Israel yatumia parachuti kuwadondoshea chakula maelfu ya askari wake waliozingirwa kusini mwa Gaza

Israel yatumia parachuti kuwadondoshea chakula maelfu ya askari wake waliozingirwa kusini mwa Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kwa mara ya mwanzo jeshi la IDF limelazimika kutumia parachuti maalum ili kuwafikishia mahitaji muhimu maelfu ya askari wake wanaokaribia kufa kusini ya Gaza.

Maamuzi hayo yamkuja wakati vita vya mitaani vinaonekana kuwamaliza nguvu askari hao na kushindikana kuwafikishia mahitaji hayo kwa njia ya kawaida ya barabara.

Majaribio ya matumizi ya malori na barabara yamekuwa magumu kwanzia kutokana na miundo mbinu yote kubomolewa na wao wenyewe na pia kutokana na kushambuliwa na kuchukuliwa mahitaji hayo kwa matumizi ya Hamas.

Njaa na ukosefu wa maji inatarajiwa itakuwa ni msaada mkubwa kwa Hamas kuwamaliza askari wa IDF hata bila matumizi makubwa ya nguvu.

Guided Parachute System Used By Israel For First Time In Gaza​

1702371945025.png
 

Attachments

  • 1702371945251.png
    1702371945251.png
    144.2 KB · Views: 4
Israhell ni nchi ya hovyo sana na idf wao ni wanamgambo wa hovyo kuzidi. Bora hamas wangepigana na M23 wangepata upinzani.

Hawa wanamgambo wanaooana wanaume kwa wanaume kwenye uwanja wa mapambano hawana jipya
Wanamgambo wa israhell kuikimbia ghaza nisuala la muda tu.

Tena watamtumia mama yao mdogo us pale UN. Hamas kundi teule kamatieni hapo hapo mpaka hao mgambo magaidi warejelee walipotoka.
 
Jeshi la israel ni dhaifu sana. Eneo dogo kuliko kisiwa cha ukerewe wanashindwa nini kumaliza kazi?
Ni dhaifu zaidi ya udhaifu wenyewe kwakweli
Yaani wanashindwa na wanamgambo hawazidi hata elfu 2
Tena wako hapo tu pua na mdomo ila israhell sawa na mama ake mdogo us bila ya nyuklia hawana madhara kabisa kabisaaa
 
Israhell ni nchi ya hovyo sana na idf wao ni wanamgambo wa hovyo kuzidi
Bora hamas wangepigana na M23 wangepata upinzani
Hawa wanamgambo wanaooana wanaume kwa wanaume kwenye uwanja wa mapambano hawana jipya
Wanamgambo wa israhell kuikimbia ghaza nisuala la muda tu
Tena watamtumia mama yao mdogo us pale UN
Hamas kundi teule kamatieni hapo hapo mpaka hao mgambo magaidi warejelee walipotoka
Najiuliza Kama Hamasi Apewe Zana Zakivita Zakutosha Pesa Hawa Mbwa watatoboa kweli !!
 
Israel Anaye Sifiwa Unajua Vyombo Vya habari vya Magharibi Viliwapotosha watu sana Yaani Ni Propaganda tupu Mji wa Gaza Ni Kieneo Kidogo Sana Lakini Wameshindwa Kukiteka Na Mbwembwe zao Zote kweli
Hawa ndio Wapigane na Muiran kweli!!
Viliwapotosha sana watu hasa hawa kina T14 Armata armata na mwenzake MK254
Hawa waliaminishwa israhell inaweza kufanya lolote hapa duniani ikiamua kwenye uga wa kijeshi na kiintelijensia yaani wapo vyema
Ila leo tumeona kaeneo kama viwanja vitatu vya mpira wa miguu wameshindwa kumaliza kazi
Tena wameshindwa kukomboa mateka hata mmoja
Israhell wanachoweza ni kuhalalisha liwatw na kusagana
 
Najiuliza Kama Hamasi Apewe Zana Zakivita Zakutosha Pesa Hawa Mbwa watatoboa kweli !!
Watoboe wapi mkuu labda watoboe pua hili wanaweza
Hamas wangepewa zana za kivita kama alizonazo Hizbullah tu
Basi hii mbungi ilikua ishaisha zamani sanaaaa
Israhell wanadai wana nyambizi wana air force wana misaada kwa mataifa wanayoyaita makubwa kijeshi na kiuchumi na kisiasa
Ila mpaka sasa hamas wameshindwa
 
Watoboe wapi mkuu labda watoboe pua hili wanaweza
Hamas wangepewa zana za kivita kama alizonazo Hizbullah tu
Basi hii mbungi ilikua ishaisha zamani sanaaaa
Israhell wanadai wana nyambizi wana air force wana misaada kwa mataifa wanayoyaita makubwa kijeshi na kiuchumi na kisiasa
Ila mpaka sasa hamas wameshindwa
 

Attachments

  • Screenshot_20231208-110313_Gallery.jpg
    Screenshot_20231208-110313_Gallery.jpg
    127.8 KB · Views: 5
Kwa mara ya mwanzo jeshi la IDF limelazimika kutumia parachuti maalum ili kuwafikishia mahitaji muhimu maelfu ya askari wake wanaokaribia kufa kusini ya Gaza.
Maamuzi hayo yamkuja wakati vita vya mitaani vinaonekana kuwamaliza nguvu askari hao na kushindikana kuwafikishia mahitaji hayo kwa njia ya kawaida ya barabara.
Majaribio ya matumizi ya malori na barabara yamekuwa magumu kwanzia kutokana na miundo mbinu yote kubomolewa na wao wenyewe na pia kutokana na kushambuliwa na kuchukuliwa mahitaji hayo kwa matumizi ya Hamas.
Njaa na ukosefu wa maji inatarajiwa itakuwa ni msaada mkubwa kwa Hamas kuwamaliza askari wa IDF hata bila matumizi makubwa ya nguvu.

Guided Parachute System Used By Israel For First Time In Gaza​

View attachment 2840234
Allahu Akbar
 
Back
Top Bottom