Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Hawa jamaa waaache kabisa kukazana na Madrasa wakazane na shule. Mungu amewabariki akili nyingisana ukigoogle historia ya Baghdad Iraq utajua. Ila walichobarikiwa wanakifocus kwenye ujinga. Nchi nyingi za Uarabuni wataaalamu wanatoka nje wao wanakula maisha tu. Sasa unadhani watawezaje kupambana na wayahudi. Wayahudi wameiteka dunia wamejaa katika serikali zote kubwa za dunia kuanzia Marekani mpaka Urusi. Mimi nilishangaa sana shambulio la Oktoba 2023. Unawasumbuaje Wayahudi wakati hauna hio status katika dunia ? Wayahudi hawasubiri wasaidiwe wanajisaidia wao wenyewe. Mataifa yanaisaidia Israel kwa sababu kuna wayahudi katika ngazi za juu za uongozi katika hayo mataifa. Hamas wakae chini wajipange wakazane na shule na kuinfiltrate western countries. Wazungu wamebweteka wanafundishwa ushoga mashuleni na hawataki kusoma. Ndani ya vizazi vitatu Hamas wanaweza wakashika hatamu ya uongozi katika First world countries. Si mnaona wa-asia wanavyoikimbiza marekani ? Sio wahindi,wakorea, wataiwan au wajapani. Ma CEO wa makampuni makubwa sasa wengi wanatoka Asia.
Kwa ujinga ni kweli waarabu ni wazembe sana.
Ila kuna baadhi ya mataifa yanajitahidi mathalan UAE,Qatar na Kuwait yanajitahidi kuwekeza katika elimu na teknolojia kiasi asahv wameanza hata kuunda silaha zao wenyewe.
 
If you say so tukubali Hitler hakua mbaya, kumbe kuua wamama na watoto wa kiyahudi ilikua ni sawa ili kufuta kizazi kiovu? There is no genocide
Escape from sobibor itakuonyesha hawa ziraili walipitia wapi.
Wanachofanya saa hii ni kujilinda tu.
Swali kuu,kwanini hammas walienda kuwachokoza?
 
Mnawakosea heshima sana akina Mandela na Nyerere kuwalinganisha na watu wa jihad. Mandela hakuwaweka rehani raia wake kisa anapigani uhuru.
Jenga hoja zako kwa mifano inayoendana, tofauti na hapo ni upotoshaji unafanya.
Sio kweli Mandela alifanya sana ugaidi wa kulipua majengo ya wazungu. Hivi historia mnaijua kweli, in fact ANC ilikua listed kama kikundi cha kigaidi. Kingine kama hujui Mandela alikua supported na Palestine muda huo Israel ilikua inampa silaha kaburu awatandike waafrika.

Na baada ya uhuru wa sauzi, Mandela alilipa fadhila kwa kuwapa support PLO. So huwezi tenganisha msimamo wa Nyerere na Mandela juu ya Palestina. Wote waliitwq magaidi ila hawakukata tamaa.


View: https://youtu.be/JtjTIS1NOJI?si=J2WeGWTF5-t305L6

Hii ndio ANC halisi ilikua inafanya ugaidi kuliko Hamas ila bado Mandela anaitwa shujaa? Acheni unafiki someni historia
 
Swali kuu,kwanini hammas walienda kuwachokoza?
Hakuna aliyechokozwa? Kile kijiji ni ardhi ya Palestine kilikaliwa na walowezi ambao ni waisrael wakawa wanalima pale wakapora mashamba. So jamaa walichofanya ni kurejesha ardhi yao ambayo ipo ndani ya palestina nothing much.

Ni sawa na useme Zelensky ni mchokozi kisa anapigana na warussia waliopo ndani ya Ukraine huko Donbass au Crimea!! Au Nyerere alipokwenda kuikomboa Kagera utasema aliichokoza Uganda?
 
Hamas wanapatiwa dawa kisawasawa.
Sio Hamas, wamama na watoto!! Kasome takwimu za waliokufa uone Hamas ni wangapi vs wanawake na watoto?

Ni aibu sana majitu mazima kushangilia vifo vya wanawake na watoto. Hivi mtoto kichanga hata bila bunduki huwezi kumuua? Sasa unaendaje kuua katoto ka miezi 6 alafu unajisifia wewe ni jeshi kubwa?
 
