Mkuu; Hilo tusiliombee kwa sababu IDF bila shaka anamjua vizuri sana huyo mpinzani tarajiwa(Hezbollah) kuliko Hezbollah anavyojifahamu yy mwenyewe.Hii ndio itakua vita hasa sio ile ya Hamas na IDF kuviana hii vita Hezbollah wanaitamani sana miaka mingi wanaonekana wamejiandaa kwa muda mrefu sana
Si kila ambacho vyombo vya habari vikubwa vinazungumza ikawa ni kweli, maslahi yapo mbele zaidi. Hata mashirika ya kimataifa yanatumika katika unyonyaji.Kama Israeli ndiye alianza ugaidi, mbona kimataifa ukianzisha migogoro au kuyaunga mkono makundi ya kigaidi zipo sheria za kukuwajibisha? ref. Iran au Iraq.
Ni kitu gani kilikuwa ni kikwazo kwa taifa la Israeli kushtakiwa? Mbona kimataifa jambo hilo linazungumzika? Kwa nini kukimbilia matumizi ya makombora, maroketi, mibunduki n.k. n.k. i.e. kutumia nguvu ili kupata suluhisho?
Huyo achana naye - ni mchovu ana fumble tu hajui anachokifanya.Kuna nchi moja inataka kuiga Israel bahati mbaya amezunguukwa na wanaojitambua na kila akiingiza watu wanachinjwa myakimyaki mpaka anaogopa
Sasa kwa hali ilivyo kaskazini mwa israel, Israel anajipanga jinsi ya kulipiza kisasi kwa akili mno wakati Mkuu wa intelijensia anawajua udhaifu wa vikosi vya miguu, anga vya israel pamoja na mifumo miwili ya ulinzi wa angaMkuu; Hilo tusiliombee kwa sababu IDF bila shaka anamjua vizuri sana huyo mpinzani tarajiwa(Hezbollah) kuliko Hezbollah anavyojifahamu yy mwenyewe.
Hiyo haitakuwa ni vita bali ni maangamizi. Nani abaki kusimulia kilichotokea - Hezbollah au IDF ????. Tutasubiri kipenga cha mwisho.
Hawafahamu Hezbollah wewe unadhani ni Hamas hao 😂Mkuu, Hezbollah kupiga ndani ya Israel sio hoja sana- inawezekeana. Hoja itakuja pale Israel atakapokuwa anaonesha ghadhabu yake dhidi ya Hezbollah.
Kumbuka kama ilivo kwa HAMAS ambao wapo ndani ya nchi ya Palestina; ndivyo itakavyokuwa kwa Hezbollah ambao wapo ndani ya nchi ya Lebanon.
Palestina kama nchi imeharibiwa sana na ndivyo itakuwa kwa Lebanon. Hayo makundi 2 ya kigaidi yamepelekea kutokea kwa uharibifu mkubwa na vifo vingi vya raia ndani ya nchi husika kuyahifadhi makundi hayo. Sijui ni kwa nini na ni kwa maslahi ya nani nchi za Palestina na Lebanon zinayakumbatia makundi hayo ya kigaidi.
Quote:Si kila ambacho vyombo vya habari vikubwa vinazungumza ikawa ni kweli, maslahi yapo mbele zaidi. Hata mashirika ya kimataifa yanatumika katika unyonyaji.
Vita inayoendelea middle east ni vita dhidi ya waliokataa unyanyasaji na unyonyaji dhidi ya wezi.
Mozambique ni vita ya maslahi.
Congo vita haiishi kwa sababu za kimaslahi, hao hao unaowaita wakubwa ndio wachochezi kuharibu amani nchi za watu.
Palestine wanapambana dhidi ya weI wa ardhi yao. Full Stop.
Hata kwenye bible zilikuwepo dola kubwa zenye nguvu lakini walikua waovu wakubwa.
Hezbollah ina wakristu?Hahaha. Kama Hamas anaua watoto. Lebanon kuna wakiristo wengi sijui atafanya nini
Haya tusubiri. Ila vita sio nzuri kamwe. Tumwombe sana Mungu atuepushe na hilo.Hawafahamu Hezbollah wewe unadhani ni Hamas hao 😂
Soma historia Israel alikimbia mwenyewe ajaribu kuipiga Lebanon huone moto wake.
