Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Ivi wewe mleta mada ndio unaamka saa hizi?!
 
Wewe mwenyewe umeanzia kwenye tone la manii hadi umezaliwa kama nyau na baadaye kuwa bonge la jitu sasa Mungu huyohuyo atashindwa vipi kumrudisha katika umbo lake la kibinadamu kama alivyokuwa!
Mkuu; hapo unamzunguzia Mungu yupi specific?
 
Mauaji yanafanyika kutokana na corrupted minds ila yanatakaswa kihuni kwa jina la mungu!
 
Uyahudi ni dini yeyote anaweza hamia, mfalme wa kituruki aliamua ufalme wake kufuata dini ya kiyahudi, ufalme wa roma ukaamua kufuata ukristu,ufalme wa syria ukafuata uislam,acha kupiga kelele, mileikowsky hakuzaliwa 1945
 
Huwa na mimi nafikiri hivyo sana. Si kweli kwamba Israel hana lolote bila marekani si kweli.. Israel yupo njema
 
Uyahudi ni dini yeyote anaweza hamia, mfalme wa kituruki aliamua ufalme wake kufuata dini ya kiyahudi, ufalme wa roma ukaamua kufuata ukristu,ufalme wa syria ukafuata uislam,acha kupiga kelele, mileikowsky hakuzaliwa 1945
Mbona unanilisha maneno mkuu? Nani kasema huyo mtu kazaliwa mwaka 1945? Umepaniki mapema hivo? Narudia tu, mzee Netanyahu alikua RABI wa Kiyahudi, kazi yake ilikua kufundisha dini hapo hapo kwao na alikua anasafiri mataifa mbalimbali kwenda kuwafundisha Wayahudi walioko huko kuhusu mambo ya dini yao, moja kati ya watoto wake yaani Benjamin na Jonathan amezaliwa USA na mwingine hapo hapo Israeli. Anyway, labda point yako hapa ni ipi? Kwamba kina Netanyahu sio Wayahudi, right? Wayahudi halisi wako wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…