Mkuu sasa kama majitu yanavaa nguo za kiraia utayatofautishaje na askari wa kivita?binafsi yangu natamani israel apambanane na makundi ya kigaidi ila asidhuru raia ambao w=hawana hatia kama ambavyo anafnya pale palestina,kama anapigana na hezbollah basi apigane nao sio kuianganmiza lebanon nzima hiyo sio sawa,najua hoja haa itakuwa mbona hezbollah anapiga wanisrael huo pekee hupaswa kuwa utetezi kwa kuwa isreal ni jeshi kamili hivyo wanapswa kujitenga na illegal acts za kivta wasiwe sawa na wanayoyita makundi ya kigaidi
Mbona wanapigana kila siku na Hezbollah.Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini:
Mungu ibariki Israel
Shmona, June 4, 2024. (Ayal Margolin/Flash90)
IDF Chief of Staff Lt. Gen. Herzi Halevi said Tuesday that Israel is close to making a decision regarding Hezbollah’s daily attacks on northern Israel amid the Gaza war.
“We are approaching the point where a decision will have to be made, and the IDF is prepared and very ready for this decision,” Halevi said during an assessment with military officials and Fire Commissioner Eyal Caspi, at an army base in Kiryat Shmona.
“We have been attacking for eight months, and Hezbollah is paying a very, very high price. It has increased its strengths in recent days and we are prepared after a very good process of training… to move to an attack in the north,” he said.
“[We have] strong defense, readiness to attack, [and] we are approaching a decision point,” he added.
Halevi and Caspi later met with firefighters who worked to extinguish large blazes in northern Israel over the past two days, some of which were sparked by Hezbollah rocket and drone attacks.
The war cabinet met on Tuesday night to discuss the latest developments along the border with Lebanon amid criticism of the government for failing to bring security to the region after long months of conflict.
Taarifa za kupika hizi, askari waliokufa hata 200 hawafiki.Hivi unaelewa unachokiongea? Hezbu ni hatari zaidi ya Hamas, je! hao IDF wameweza hata kupambana na Hamas wanaotumia silaha dhaifu? Wameshindwa sio! Kuuwa watoto, wamama na wazee kubomoa manyumba ndicho wanachoweza na wamefanikiwa.
Sio chini ya wanajeshi 20,000 wameuawa, sijui kama unafuatilia news, au ndio wale wale bendera fuata upepo?
Tuwekee hapa hizo habari za kuaminikaTaarifa za kupika hizi, askari waliokufa hata 200 hawafiki.
Yule Waziri wa Ulinzi wa Israel akija kwenye TV anakunja uso kuonesha msisitizo ili utekelezaji wa hicho anachokisema ukianza asije mtu akasema sikuambiwa au sikujua. Myahudi siku zote ni mwaminifu kwa ahadi zake. Ngoja wajichanganye kwa Myahudi halafu watajua walikuwa hawajui.Tulia wewe hiyo mikwara mbuzi unakua kama yule waziri wa ulinzi wa israeli akija kwenye TV anakunja uso kama kabanwa na mavi kumbe hamna lolote.
Mkuu; Sio kuvaa tu nguo za kiraia bali hata kujichanganya na raia, kujificha kwenye nyumba za Raia,nyumba za ibada, Hospitali na mashuleni. Halafu raia wenyewe hathubutu kuwakataa hao magaidi na kuwatoa hadharani ili hao magaidi wapewe haki yao (kipondo).Raia wamekuwa maduanzi wanawakumbatia magaidi. Kumkumbatia gaidi manake unaukumbatia na moto unaompasa huyo gaidi.Mkuu sasa kama majitu yanavaa nguo za kiraia utayatofautishaje na askari wa kivita?
hawa wasenge waislam wapo kimya ila Israel akianza jibu utasikia wanaua watotoWadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini:
Mungu ibariki Israel
Shmona, June 4, 2024. (Ayal Margolin/Flash90)
IDF Chief of Staff Lt. Gen. Herzi Halevi said Tuesday that Israel is close to making a decision regarding Hezbollah’s daily attacks on northern Israel amid the Gaza war.
“We are approaching the point where a decision will have to be made, and the IDF is prepared and very ready for this decision,” Halevi said during an assessment with military officials and Fire Commissioner Eyal Caspi, at an army base in Kiryat Shmona.
“We have been attacking for eight months, and Hezbollah is paying a very, very high price. It has increased its strengths in recent days and we are prepared after a very good process of training… to move to an attack in the north,” he said.
“[We have] strong defense, readiness to attack, [and] we are approaching a decision point,” he added.
Halevi and Caspi later met with firefighters who worked to extinguish large blazes in northern Israel over the past two days, some of which were sparked by Hezbollah rocket and drone attacks.
The war cabinet met on Tuesday night to discuss the latest developments along the border with Lebanon amid criticism of the government for failing to bring security to the region after long months of conflict.
