Israel yapiga maeneo kama 100 hivi ya Hezbollah. Safari hii hakuna kumswalia mtu yeyote

Israel yapiga maeneo kama 100 hivi ya Hezbollah. Safari hii hakuna kumswalia mtu yeyote

Ngoja hezibolah wa huku nyarugusu waje
Tumekuwa na wakati Mgumu sana ndugu zanguni. Wakati ule anapigwa Hamas tulisema ajaribu kwa Hezbollah. Atakiona cha mtema kuni.

Walipomalizana na Hamas wakaanza na Hezbollah. Wakawapiga kinyama. Wakatamani na Iran. Iran akachokozwa akaingia kwenye mfumo. Tukaanza kuwashabikia Iran kuwa sasa Mayahudi watakutana na Maarabu ya Iran. Iran wamechapwa juzi tu hapa. Wanawaya waya

Then Israel amerudi kucheza matches za nyumbani. Anawatembezea ukuni Hezbollah.

 
Tumekuwa na wakati Mgumu sana ndugu zanguni. Wakati ule anapigwa Hamas tulisema ajaribu kwa Hezbollah. Atakiona cha mtema kuni.

Walipomalizana na Hamas wakaanza na Hezbollah. Wakawapiga kinyama. Wakatamani na Iran. Iran akachokozwa akaingia kwenye mfumo. Tukaanza kuwashabikia Iran kuwa sasa Mayahudi watakutana na Maarabu ya Iran. Iran wamechapwa juzi tu hapa. Wanawaya waya

Then Israel amerudi kucheza matches za nyumbani. Anawatembezea ukuni Hezbollah.

Upo wapi wewe Yahudi mweusi upo Uyole?

Tel Aviv leo wana mkutano wanaomba vita visitishwe😂

View: https://x.com/legittargets/status/1851572254620213759?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wanao ongea ni Wayahudi afu wanakuambia satellite image 😄 Hivi dogo we ulishia darasa la ngapi, kwani image huwezi kucreate? Afu ukasema ni satellite images.

 
Upo wapi wewe Yahudi mweusi upo Uyole?

Tel Aviv leo wana mkutano wanaomba vita visitishwe😂

View: https://x.com/legittargets/status/1851572254620213759?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Screenshot_20241030-154227.png
Screenshot_20241030-153508.png
20241017_163527.jpg
1000368796.jpg
8a714f03e8fc33de8de3df4abb6f6cf1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20241030-153508.png
    Screenshot_20241030-153508.png
    897.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241030-154227.png
    Screenshot_20241030-154227.png
    833.6 KB · Views: 1
  • 1000368796.jpg
    1000368796.jpg
    444.3 KB · Views: 1
  • 20241017_163527.jpg
    20241017_163527.jpg
    303.1 KB · Views: 1
Hayo siyo majengo tu. Kuna silaha zinafichwa humo na underground. Jamaa wanapiga kwa mahesabu. Wanamnyong'onyesha adui kwa kupiga maeneo ambayo ni ya kimkakati.
Kabla hawajaenda huko walishambulia wakitwambia wamebutua silaha zote za hizbullah na hawana uwezo tena,cha ajabu baada ya vita kuanza,shule zimefungwa na raia kuhama huko kaskazini,drone za hizbullah kila siku zinatwanga israel,jana tu wametangaza kiwanda cha silaha wslichokitwanga kabla,na wanarusha roketi 150-200 kwa siku, hasira myahudi anabomoa majumba lebanon
 
Kabla hawajaenda huko walishambulia wakitwambia wamebutua silaha zote za hizbullah na hawana uwezo tena,cha ajabu baada ya vita kuanza,shule zimefungwa na raia kuhama huko kaskazini,drone za hizbullah kila siku zinatwanga israel,jana tu wametangaza kiwanda cha silaha wslichokitwanga kabla,na wanarusha roketi 150-200 kwa siku, hasira myahudi anabomoa majumba lebanon
Screenshot_20241030-154227.png
20241017_163527.jpg
Screenshot_20241030-153508.png
1000368796.jpg
8a714f03e8fc33de8de3df4abb6f6cf1.jpg
 
Pamoja na yote bila kujali wew ni wa mlengo upi,israeli ni majabali ya vita!wanapga sehemu 3 na still maisha yanaendelea nchini kwao,si jambo la kubeza
Maisha Yanaenda? Unajua marekani kaishawatumia billion ngapi za dollar
 
We akili zako zinafaa zikapimwe kama unadhani Israel anapiga silaha au wanamgambo, anacho fanya ni kufanya genocide na kuvunja majumba tu.

