Kwa ujinga ni kweli waarabu ni wazembe sana.Hawa jamaa waaache kabisa kukazana na Madrasa wakazane na shule. Mungu amewabariki akili nyingisana ukigoogle historia ya Baghdad Iraq utajua. Ila walichobarikiwa wanakifocus kwenye ujinga. Nchi nyingi za Uarabuni wataaalamu wanatoka nje wao wanakula maisha tu. Sasa unadhani watawezaje kupambana na wayahudi. Wayahudi wameiteka dunia wamejaa katika serikali zote kubwa za dunia kuanzia Marekani mpaka Urusi. Mimi nilishangaa sana shambulio la Oktoba 2023. Unawasumbuaje Wayahudi wakati hauna hio status katika dunia ? Wayahudi hawasubiri wasaidiwe wanajisaidia wao wenyewe. Mataifa yanaisaidia Israel kwa sababu kuna wayahudi katika ngazi za juu za uongozi katika hayo mataifa. Hamas wakae chini wajipange wakazane na shule na kuinfiltrate western countries. Wazungu wamebweteka wanafundishwa ushoga mashuleni na hawataki kusoma. Ndani ya vizazi vitatu Hamas wanaweza wakashika hatamu ya uongozi katika First world countries. Si mnaona wa-asia wanavyoikimbiza marekani ? Sio wahindi,wakorea, wataiwan au wajapani. Ma CEO wa makampuni makubwa sasa wengi wanatoka Asia.
Ila kuna baadhi ya mataifa yanajitahidi mathalan UAE,Qatar na Kuwait yanajitahidi kuwekeza katika elimu na teknolojia kiasi asahv wameanza hata kuunda silaha zao wenyewe.