Israel yapiga maeneo kama 100 hivi ya Hezbollah. Safari hii hakuna kumswalia mtu yeyote

Ngoja hezibolah wa huku nyarugusu waje
 
Upo wapi wewe Yahudi mweusi upo Uyole?

Tel Aviv leo wana mkutano wanaomba vita visitishwe😂

View: https://x.com/legittargets/status/1851572254620213759?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wanao ongea ni Wayahudi afu wanakuambia satellite image 😄 Hivi dogo we ulishia darasa la ngapi, kwani image huwezi kucreate? Afu ukasema ni satellite images.
Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • Screenshot_20241030-153508.png
    897.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241030-154227.png
    833.6 KB · Views: 1
  • 1000368796.jpg
    444.3 KB · Views: 1
  • 20241017_163527.jpg
    303.1 KB · Views: 1
Hayo siyo majengo tu. Kuna silaha zinafichwa humo na underground. Jamaa wanapiga kwa mahesabu. Wanamnyong'onyesha adui kwa kupiga maeneo ambayo ni ya kimkakati.
Kabla hawajaenda huko walishambulia wakitwambia wamebutua silaha zote za hizbullah na hawana uwezo tena,cha ajabu baada ya vita kuanza,shule zimefungwa na raia kuhama huko kaskazini,drone za hizbullah kila siku zinatwanga israel,jana tu wametangaza kiwanda cha silaha wslichokitwanga kabla,na wanarusha roketi 150-200 kwa siku, hasira myahudi anabomoa majumba lebanon
 
 
Pamoja na yote bila kujali wew ni wa mlengo upi,israeli ni majabali ya vita!wanapga sehemu 3 na still maisha yanaendelea nchini kwao,si jambo la kubeza
Maisha Yanaenda? Unajua marekani kaishawatumia billion ngapi za dollar
 



Kusikiliza vichekesho kama hivi bonyeza 1530000
 
Israel nani anaye muamini si hawa wafuasi wamkosa nyumba ndio wanamuamini. Eti wamepiga kiwanda cha kutengeneza Missiles Iran hawezi tengeneza silaha tena hahahahaha 😆 🤣 😂

Hizo nyimbo oh Hamasi tumeisha imaliza kila kukicha Hamasi anawatandika. Oh Hezbullah tumeisha imaliza kila kukicha ndio anazidi kuwatandika ya jana bora kuliko yaleo.

Oh tumevunja Radar za Iran uliona ndege zao zimenda Iran. Walitoleana matusi Nyau na yule monkey Gallant sababu hakuna target walio piga ya mana zaidi ya godauni moja tena pembeni kabisa, kuwaka moto wakarecord kwa njia ya majasusi waliopo Iran zaidi ya hicho kigodauni ni fake images za satellite 😄
 
Baada ya kumnyong'onyesha wamefika wapi huko Lebanon?
Mkuu mbona mnachukuliaga vita kirahisi rahisi sana?

Hivi unategemea IDF itaweza kuisfisha Hezbulla Lebanon yote ndani ya hata ya miaka 2 tu?
Hebu angalia Russia toka kaingia Ukraine ni nini kinaendelea?

Vita ni mikakati and so far israel inafanya vizuri kimkakati kuliko hamas na izibullah

Ukitaka kuwamaliza hamas na hezbulla wote basi ni lazima uue raia woote walio wazunguka

Shida ya vita za siku hizi watu hawapigani kwenye battle field zinapiganwa among the citizens tena kwenye makazi yao

Pata picha IDF na Hamas wakutane kwenye battle field Idf si itawamwagia mabomu within a second hamas wote kwisha
 
Anachokifanya Netanyahu dhidi ya Palestine ni sawa na anachofanya Putin dhidi ya Ukraine. Ajabu unamwona Putin yuko sahihi!.
 

View: https://youtube.com/shorts/9_2sqIwEzbY?si=4oDZQHKdvHdEWWGQ
Tukiwambia kiongozi wa Jordan ni mnafiki Missiles za Iran anazuangusha, ndege za Israel zinapita kwake afu anasema haruhusu Israel kupita kwake. Wajordan wanaziona kwa macho yeye anasema hakuna ndege ya Israel ilipita kwake. Warabu wanahaki ya kumuita Mfalme wa bandora yani mfalme wa tomato, mimi naona bora wangemuita mfalme wa biringany'a😄

Afu nadhani Iran atatoa doz pia kwa Jordan safari hi pia.
 
Hivi unajua kua hizbullah wako mpakani mwa Lebanon tena juu ya milima na ni maeneo ambayo hakuna raia pia?

Umeandika insha ukakaribia mantiki alafu umetoka kwenye mantiki papo hapo.

Hivi unafananisha malengo ya urusi na Israeli je unajua mpaka sasa Urus anamiliki asilimia ngapi ya ardhi ya Ukraine.

Je IDF imefanikiwa kwa kiwango gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…