Iran ameisha wambia wananchi wa Israel waondoke Tela Aviv na Haifa anaenda ifuta kwenye map. Wamepewa week tu waondoke we kaa unakula matango kwa dagaa



Kusikiliza vichekesho kama hivi bonyeza 1530000
 
Kabla hawajaenda huko walishambulia wakitwambia wamebutua silaha zote za hizbullah na hawana uwezo tena,cha ajabu baada ya vita kuanza,shule zimefungwa na raia kuhama huko kaskazini,drone za hizbullah kila siku zinatwanga israel,jana tu wametangaza kiwanda cha silaha wslichokitwanga kabla,na wanarusha roketi 150-200 kwa siku, hasira myahudi anabomoa majumba lebanon
Israel nani anaye muamini si hawa wafuasi wamkosa nyumba ndio wanamuamini. Eti wamepiga kiwanda cha kutengeneza Missiles Iran hawezi tengeneza silaha tena hahahahaha 😆 🤣 😂

Hizo nyimbo oh Hamasi tumeisha imaliza kila kukicha Hamasi anawatandika. Oh Hezbullah tumeisha imaliza kila kukicha ndio anazidi kuwatandika ya jana bora kuliko yaleo.

Oh tumevunja Radar za Iran uliona ndege zao zimenda Iran. Walitoleana matusi Nyau na yule monkey Gallant sababu hakuna target walio piga ya mana zaidi ya godauni moja tena pembeni kabisa, kuwaka moto wakarecord kwa njia ya majasusi waliopo Iran zaidi ya hicho kigodauni ni fake images za satellite 😄
 
Baada ya kumnyong'onyesha wamefika wapi huko Lebanon?
Mkuu mbona mnachukuliaga vita kirahisi rahisi sana?

Hivi unategemea IDF itaweza kuisfisha Hezbulla Lebanon yote ndani ya hata ya miaka 2 tu?
Hebu angalia Russia toka kaingia Ukraine ni nini kinaendelea?

Vita ni mikakati and so far israel inafanya vizuri kimkakati kuliko hamas na izibullah

Ukitaka kuwamaliza hamas na hezbulla wote basi ni lazima uue raia woote walio wazunguka

Shida ya vita za siku hizi watu hawapigani kwenye battle field zinapiganwa among the citizens tena kwenye makazi yao

Pata picha IDF na Hamas wakutane kwenye battle field Idf si itawamwagia mabomu within a second hamas wote kwisha
 
We akili zako zinafaa zikapimwe kama unadhani Israel anapiga silaha au wanamgambo, anacho fanya ni kufanya genocide na kuvunja majumba tu.

Iran ameisha wambia wananchi wa Israel waondoke Tela Aviv na Haifa anaenda ifuta kwenye map. Wamepewa week tu waondoke we kaa unakula matango kwa dagaa
Anachokifanya Netanyahu dhidi ya Palestine ni sawa na anachofanya Putin dhidi ya Ukraine. Ajabu unamwona Putin yuko sahihi!.
 

View: https://youtube.com/shorts/9_2sqIwEzbY?si=4oDZQHKdvHdEWWGQ

Tukiwambia kiongozi wa Jordan ni mnafiki Missiles za Iran anazuangusha, ndege za Israel zinapita kwake afu anasema haruhusu Israel kupita kwake. Wajordan wanaziona kwa macho yeye anasema hakuna ndege ya Israel ilipita kwake. Warabu wanahaki ya kumuita Mfalme wa bandora yani mfalme wa tomato, mimi naona bora wangemuita mfalme wa biringany'a😄

Afu nadhani Iran atatoa doz pia kwa Jordan safari hi pia.
 
Mkuu mbona mnachukuliaga vita kirahisi rahisi sana?

Hivi unategemea IDF itaweza kuisfisha Hezbulla Lebanon yote ndani ya hata ya miaka 2 tu?
Hebu angalia Russia toka kaingia Ukraine ni nini kinaendelea?

Vita ni mikakati and so far israel inafanya vizuri kimkakati kuliko hamas na izibullah

Ukitaka kuwamaliza hamas na hezbulla wote basi ni lazima uue raia woote walio wazunguka

Shida ya vita za siku hizi watu hawapigani kwenye battle field zinapiganwa among the citizens tena kwenye makazi yao

Pata picha IDF na Hamas wakutane kwenye battle field Idf si itawamwagia mabomu within a second hamas wote kwisha
Hivi unajua kua hizbullah wako mpakani mwa Lebanon tena juu ya milima na ni maeneo ambayo hakuna raia pia?

Umeandika insha ukakaribia mantiki alafu umetoka kwenye mantiki papo hapo.

Hivi unafananisha malengo ya urusi na Israeli je unajua mpaka sasa Urus anamiliki asilimia ngapi ya ardhi ya Ukraine.

Je IDF imefanikiwa kwa kiwango gani?
 
Back
Top Bottom