Israel yapiga maeneo kama 100 hivi ya Hezbollah. Safari hii hakuna kumswalia mtu yeyote

Israel yapiga maeneo kama 100 hivi ya Hezbollah. Safari hii hakuna kumswalia mtu yeyote

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Tumekuwa na wakati Mgumu sana ndugu zanguni. Wakati ule anapigwa Hamas tulisema ajaribu kwa Hezbollah. Atakiona cha mtema kuni.

Walipomalizana na Hamas wakaanza na Hezbollah. Wakawapiga kinyama. Wakatamani na Iran. Iran akachokozwa akaingia kwenye mfumo. Tukaanza kuwashabikia Iran kuwa sasa Mayahudi watakutana na Maarabu ya Iran. Iran wamechapwa juzi tu hapa. Wanawaya waya

Then Israel amerudi kucheza matches za nyumbani. Anawatembezea ukuni Hezbollah.

Screenshot_2024-10-30-12-45-19-117_com.instagram.android~2.jpg
 
Tumekuwa na wakati Mgumu sana ndugu zanguni. Wakati ule anapigwa Hamas tulisema ajaribu kwa Hezbollah. Atakiona cha mtema kuni.

Walipomalizana na Hamas wakaanza na Hezbollah. Wakawapiga kinyama. Wakatamani na Iran. Iran akachokozwa akaingia kwenye mfumo. Tukaanza kuwashabikia Iran kuwa sasa Mayahudi watakutana na Maarabu ya Iran. Iran wamechapwa juzi tu hapa. Wanawaya waya

Then Israel amerudi kucheza matches za nyumbani. Anawatembezea ukuni Hezbollah.
View attachment 3139004
Netanyahu hacheki, anatumbua hawa magaidi hakuna mfano.
 
Hayo siyo majengo tu. Kuna silaha zinafichwa humo na underground. Jamaa wanapiga kwa mahesabu. Wanamnyong'onyesha adui kwa kupiga maeneo ambayo ni ya kimkakati.
We akili zako zinafaa zikapimwe kama unadhani Israel anapiga silaha au wanamgambo, anacho fanya ni kufanya genocide na kuvunja majumba tu.

Iran ameisha wambia wananchi wa Israel waondoke Tela Aviv na Haifa anaenda ifuta kwenye map. Wamepewa week tu waondoke we kaa unakula matango kwa dagaa
 
We akili zako zinafaa zikapimwe kama unadhani Israel anapiga silaha au wanamgambo, anacho fanya ni kufanya genocide na kuvunja majumba tu.

Iran ameisha wambia wananchi wa Israel waondoke Tela Aviv na Haifa anaenda ifuta kwenye map. Wamepewa week tu waondoke we kaa unakula matango kwa dagaa
Kwa hiyo israel anaenda kufutwa kwenye uso wa dunya?
 
We akili zako zinafaa zikapimwe kama unadhani Israel anapiga silaha au wanamgambo, anacho fanya ni kufanya genocide na kuvunja majumba tu.

Iran ameisha wambia wananchi wa Israel waondoke Tela Aviv na Haifa anaenda ifuta kwenye map. Wamepewa week tu waondoke we kaa unakula matango kwa dagaa
Dogo umekaa unakuna mapumbuh huku unacheza bao, unakula kashata kwa maji hapo kijiweni hujui lolote. Msikilize Sheikh Kitunku anavyokudanganya dogo bwela.

 

Attachments

  • 17302738166390.mp4
    4.5 MB
  • 17292290108500.mp4
    5 MB
Back
Top Bottom