuwa wanatekeleza interest of Israel.......Iran ili vow kulipiza kisasi kisicho mithirika, now its going 4 years nothing tangible ever happened.

Western Country Plus Israel, ni wadhulumu haki za watu, wauaji na watu wanaotengeneza vita nyingi zinazo sababibisha uhalifu wa maisha ya watuu, but who can dare to touch them? nobody because of economic power they have, millitary capability they have....
 
Warabu maneno matupu.....Dpw
 
Warabu wanajua kutuibia tu mabanadari yetu kwa rushwa......hawana lolote
 
ni bora Iran ifanye hivyo, tena ifanye mapema kabisa ili Israel watafute solution ya kudumu mapema. elewa neno "solution ya kudumu".
Bado tu mpo kwenye propaga tu hata vita ya gaza haijawafundisha kuelewa kuwa vita sio kucheza sindimba?
 
๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ท Iran's foreign minister, Amir Abdollohian, threatened israel after the assassination:

โ€œTel Aviv should expect a tough countdown.โ€
 
Marekani na washirika wake wanamtafuta sana Iran ni sababu tu ya kumshambulia moja kwa moja hawajaipata ila wanaisaka kwa udi na uvumba.
iran isibweteke ijifunze kwa Iraki.
mrusi hakuweza kumtetea Iraki, libya, Afghanistan &co nchi zao zisisambaratishwe.
 
Saa hizi wanajipanga wanajisogeza sogeza na wanatayarisha upinzani wa Serikali ya Iran ukinukishe ndani ya Iran kama walivyofanya Libya na Iraq. Sema wameminywa tu.
 
Kitu ambacho Iran haikijui ni kwamba MOSAID wako ndani ya nchi yake hata kwenye vyombo vyake vya Intelijensia pamoja na jeshi lake!
Kila mkakati ambao Iran inapanga dhidi ya Israeli, Israeli inajua!
 
Heheeeeee mbna unapovukwa sana kiongozi
Sijafatilia sana nje ya mtoa mada wa hapa jf
Iran anafadhili Hizbullah anafadhili hamas amabao wameua wanajeshi zaidi ya 300 wa israhell au unataka iran ifanye kubwa gani
Pili unaposikia direct sio kama hii unayoisema wewe eti wanajiingiza wahuni fulani ndani ya iran wanamuua mtu fulani huu uoga wahali ya juu
Direct niwamuue huyo kamanda akiwa ndani ya mipaka ya iran kwakutumia hio hio drone halaf wajitangaze au hao hao waliowaua ndani ya mipaka ya iran nitajie lini israhell ilitoka hadharani ikadai kuhusika kama wao ndio waloua
Israhell ilianzisha vita kwakuivamia misri nk nk nk
Naomba wewe unitajie iran lini ilianzisha vita dhidi ya mwengine
Mwisho sija dharau cheo cha aliouliwa nimepuuza namna waliotumia kumuua sababu niuoga wa hali ya juu
Suala la Hizbullah haijalishi Hizbullah wangapi wamekufa dhidi ya israhell wangapi ila inajalisha nani anawafadhili Hizbullah kuwaua wanajeshi wa israhell
Mwisho kabisa proxy na kuviziana kati ya iran na israhell haitakaa iishe ila hutakuja kusikia israhell kafanya ujinga wakuipiga iran ndani ya mipaka yake hata United Shits Of Americant hawezi
Iran haina history yakuanzisha vita kama israhell alipofanya dhidi ya misri ama United Shits Of Americant ila akianzwa waanzaji watapigika mbaya mbovu
 
Israhell washaanzisha vita waliwapiga ambush misri gugo huko utapata majibu
Iran haijawahi kuanzisha vita tokea itawaliwe na watu wenye akili
Hizbullah hii hii ilimlazmisha mzayuni aachie baadhi ya maeneo kule kusini mwa Lebanon
Hamas wanao vaa chupi wako wapi mnakamata watu mahospitalini mnasingizia hamas
 
Kitu ambacho Iran haikijui ni kwamba MOSAID wako ndani ya nchi yake hata kwenye vyombo vyake vya Intelijensia pamoja na jeshi lake!
Kila mkakati ambao Iran inapanga dhidi ya Israeli, Israeli inajua!
Hongera mkuu yaani wewe umejua ila iran hawajui
Bila yashaka utakua upo kwenye taasisi nyeti hapo njini kwenu
 
Huu umbea umeupata wapi ewe mzayuni wa jf
Soleiman hakuuliwa tehran acha kupotosha watu
 
Wanataka sababu ipi
Anawaunga mkono Hizbullah waliomchapa israhell mwaka 2006 naleo wanampiga
Anawaunga mkono hamas waloua Waisrahell zaidi ya 1400 na wanajeshi zaidi ya 500
Bado tu hawajapata sababu ya kumchapa
Iran wala hana shida na msaada wa mtu akitaka kufanya jambo lake anatoa tu dozi
 
Kwani wameanza kuuwawa leo? Huko Syria walikuwa wanapanga mashambulizi dhidi ya Israel. Israel pia ina haki ya kujilinda๐Ÿค”
 
Kitu ambacho Iran haikijui ni kwamba MOSAID wako ndani ya nchi yake hata kwenye vyombo vyake vya Intelijensia pamoja na jeshi lake!
Kila mkakati ambao Iran inapanga dhidi ya Israeli, Israeli inajua!
iran haijui ila wewe unajua..!๐Ÿ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