Hii ndio itakua vita hasa sio ile ya Hamas na IDF kuviana hii vita Hezbollah wanaitamani sana miaka mingi wanaonekana wamejiandaa kwa muda mrefu sana
Mbona unajibu kwa hasira dogohawa wasenge waislam wapo kimya ila Israel akianza jibu utasikia wanaua watoto
Inaonekana wewe ukiambiwa ule mavi ya muyahudi ni dawa upo tayariYule Waziri wa Ulinzi wa Israel akija kwenye TV anakunja uso kuonesha msisitizo ili utekelezaji wa hicho anachokisema ukianza asije mtu akasema sikuambiwa au sikujua. Myahudi siku zote ni mwaminifu kwa ahadi zake. Ngoja wajichanganye kwa Myahudi halafu watajua walikuwa hawajui.
Mkuu; Bila shaka NDIYO/YES EXACTLY. Kwani kuna shida gani? Unajisikia vibaya kwa sababu tu eti yameitwa ni mavi ya Myahudi au labda kuna kitu kingine unachokifahamu. Je, Mkuu wewe utakula ya Mwarabu sio? Ila ya Mwarabu hayajasemwa ni dawa.Inaonekana wewe ukiambiwa ule mavi ya muyahudi ni dawa upo tayari
PsychopathMkuu; Bila shaka NDIYO/YES EXACTLY. Kwani kuna shida gani? Unajisikia vibaya kwa sababu tu eti yameitwa ni mavi ya Myahudi au labda kuna kitu kingine unachokifahamu. Je, Mkuu wewe utakula ya Mwarabu sio? Ila ya Mwarabu hayajasemwa ni dawa.
Kivipi? Fafanua tafadhali.Psychopath
Wayahudi watapigwa mande kama mwana mke malayaWadau hamjamboni nyote?
Taarifa kamili hapo chini:
Mungu ibariki Israel
Shmona, June 4, 2024. (Ayal Margolin/Flash90)
IDF Chief of Staff Lt. Gen. Herzi Halevi said Tuesday that Israel is close to making a decision regarding Hezbollah’s daily attacks on northern Israel amid the Gaza war.
“We are approaching the point where a decision will have to be made, and the IDF is prepared and very ready for this decision,” Halevi said during an assessment with military officials and Fire Commissioner Eyal Caspi, at an army base in Kiryat Shmona.
“We have been attacking for eight months, and Hezbollah is paying a very, very high price. It has increased its strengths in recent days and we are prepared after a very good process of training… to move to an attack in the north,” he said.
“[We have] strong defense, readiness to attack, [and] we are approaching a decision point,” he added.
Halevi and Caspi later met with firefighters who worked to extinguish large blazes in northern Israel over the past two days, some of which were sparked by Hezbollah rocket and drone attacks.
The war cabinet met on Tuesday night to discuss the latest developments along the border with Lebanon amid criticism of the government for failing to bring security to the region after long months of conflict.
UN chini ya USA haijawahi kuwa na sheria za usawa hata mara moja.Kama Israeli ndiye alianza ugaidi, mbona kimataifa ukianzisha migogoro au kuyaunga mkono makundi ya kigaidi zipo sheria za kukuwajibisha? ref. Iran au Iraq.
Ni kitu gani kilikuwa ni kikwazo kwa taifa la Israeli kushtakiwa? Mbona kimataifa jambo hilo linazungumzika? Kwa nini kukimbilia matumizi ya makombora, maroketi, mibunduki n.k. n.k. i.e. kutumia nguvu ili kupata suluhisho?
Nahisi mkuu we ni mgeni kwenye huu mgogoro wa Palestina.Quote:
"Mozambique ni vita ya maslahi.
Congo vita haiishi kwa sababu za kimaslahi, hao hao unaowaita wakubwa ndio wachochezi kuharibu amani nchi za watu."
Hii 👆 👆 👆 nimeipenda mno kwa sababu ndo ukweli wenyewe.
Hiyo ya Palestina siiafiki sana kwa sababu Mpalestina hataki kujifunza kwamba kila akitumia nguvu kupambana anapigwa na ardhi inazidi kutwaliwa i.e. inamegwa.
Kumbe angelitafuta njia nyingine mbadala (alternative B) aone kama atafanikiwa au la. Sio kung'ang'ana tu na matumizi ya ngvu ilhali ameshajua fika kwamba huyo anayepambana naye sio size yake.
Wapo wakristu ndio ambao toka 2006 walijiunga kupigana na Israel.Hezbollah ina wakristu?
Hizbollah ina missile power ya kurusha makombora 3000+ kwa siku.Kwamba Hezbolla itaweza kuhimili mkiki wa mabomu 60 kwa siku za ndege za IDF? au unawatakia matatizo raia wa Lebanoni? Yaani unashangaza sana
Israel ilishindwa,kama isingeshindwa wasinge withdraw majeshi Bint Jubeir na kuacha hadi vifaru vyao.Hata israel haikushindwa kwanza kusini mwa lebanon kuliharibika sana na hezbollah wengi plus raia waliuawa sana na jeshi la anga
Lete ushahidi.Hamas na hezbollah ndio wanawatumia raia kama ngao manajificha maeneo ya raia