hiki kituko cha mwaka...Mungu wa waisraeli ni mkuu (supremacy God ) sio mungu wa waislamu ambaye ni mkubwa ( big,huge, Volume) in high size , ukiwa mkubwa huna la maana ndio maana Mungu wa waislamu anashindwa kila jambo ,Mungu wa waisraeli ni mkuu ana mamlaka na utiisho
USSR
why wanafukuzana hivi sasa kwani kakosea wai jamaa ambaye ameifanya GAZA kuwa magofu??Lakini Gaza ishakuwa magofu kitambo, mkuu.
mungu wa israeli alimning'iniza mungu wenu wa-kristo msalabani dunia yenu wakristo ikaishia hapo mpk leo nyie na masanamu tuna kumnyenyeke myahudiMungu wa waisraeli ni mkuu (supremacy God ) sio mungu wa waislamu ambaye ni mkubwa ( big,huge, Volume) in high size , ukiwa mkubwa huna la maana ndio maana Mungu wa waislamu anashindwa kila jambo ,Mungu wa waisraeli ni mkuu ana mamlaka na utiisho
USSR
hawatawezaKukomboa mateka ni gia tu, wanataka kuifuta Palestina. Hawawezi kusema kuifuta Palestina maana jumuiya za kimataifa zitailaani. Ila ndicho wanachofanya
huyo wasimpe, kichwa chake kibovu, kama anavuta bange, atauwa mno watu huyu.Itimar Ben Gvir ndiyo anapigiwa chapuo na amemwomba NETANYAU amteue yeye kwasababu ya uchizi wake
Kama atachaguliwa huyu Mzee kuwa waziri wa ulinzi tutegemee vita ya tatu ya dunia View attachment 3144631
Kuua kwa mazayuni kawaida yao mbona washaua na wanaendeleza sana tu mauaji hoja watashinda vitahuyo wasimpe, kichwa chake kibovu, kama anavuta bange, atauwa mno watu huyu.
Huyu Mzee ana Akili nyingi Sana alafu pia ni mshauri mzuri Sana Kwenye Baraza zima la mawaziri, ana uwezo mkubwa Sana wa kushauri na kutoa solution nini kifanyike..huyo wasimpe, kichwa chake kibovu, kama anavuta bange, atauwa mno watu huyu.
Bibi tulia uandike vizuri.Mnijuwa sababu ya kufukuzwa galant?
Kamwabia nyau tunappigwa na hakuna njia hya kushinda, vijana wanakwisha na skari wa kukodi wanagoma kuja kupigana, mimi nanyanyua bendera nyeupe.
Nyau kaona hiyo ni aibu kubwa kwake, kamgukuza jamaa, na yey jhawezzi kuachia ngazi, mashtaka ya ufisadi yanamngoja ayajibu hapo jkwao, na mashtaka ya mauwaji ya Kimbar yanamngoja The Hague.
Hapo alipo anatamani auliwe.
Huyo alitakiwa kuondolewa kitambo tu, Metanyahu ndiye alimkingia kifua muda wote
Masikini wee, sasa mmefikia hatua ya kudanganywa na kusambaza AI generated videos?
Are u mental going well? Why ww si muislamu unawasemea waisalam juu ya ukweli au uongo wa mungu wao how about your god hv histiriabya dunia imeanza Oct 7 sijui una umr gan au umeuba simu ya shem wakoMungu wa waisraeli ni mkuu hv historia (supremacy God ) sio mungu wa waislamu ambaye ni mkubwa ( big,huge, Volume) in high size , ukiwa mkubwa huna la maana ndio maana Mungu wa waislamu anashindwa kila jambo ,Mungu wa waisraeli ni mkuu ana mamlaka na utiisho
USSR
Ndicho kinachofuata! Gallant ni muoga sana. Defence Minister linatakiwa liwe jabali lisilocheka na kima wala kutazama usoni.
Masikini wee, sasa mmefikia hatua ya kudanganywa na kusambaza AI generated videos?
Hivyo vishoga vinanyofolewa mdogo mdogo.
na vipi kujitoa mhanga, na kuchinja wakristo na wayahudi kwa ndugu kobazs. huko nako ukuseme.Kuua kwa mazayuni kawaida yao mbona washaua na wanaendeleza sana tu mauaji hoja watashinda vita
Huo ni uongo unaolishwa kwa ukondoo wako.na vipi kujitoa mhanga, na kuchinja wakristo na wayahudi kwa ndugu kobazs. huko nako ukuseme.
huyo ni kama mkuu wa mkoa fulani hivi anayetoka maeneo wanalima bange, ila sijataja iringa. ni mropokaji mno, israel wakitaka kuleta propagana au justification ya kitu huwa wanamtuma yeye anaropoka afu wanakuja kumlaumu kwa kiini macho. juzi hapa alitoa proposal Gaza ichorwe upya na yajengwe makazi bora ya wayahudi ili pasikaliwe na wapalestina kabisa. thats who he is.Huyu Mzee ana Akili nyingi Sana alafu pia ni mshauri mzuri Sana Kwenye Baraza zima la mawaziri, ana uwezo mkubwa Sana wa kushauri na kutoa solution nini kifanyike..
Tatizo lake ni hasira,msimamo na ukatili wa hali juu hasa Kwa waarabu