Mmoja wake alijifanya kwetu pazuri sasa hivi kwao pabaya na wanalima viazi bondeniHuyo achana naye - ni mchovu ana fumble tu hajui anachokifanya.
Vita ni vita tuu. Vita haina cha Mkristu, Mwislam, Mhindu, Mpagani wala nani n.k. n.k.Hezbollah ina wakristu?
Kazi ni kuuondoa ugaidi na magaidiHawana kazi nyingine za kufanya kwani?
Kuzidi zile 300 za Iran?Hezbollah wamerusha missiles kaskazini na kuchoma misitu, watu kadhaa wakiwemo askari wa IDF wamedhurika na moshi hivi juzi.
Hezbollah anaitafuta Israel lakini naona kama Israel wanakuwa wazito.
Israel ikiingia vitani na Hezbollah ni habari nyingine.
Hezbollah wana missiles kufika mahala popote ndani ya Israel, missiles zao ni ngumu kuzuilika na iron dome
HatunaHawana kazi nyingine za kufanya kwani?
Kwamba Hezbolla itaweza kuhimili mkiki wa mabomu 60 kwa siku za ndege za IDF? au unawatakia matatizo raia wa Lebanoni? Yaani unashangaza sanaHii ndio itakua vita hasa sio ile ya Hamas na IDF kuviana hii vita Hezbollah wanaitamani sana miaka mingi wanaonekana wamejiandaa kwa muda mrefu sana
NATO nzima iliungana kuzuia.Kuzidi zile 300 za Iran?
Israel imepiga zaidi ya hayo mabomu kwa zaidi ya uzito wa atomic bomb liliopigwa pale Hiroshima kwenye kaeneo kadogo kama Gaza.Kwamba Hezbolla itaweza kuhimili mkiki wa mabomu 60 kwa siku za ndege za IDF? au unawatakia matatizo raia wa Lebanoni? Yaani unashangaza sana
Unafikilia Israel anaweza akaingia ndani ya Lebanon na kujimwambafai kama anavyofanya Gaza???Mkuu, Hezbollah kupiga ndani ya Israel sio hoja sana- inawezekeana. Hoja itakuja pale Israel atakapokuwa anaonesha ghadhabu yake dhidi ya Hezbollah.
Kumbuka kama ilivo kwa HAMAS ambao wapo ndani ya nchi ya Palestina; ndivyo itakavyokuwa kwa Hezbollah ambao wapo ndani ya nchi ya Lebanon.
Palestina kama nchi imeharibiwa sana na ndivyo itakuwa kwa Lebanon. Hayo makundi 2 ya kigaidi yamepelekea kutokea kwa uharibifu mkubwa na vifo vingi vya raia ndani ya nchi husika kuyahifadhi makundi hayo.
Sijui ni kwa nini na ni kwa maslahi ya nani nchi za Palestina na Lebanon zinayakumbatia makundi hayo ya kigaidi.
Unajua Jamaa nao wana kitu gani wameficha mpaka siku ya real battle?? Mi sipebdi vita kabisa maana madhara ni makubwa mnoo maana Hezbuollah wana makombora yasiozuilila na mfumo wa ulinzi wa kisrael na pia uwezo wa israel kijeshi ni mkubwa na hapendi kushindwa hapo ndio shida sasaKwamba Hezbolla itaweza kuhimili mkiki wa mabomu 60 kwa siku za ndege za IDF? au unawatakia matatizo raia wa Lebanoni? Yaani unashangaza sana
Kupigana na hamas tu, Israel inaomba mksada ya siraha na pesa kila siku. Je, akianzisha muziki na hezibollah hli itakuwaje?Unajua Jamaa nao wana kitu gani wameficha mpaka siku ya real battle?? Mi sipebdi vita kabisa maana madhara ni makubwa mnoo maana Hezbuollah wana makombora yasiozuilila na mfumo wa ulinzi wa kisrael na pia uwezo wa israel kijeshi ni mkubwa na hapendi kushindwa hapo ndio shida sasa