Israel yapiga maeneo kama 100 hivi ya Hezbollah. Safari hii hakuna kumswalia mtu yeyote

Kwanza unapaswa kujua Israel haipigani vita na Lebanon bali inapigana vita na wahuni wa kuitwa Hezbollah kwasababu ya udhaifu wa serikali ya Lebanon

Mpaka sasa hivi tunaongea Israel imechora mpaka ndani ya Lebanon kwenye maeneo yalio kuwa ngome za Hazbollah na sasa inamwaga mvua ya mabomu na kila siku wanazidi kutoa matangazo watu wahame maeneo hayo kabla hawajafanya yao
Huko Beirut inapiga kwenye ofisi zao na maeneo yenye mali zao

Hivi kuna mji umepewa masaa 24 wawe wamehama wote na usiku wa leo panakweda kugeuzwa vifusi
 
Ebu tupe link wapi Iran wametoa mkwara huo. Ajaribu na sasa hivi yupo uchi atapigwa mpaka uvunguni
 
Hayo ni maelezo yako mkuu ila kule walipo sema wanawaondoa hizbullah ili raia warudi galilaya wamefikia wapi?

Mimi napenda kwenda na uhalisia wa mambo na sio ngonjera za media

Wanapiga mjengo wanarudi wanashangilia wakati malengo yao hayajatimia

Nimekushangaa sana kuifananisha Israel na Russia sijui umetumia kigezo gani asee.
 
Uyu jamaa anaetuma picha za kiongozi ameshakufa uwa anawadha nini kutuma picha za mfu tujizuie kushalilisha wafu tukumbuke nasisi natujui muda tu lkn ni wafu ufe kwa ajali chochote ndio kifo tuwaeshim wenzetu dini yake yako zote azikufanyi usife kufa kupo tuwaeshim wenzetu nasisi tuheshimiwe.nasaaa yangu.
 
Upo wapi wewe Yahudi mweusi upo Uyole?

Tel Aviv leo wana mkutano wanaomba vita visitishwe😂

View: https://x.com/legittargets/status/1851572254620213759?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Nilikuwa namsikiliza Naim Al Qassem kiongozi mpya wa Hezbullah anasema hakuna vita kusimama na anaye fikiria Israel atashinda mwache abaki na ndoto. Hapo alikuwa anawakusudia wale vyama vya Lebanon vilio dangan'ywa na Israel kuwa Hezbullah imekwisha. Anawambia Hezbullah ni strong, na itakuwa strong kuliko ilivyo kuwa mwanzo nje na ndani.

Wako walio sema humu eti Hezbullah anaomba vita kusimama, na kwenye social media anawambia Hezbullah atasimamisha vita kwa masharti yake sio masharti ya Israel.

Ujumbe ni Israel akitaka vita kuendelea sisi tunaendelea akitaka vita kusimama itabidi isimame kwa masharti ya Hezbullah.

Wafuasi wa Paulo kuleni mapera kwa chumvi 😄
 
Wameona Iran ni wapole na hawapendi vita, Kama Israel wanajiamini warushe hata jiwe pale Saud Arabia
 
Hiyo ndiyo sawa afanye. Alafu aone utamu utaotokea Tehran
 
 
Tunasubiria Utekelezaji, waajemi waache porojo
 
Anachokifanya Netanyahu dhidi ya Palestine ni sawa na anachofanya Putin dhidi ya Ukraine. Ajabu unamwona Putin yuko sahihi!.
Putin ni mvamizi wakati Netanyahu anapigania Ustawi na Usalama wa nchi yake dhidi ya magaidi.

Two different scenarios
 
Maneno kama ingekuwa ndiyo vitendo, basi nchi nyingi Duniani zingekuwa hazina watu, na wayahudi wasingekuwepo Duniani.
 
duuu kuna watu waongo duniani
 
Mkuu, hiki kichekesho naona kimenipita maana sijakipata. Ume subscribe wapi ili niwe navipata live?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…