Wako wapi wale walioapa kuwalinda wapelestina? Inasikitisha sana hakuna anayekuja kuwasaidia Mpaka Yahudi achoke mwenyewe.
 
Yule Mungu wao mbona hawasaidii Wapalestina nyakati za Taabu?

Ndio Maana Kiranga anasemaga hizi hisia za uwepo Mungu ni Bosheni tu
Nani alikwambia ukiwa na Mungu hupati matatizo?? Afrika tunaongoza kuwa watu wa dini mbona tuna maisha magumu? Ina maana hatuna Mungu? Ila hao wazungu wasio na dini na wanasupport ushoga mbona ndio wenye hela? Je wana Mungu kuliko sisi? Kama hawana kwanini wafanikiwe kuliko sisi?

Ukiweza kujibu hayo utaelewa kwamba Mungu ni zaidi ya mafanikio ya mwilini maana kuna maisha baada ya haya.
 
Tuonyeshe picha ya myahudi mweusi alieuawa na freedom fighters!

Ikiwa lengo lake kuwasadia makafiri wenzie wa kizayuni na ikapelekea kifo chake, basi freedom fighters/Hamas wapo sahihi kufanya hivyo, itakua sio akili nimuangalie adui akiuwa raia then nimuangalie tu.
Watanzania walioenda masomoni Israel waliwasaidiaje waisraeli na ushahidi uliotolewa uko wapi. Hao wapalestina wameshauwawa 30,000, hiyo idadi naona bado ni ndogo sana na inatakiwa walau iwe mara 20 ya hapo. Bure kabisa hayo magaidi.
 
Hao wapalestina wameshauwawa 30,000, hiyo idadi naona bado ni ndogo sana na inatakiwa walau iwe mara 20 ya hapo. Bure kabisa hayo magaidi.

Hawatakuwa radhi nasi mayahudi na wakristo mpaka tufuate mila zao

So, ongea yote. All in all palestina itapata uhuru wake, na hao makafiri watafutika wote.
 
Sio kweli Mandela alifanya sana ugaidi wa kulipua majengo ya wazungu. Hivi historia mnaijua kweli, in fact ANC ilikua listed kama kikundi cha kigaidi. Kingine kama hujui Mandela alikua supported na Palestine muda huo Israel ilikua inampa silaha kaburu awatandike waafrika.

Na baada ya uhuru wa sauzi, Mandela alilipa fadhila kwa kuwapa support PLO. So huwezi tenganisha msimamo wa Nyerere na Mandela juu ya Palestina. Wote waliitwq magaidi ila hawakukata tamaa.


View: https://youtu.be/JtjTIS1NOJI?si=J2WeGWTF5-t305L6

Hii ndio ANC halisi ilikua inafanya ugaidi kuliko Hamas ila bado Mandela anaitwa shujaa? Acheni unafiki someni historia

South Africa na huko kwingine ni vitu viwili tofauti kabisa. Vilevile huwezi linganisha Tanganyika na huko unakotetea wewe.
Hao wawili waliamua kuwatete PLO kutokana na Israel kuwasaidia wakoloni wa SA kwa hiyo ilinekana kama Israel ilikuwa inafifisha harakati za Waafrika kujitawala.
 

Kwa nini Gaza iliishambulia Israeli na kuteka baadhi ya Wayahudi na hawataki kuwaachia?

Ni ujinga kuandika habari za kuegemea upande bila kuzitaja sababu za kwa nini mauwaji yanaendelea kati ya Palestine na Israel
Na niseme waziwazi Muslim wengi wanaona kama palestina anaonewa,lakini unafiki na udini ndio unaleta maono hayo,
Kuna ndugu zetu hapa wakongo wanakufa kila siku lakini utasikia keklele za palestina huoni akiombea kongo
 
Escape from sobibor itakuonyesha hawa ziraili walipitia wapi.
Wanachofanya saa hii ni kujilinda tu.
Swali kuu,kwanini hammas walienda kuwachokoza?
Hamas walienda kutetea kilicho chao na kuzuia Israel settlement expansion.
Kila mwaka Israel hufadhili fujo za jewish settlers wavamie makazi ya Wapalestina.
Hiko kitu Hamas kimewachosha wamefanya retaliation.
Kila mwaka IDF inakamata watoto na kuwasweka jela za watu wazima kwa kisingizio cha kurusha mawe watoto chini ya miaka 14.
Je hilo unaliona liko sawa??!!
Kipindi cha waziri wa mpito Yair Lapid Palestina na Israel waliishi kwa amani sana mpaka kuna waisrael wameanzisha biashara Gaza.
Ila Netanyahu ni muumini wa expansion by invasion.
 
