stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
HATA MIMI NASHANGAA. ILA HAWA WAISRAEL WAKIMTAKA MTU NAKUAMBIA HAWAMKOSI.NI SUALA LA MUDA TU. NA NI WAVUMILIVU SANA WANAWEZA KUKUTAFUTA HATA MIAKA 10 AU 100 HAWAKUACHI.Hadi mtangazaji anashangaa inawezekana vipi viongozi wakuu wanaliwa kirahisi hivi!?
Hata Yesu,si alisalitiwa na mtu wake wa karibu,Yuda kwa vipande vya fedha,Yesu akapigwa,akavalishwa nepi,akasulubiwa,akauliwa,na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa,wakati alikuja kuwakomboa waisrael,wapate uzima wa milele.Kwenye usaliti huo hawakosekani walebanon wakiristo
๐๐๐Kuna waarabu wafia dini humu waliandika mara nyingi tuu kwamba Israel ikijaribu kupigana na hezbollah basi itapigwa vibaya mno sijui wanajisikiaje huko waliko ๐ค dj walete kwa wimbo wa Jaiva mtoto kautaka
Nimekumbuka quote kutoka movie ya munich (2005)
"Every man we've killed has been replaced by worse!"
Baada ya kuchapana watafute suluhu. Maana wasipofanya hivo watakuja wengine tu
Uyahudi ni dini,paulo ndiyo muhunzi wa ukristu, wayahudi wanachukia ukristu kuliko hata uislam,kuna vitu uyahudi na uislam vinaendana na siyo ukristu unaodai utatu mtakatifuWe ndo usipotoshe watu kwa uongo wako, sio wayahudi wote hawamwamini yesu, Paulo aliyesambaza Injili sehemu nyingi za hapo Middle East alikuwa sio myahudi?? Wanafunzi wa Yesu 12 hawakuwa wayahudi?? Wayahudi ndo walikuwa watu wa kwanza kumkubali yesu na kusambaza injili na haohao ndo wa kwanza kumkataa yesu.
Kwaio unapozungumzia wayahudi fahamu ndo watu walioibeba injili na kuisambaza sehemu mbalimbali za duniani hadi africa, don't generalise kwamba wayahudi wote hawamwamini yesu.
Hapa pia pa kujiuliza ilikuwaje hawa magaidi wa Israel,wakamuua Yesu,aliyekuja kuwakomboa?Na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa?Kuna mtu aliuliza ilikuwaje Israel ikashinda vita siku sita ..
Kuna msemo unaitwa Wastani kwa Idadi...
Israel inawaona Watu wa Gaza kama sehemu ya wananchi wake watukutu...
rip kamandaJeshi la Israel limethibitisha kuuliwa kwa GS wa Hezbollah Hassan Nasrallah baada ya mashambulizi ya jana.
Hapo mwanzo ilisemekana ni mzima ila Israel ilisubiri kuthibitisha kuuliwa kwake.
Yasemekana kuwa ndani ya eneo hilo hakuna chochote kilichobaki kizima, na huenda mwili wa Nasrallah usipatikane
Full @IDF statement on its elimination of Hezbollah chief Hassan Nasrallah:
โThe IDF announces that yesterday (Friday), September 27th, 2024, Hassan Nasrallah, the leader of the Hezbollah terrorist organization and one of its founders, was eliminated by the IDF, together with Ali Karki, the Commander of Hezbollahโs Southern Front, and additional Hezbollah commanders.
Following precise intelligence from the IDF and Israeli security establishment, IAF fighter jets conducted a targeted strike on the Central Headquarters of the Hezbollah terrorist organization, which was located underground embedded under a residential building in the area of Dahieh in Beirut. The strike was conducted while Hezbollahโs senior chain of command were operating from the headquarters and advancing terrorist activities against the citizens of the State of Israel.
During Hassan Nastallahโs 32-year reign as the Secretary-General of Hezbollah, he was responsible for the murder of many Israeli civilians and soldiers, and the planning and execution of thousands of terrorist activities. He was responsible for directing and executing terrorist attacks around the world in which civilians of various nationalities were murdered. Nasrallah was the central decision-maker and the strategic leader of the organization.
The Hezbollah terrorist organization, headed by Hassan Nasrallah, joined the Hamas terrorist organization in its war against the State of Israel on October 8th. Since then, Hezbollah has been continuing its ongoing and unprovoked attacks on the citizens of the State of Israel, dragging the State of Lebanon and the entire region into a wider escalation.
The IDF will continue operating against anyone who promotes and engages in terrorism against the State of Israel and its people.โ
AmenGod bless Israel.
Mbona Yesu pia aliuliwa,yuko mbinguni,na hii ndio inawaumiza kichwa magaidi wa Israel,kuwa Yesu tulimsulubu,lakini yuko mbinguni kuumeni kwa Mungu,na atahukumu makanila 12 ya wana wa Israel.Hv hakuna namna ya kuwaua hawa magaidi mpaka wakifika huko peponi wakose wale bikra 72?
Mana roho inaniuma sana, wanauawa halafu bado wanaenda kula raha za bikra huko peponi kwao ๐ญ
Paulo hakuwa myahudi bali alikuwa ni mtu mwenye asili ya kituruki.We ndo usipotoshe watu kwa uongo wako, sio wayahudi wote hawamwamini yesu, Paulo aliyesambaza Injili sehemu nyingi za hapo Middle East alikuwa sio myahudi?? Wanafunzi wa Yesu 12 hawakuwa wayahudi?? Wayahudi ndo walikuwa watu wa kwanza kumkubali yesu na kusambaza injili na haohao ndo wa kwanza kumkataa yesu.
Kwaio unapozungumzia wayahudi fahamu ndo watu walioibeba injili na kuisambaza sehemu mbalimbali za duniani hadi africa, don't generalise kwamba wayahudi wote hawamwamini yesu.
Intel ya Israel usipime, Mossad ni nomaHawa Waisraeli wanajuaje kuwa adui yuko eneo hilo kwa wakati huo? View attachment 3109240
Vazi ni vazi tu sioni nguvu yoyote ya vaziOk. Sikupangii cha 'kupost'. Lakini si sawa kumvika mbwa vazi hilo kichwani. ........ Unajua heshima ya vazi hilo.
Hii ndio iliyofanya hawa Taifa trule,kumuua Yesu?Yesu ndani ya miaka ysle 30;alifeli,walamsulubu na kumuua.Yeyote atakaepigana na taifa teule pale middle east atafeli tu.
Badala ya Iran kusaidia kujibu mapigo, imemhamisha Ayyatollah kwenda kwenye eneo la usalama zaidi.Hv hakuna namna ya kuwaua hawa magaidi mpaka wakifika huko peponi wakose wale bikra 72?
Mana roho inaniuma sana, wanauawa halafu bado wanaenda kula raha za bikra huko peponi kwao ๐ญ
Jifunze kutumia simu janja....Hata laiivyokufa Mulka Afghanustan walidhani ndiyo movie imekwisha. Kimbebe kilichiwawakia moto kwa miaka 20 mfululizo npaka wenyewe wakatoka nduki.