Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Kama walifanikiwa kuundanganya ulimwengu kuwa Yesu alifufuka sio mchezo. Kuna makundi mawili, waliomkataa Yesu na waliomkubali Yesu. Ndio makundi yanayousumbua ulimwengu.
 
Kama walifanikiwa kuundanganya ulimwengu kuwa Yesu alifufuka sio mchezo. Kuna makundi mawili, waliomkataa Yesu na waliomkubali Yesu. Ndio makundi yanayousumbua ulimwengu.
Aliyeudanganya ulimwengu kwamba Yesu alifufuka ni nani?
 
Nawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.

View attachment 3109625
Weeee Mtuu mbaya sana nimecheka sanaa
Eti kuunganisha aweze kuridhi mabikira 72.
Mkuu wanasemaga wanapewa miili mipya mkuuu huko wanakoenda kukutana na mabikira 72
 
Pia waarabu hawawataki watu hawa HAMAS wapalestina na HEZBOLLAH wapalestina vikaragosi vya waIran kwa kuvamia nchi zao kama wakimbizi halafu wanasababisha wenyeji wao kupata kipigo kikali, sababu wakimbizi hawa hufanya mapinduzi baridi na kuweka mgambo mamluki vikaragosi vya wa Shia wa Iran.

Jiulize sababu ya wapalestina kutotakiwa nchi za kiarabu pamoja ya kuwa wamesoma sana kwa misaada ya UN na fedha za nchi za kiarabu lakini wakiingia ktk nchi za kiarabu wanaanza harakati zao dhidi ya tawala za kifalme na kidikteta za kiarabu lengo ni kuleta mapinduzi baridi ktk nchi zinaziwapokea kisha kuanzisha vita na Israel kupitia misaada ya Iran.


View: https://m.youtube.com/watch?v=Woj0d0bZJp0

refugees wa palestina kwa upande mwingine wanajua wakitoka pale kurudi itakua ngumu kama mambo yatakua bado hayaendi upande wao. hii nayo ni point muhimu
 
WHERE IS ALLAH?
ALLAH UPO WAAAPIII?

View attachment 3109278
Hii kama mzazi yeyote yule lazima ikuhuzunishe tu..sema sasa hapa badala ya kuwachukia hedhi-bora wanaoleta haya majanga, atawachukia zaid wayahud halaf na yeye atageuka kuwa gaid kulipiza kisasi halaf akijilipua wayabud wata react tena kwa kuua wengine hivyo badala ya kutatua tatizo atawaletea ndugu zake wengine misiba

CHUKI NI MBAYA SANA
 
Back
Top Bottom