Hakuna aliyechokozwa? Kile kijiji ni ardhi ya Palestine kilikaliwa na walowezi ambao ni waisrael wakawa wanalima pale wakapora mashamba. So jamaa walichofanya ni kurejesha ardhi yao ambayo ipo ndani ya palestina nothing much.

Ni sawa na useme Zelensky ni mchokozi kisa anapigana na warussia waliopo ndani ya Ukraine huko Donbass au Crimea!! Au Nyerere alipokwenda kuikomboa Kagera utasema aliichokoza Uganda?
Tukubaliane kutokubaliana,
Sipingi chochote ila hawa waliendaje kuwavuruga wenzao.
Kuna video binti kabakwa mpk kajinyea.
Ilikua hiyo oct 7-10.
Na hao Hamas wamevaa Adidas.
Mi niwaonee huruma ya nini.
 
Israel anakua funded na US ndio kinampa kiburi kama tu Assad anavyopewa jeuri na Urusi wala hakuna cha akili au influence. Siku ikitokea China kaingia upande wa Palestine na kaleta meli vita hapo gulf of Aden ndio utaelewa kama issue ni akili au pesa za mmarekani tu.
Kwamba huwezi pigania uhuru kisa hauna status? So South Sudan wangekaa tu!! Je Mandela na Nyerere wangekaa tu waendelee kuminywa na wakoloni kisa hawana status? Haupo serious. Hiyo ni geopolitics tu kama Israel ni wababe mbona walishindwa kumng'oa Assad huko Syria? Jibu ni sababu walikutana na Iran plus Russia. That shows you wana limits maana wanajua size yao hawawezi pigana nayo ndio maana wanamuonea tu Palestine.

Issue ni superpower gani yupo nyuma yako basi wala huhitaji elimu au akili kumshinda Israel
Kaka hata vita ya ukraine na Russia Zelensky ndio mwenye hasara kubwa watu kibao wanakufa na mwisho wa siku silaha zote alizotumia lazima azilipie. Amekopeshwa silaha na marekani na pia unajua silaha za kivita huwa zina-expire kwa hio ni faida kwa Marekani. Pia kuna silaha kibao ambazo Marekani ilikuwa haijazifanyia testing kwenye combat kwa hio hii vita ni fursa yao kujua ubora na ufanisi wa silaha. Kaka sera za ujamaa na haki zimeshapitwa na wakati. Dunia haiangalii mwenye haki inaangalia mwenye disposable income kwa ajili ya maslahi. Mwarabu hana ushawishi na hela aliyonao anatoa kwa mzungu ambako wamejaa wayahudi. Fuatilia nani ilibidi arithi ufalme wa Saudia baada ya Salman bin Abdulaziz Al Saud kufariki ?. Unajua Marekani walifanyaje kumpata mfalme wa sasa hivi ?Unasema China ataisaidia palestine, kuna faida gani china atapata ? Hakuna superpower itakuwa nyuma ya nchi bila maslahi. Fuatilia uanzishwaji wa Israeli ndio utajua kuwa kuna nguvu kubwa sana juu yao. Mataifa makubwa yapo nyuma ya Israel kwa sababu serikali zao zimejaa wayahudi na wanaotoa hela za kampeni za urais katika mataifa ya ulaya na Marekani ni wayahudi. Sasa Hamas wameishia kuswali na kukazania madrasa na kujilipua . Wanavyozidi kuwachokoza Israel wanazidi kujiumiza wao wenyewe. Inabidi watulie waje na plan ya muda mrefu. Huku ulaya sijawahi kuona myahudi masikini. Na wanakaa mtaa mmoja na biashara wanafanya pamoja. Kuhusu Syria hio sio maslahi ya wayahudi. Hao wapalestina ni rahisi kupewa asylum Ulaya nzima na Marekani. Wakishapewa uraia wanaishia kuridhika na kazi za kichoko badala ya kupiga shule. Huku Ujerumani wamejazana kwenye kazi za kijinga jinga. Wahindi hawapewi uraia kirahisi lakini hao ndio mabosi katika viwanda vingi. Inabidi waamke sio siri maana wazungu wa generation Z hawataki kufanya kazi. Tatiizo kubwa la watanzania hatusafiri ila kama tungekuwa tunasafiri tungeamka muda mrefu sana.
 
