Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 5,566
- 5,477
... za mwisho'mwisho kabla hawajarudi uhamishoni, maulaya, kwa mara ingine!
😅
😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado IDF hawajavuka mpaka wa Lebanon sheikh Yale mahandaki na silaha wanazotuonyesha Wala haziko Lebanon Bali ni Israel kabisa.Baada ya kumnyong'onyesha wamefika wapi huko Lebanon?
Hata wapige 10000, Hizbollah yuko pale paleTumekuwa na wakati Mgumu sana ndugu zanguni. Wakati ule anapigwa Hamas tulisema ajaribu kwa Hezbollah. Atakiona cha mtema kuni.
Walipomalizana na Hamas wakaanza na Hezbollah. Wakawapiga kinyama. Wakatamani na Iran. Iran akachokozwa akaingia kwenye mfumo. Tukaanza kuwashabikia Iran kuwa sasa Mayahudi watakutana na Maarabu ya Iran. Iran wamechapwa juzi tu hapa. Wanawaya waya
Then Israel amerudi kucheza matches za nyumbani. Anawatembezea ukuni Hezbollah.
Hii ni hatari sanaTumekuwa na wakati Mgumu sana ndugu zanguni. Wakati ule anapigwa Hamas tulisema ajaribu kwa Hezbollah. Atakiona cha mtema kuni.
Walipomalizana na Hamas wakaanza na Hezbollah. Wakawapiga kinyama. Wakatamani na Iran. Iran akachokozwa akaingia kwenye mfumo. Tukaanza kuwashabikia Iran kuwa sasa Mayahudi watakutana na Maarabu ya Iran. Iran wamechapwa juzi tu hapa. Wanawaya waya
Then Israel amerudi kucheza matches za nyumbani. Anawatembezea ukuni Hezbollah.
Netanyahu amewadanganya wananchi wao ili apate kick hivi nauliza hawawezi kujiuliza wanachoelezwa kuwa si ukweli ..naona kama BBC na cnn ndo wanasifia huo ujingaIsrael nani anaye muamini si hawa wafuasi wamkosa nyumba ndio wanamuamini. Eti wamepiga kiwanda cha kutengeneza Missiles Iran hawezi tengeneza silaha tena hahahahaha 😆 🤣 😂
Hizo nyimbo oh Hamasi tumeisha imaliza kila kukicha Hamasi anawatandika. Oh Hezbullah tumeisha imaliza kila kukicha ndio anazidi kuwatandika ya jana bora kuliko yaleo.
Oh tumevunja Radar za Iran uliona ndege zao zimenda Iran. Walitoleana matusi Nyau na yule monkey Gallant sababu hakuna target walio piga ya mana zaidi ya godauni moja tena pembeni kabisa, kuwaka moto wakarecord kwa njia ya majasusi waliopo Iran zaidi ya hicho kigodauni ni fake images za satellite 😄
Aliambiwa na Chief of Staff wao kuwa watairudisha Hezbullah kwa mda wa week mbili mpa nyuma ya mto Letani, alidhani wanaenda kucheza sindimba.Netanyahu amewadanganya wananchi wao ili apate kick hivi nauliza hawawezi kujiuliza wanachoelezwa kuwa si ukweli ..naona kama BBC na cnn ndo wanasifia huo ujinga
Ole wako week iishe halafu huyo kibwengo wako Iran awe hajamfuta IsraelWe akili zako zinafaa zikapimwe kama unadhani Israel anapiga silaha au wanamgambo, anacho fanya ni kufanya genocide na kuvunja majumba tu.
Iran ameisha wambia wananchi wa Israel waondoke Tela Aviv na Haifa anaenda ifuta kwenye map. Wamepewa week tu waondoke we kaa unakula matango kwa dagaa