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.

Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.

Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa

Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:


Acha waune, Palestina waliua wayahudi wakiwa kwenye tamasha ukipenda mziki, wao wamewaua wakiwa kwenye kuchukua chakula , si mnajua hao ni watu wa visasi!
 
Kuna msemo kwamba ukitaka kumuua mbwa mpe jina. Haya unayosema hapa huna ufahamu nayo

Umesahau wiki mbili Israel waliingi Hospitali na kuua wagonjwa
Umesahau Israel walipiga bomu Hospitali ya Haifa na kuua 500 wakakataa, lakini siku zilivyosonga mbele wameua kila Hospitali iliyopo Gaza
Umesahau Israel walisema Hamas wanatumia Hospitali! miezi 5 hakuna ushahidi
Orodha ni ndefu

Huwezi kupiga Bomu katikati ya watu wanaolilia chakula ukasema 'umeona magaidi' na wewe unakubali upuuzi huo


Watanzania wana matatizo mengi lakini kubwa ni kufunika akili zao katika mambo ya hisia hasa za dini
Hilo linawafanya washindwe kuona au kutafuta ukweli. tuna matatizo sana ya weledi wa watu wetu!

Hakuna Israel inayopigana na Hamas! Kuna Marekani ikisaidiwa na Ufaransa na Uingereza wakipigana na Wanamgambo wa Hamas. Pentagon wamekiri kwamba katika chumba cha mipango ya vita '' war room' wapo
Drone unazosikia zipo Gaza ni za Marekani, wanakubali wenyewe

Majenerali wa Vita unaowaona katika TV ni zuga, vita inapiganwa na Majenerali wa Marekani.
Kuna meli mbili kubwa za kivita za Marekani kule mediterrenian, unadhani zimebaba Maharusi!

Mabomu yote yasiyo na precision (samahani sijui kama unaelewa) hayatumiwi na Pentagon lakini Israel inayatumia.
Kuvunja majengo inaitwa 'Carpet Bombing' si kutafuta adui bali kutafuta njia ya kupita ili kukwepa kitu kinaitwa '''Urban' warfare'' wala si kutafuta Hamas. Marekani waliwaeleza Waisrael kilichotokea Iraq

Hamas ni wana mgambo tu wanotengeneza 'katushi' uani, hawana msaada mkubwa wa nchi kama UK, France na USA lakini mwezi wa 5 bado Israel inahangika

Hii vita imeonyesha kitu ambacho wengi hawajui, kwamba Israel ni dhaifu sana. Uimara wa Israel ni kupitia USA lakini wenyewe hawawezi kusimama na Hamas , Hezebollah wala Iran au Syria.
Mashamabulizi yote yanayofanywa na Israel yanaratibiwa na USA.
MOSAD hakuna kitu, Waisrael wanakiri wenyewe. Wameshindwa kujua siri ya watu 1000 halafu hadi wanavamiwa!

Tafuta habari usisubiri kusimuliwa! dunia ya leo habari zipo kiganjani lakini inahitaji akili njema kujua pumba , chenga na mchele. Kwani nani anakusimulia habari hizi?

JokaKuu Pascal Mayalla
Dawa ya gaidi ni kifo tu. October 7,2023. Takbirr zilitawala kila kona, na HAMAS walijigamba wako tayari kupigana, na walijiandaa kwa muda mrefu. Waache wapgane sasa, kufa vitani siyo tatizo. Kumbuka magaidi hawana uniform Israel wanatumia inteligensia. Inteligensia iliwabaini wakiwa wamejichanganya na raia kusubiri msaa wakauwawa.
Dini mchanganye nyie tu.
 
Back
Top Bottom