Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

unajua hapo juu kwenye bold unalinganisha vitu viwili tofauti.
Vinafanana, world war 1 Wayahudi walikataa kuchangia pesa kwa ajili ya vita so wakaitwa wasaliti mind you walikua wanawapa fedha uingereza iitwange Germany!! So kwenye world war 2 wakahesabika ni maadui pia wakafyekwa na Hitler. Dunia ikasema ni mauaji ya halaiki. Cha ajabu Israel inafanya hivyo hivyo Gaza kwa kuua raia wasio na hatia ila hamtaki iitwe genocide.

Ni hivi ukiua mtu asiye mwanajeshi tena racial differences technically its genocide.
Sijui kama utaweza kuweka hapa ushahidi wa Mzayuni kwenda kumchokoza Hitler lakini kinachoendelea huko sasa hivi ni kuna kichaa mmoja alijiona smart sana akatoka kwake akaenda kumchokoza kichaa mwenzake
Duh hii topic wengi hamuijui kabisa. Ni hivi hiko kijiji ni cha Palestina ila kuna walowezi wa Israel wakahamia huko na kukiteka kwa lazima. So hapo Hamas walienda kuikomboa ardhi yao kabisa sio kwamba walivamia mipaka original ya Israel ila ni mipaka iliyoongezwa kinyemela tu isiyotambulika kimataifa. Ni kama kusema Idd Amin angeichukua kagera alafu ghafla mpaka unaanzia Kahama!! Sasa majeshi ya Tz yakivamia kahama utasema time tumechokoza Uganda?

Hivi unamchokozaje mtu anayekukalia kimabavu?
 
Sauzi walidai uhuru ili waishi kwa amani na kila mtu
Sio kweli, wasauzi walikua wanavamia nyumba za wazungu na kuwachomea moto, kulipua maghorofa n.k in fact ugaidi ulizaliwa kule.

Ni ajabu sana kupigania uhuru wako unaonekana mchokozi.

Mimi nilikua pro-Ukraine ila tokea October 7 nimeona unafiki wa magharibi. Yaani anachofanya Zelinski ni sawa na anachofanya Hamas ila eti Zelinski wanamsupport ila Hamas anaitwa gaidi? Duuh huu unafiki sijui unamsaidia nani no wonder Putin anawapiga tu.

Hata hapo Syria myahudi hawezi ingia kumtoa Assad sababu anajua Putin ataifuta Tel Aviv asubuhi tu. Unafiki kila mahali
 
Nchi iko vitani dhidi ya MAGAIDI, hao ni collateral death siyo murder. Taarifa za kiinteligensia zinasema walikuwa magaidi waliojichanganya na raia wanaosubiria msaada wa chakula, Ukizingatia magaidi hayana military uniform.
Kuna msemo kwamba ukitaka kumuua mbwa mpe jina. Haya unayosema hapa huna ufahamu nayo

Umesahau wiki mbili Israel waliingi Hospitali na kuua wagonjwa
Umesahau Israel walipiga bomu Hospitali ya Haifa na kuua 500 wakakataa, lakini siku zilivyosonga mbele wameua kila Hospitali iliyopo Gaza
Umesahau Israel walisema Hamas wanatumia Hospitali! miezi 5 hakuna ushahidi
Orodha ni ndefu

Huwezi kupiga Bomu katikati ya watu wanaolilia chakula ukasema 'umeona magaidi' na wewe unakubali upuuzi huo

HAMAS, walisema wana pumzi ya kupigana muda mrefu, Israel ikawapelekea vita chumbani sasa wapigane vizuri. Wanapo ua Muisrael hata mmoja utasikia Allah Akbar kibao, sijui sasa hivi wanaongea nini huko.
Watanzania wana matatizo mengi lakini kubwa ni kufunika akili zao katika mambo ya hisia hasa za dini
Hilo linawafanya washindwe kuona au kutafuta ukweli. tuna matatizo sana ya weledi wa watu wetu!

Hakuna Israel inayopigana na Hamas! Kuna Marekani ikisaidiwa na Ufaransa na Uingereza wakipigana na Wanamgambo wa Hamas. Pentagon wamekiri kwamba katika chumba cha mipango ya vita '' war room' wapo
Drone unazosikia zipo Gaza ni za Marekani, wanakubali wenyewe

Majenerali wa Vita unaowaona katika TV ni zuga, vita inapiganwa na Majenerali wa Marekani.
Kuna meli mbili kubwa za kivita za Marekani kule mediterrenian, unadhani zimebaba Maharusi!

Mabomu yote yasiyo na precision (samahani sijui kama unaelewa) hayatumiwi na Pentagon lakini Israel inayatumia.
Kuvunja majengo inaitwa 'Carpet Bombing' si kutafuta adui bali kutafuta njia ya kupita ili kukwepa kitu kinaitwa '''Urban' warfare'' wala si kutafuta Hamas. Marekani waliwaeleza Waisrael kilichotokea Iraq

Hamas ni wana mgambo tu wanotengeneza 'katushi' uani, hawana msaada mkubwa wa nchi kama UK, France na USA lakini mwezi wa 5 bado Israel inahangika

Hii vita imeonyesha kitu ambacho wengi hawajui, kwamba Israel ni dhaifu sana. Uimara wa Israel ni kupitia USA lakini wenyewe hawawezi kusimama na Hamas , Hezebollah wala Iran au Syria.
Mashamabulizi yote yanayofanywa na Israel yanaratibiwa na USA.
MOSAD hakuna kitu, Waisrael wanakiri wenyewe. Wameshindwa kujua siri ya watu 1000 halafu hadi wanavamiwa!

Tafuta habari usisubiri kusimuliwa! dunia ya leo habari zipo kiganjani lakini inahitaji akili njema kujua pumba , chenga na mchele. Kwani nani anakusimulia habari hizi?

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Kwa nini Gaza iliishambulia Israeli na kuteka baadhi ya Wayahudi na hawataki kuwaachia?

Ni ujinga kuandika habari za kuegemea upande bila kuzitaja sababu za kwa nini mauwaji yanaendelea kati ya Palestine na Israel
Inashangaza kwakweli, yaani uinue makalio na makanyagio ukamchokoze Simba aliyelala kisha ukiraruliwa unatafuta huruma....pumbaaaavu zao hawa Magaidi
 
Kwa nini Gaza iliishambulia Israeli na kuteka baadhi ya Wayahudi na hawataki kuwaachia?

Ni ujinga kuandika habari za kuegemea upande bila kuzitaja sababu za kwa nini mauwaji yanaendelea kati ya Palestine na Israel
Kwa uelewa wako mauaji yameanza lini?
 
Inashangaza kwakweli, yaani uinue makalio na makanyagio ukamchokoze Simba aliyelala kisha ukiraruliwa unatafuta huruma....pumbaaaavu zao hawa Magaidi
Nani kachokozwa? Kile kijiji kipo Palestine ila hao walowezi wakulima ndio wamekikalia. Ile haikua ndani ya mipaka rasmi ya israel. Ni kma tumfurumushe Idd Amin kagera alafu useme tumemchokoza?
 
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.

Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.

Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa

Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:


Manaswari na mayahudi ndio wanafurahia wapalestina kuuawa
 
Kwa nini Gaza iliishambulia Israeli na kuteka baadhi ya Wayahudi na hawataki kuwaachia?

Ni ujinga kuandika habari za kuegemea upande bila kuzitaja sababu za kwa nini mauwaji yanaendelea kati ya Palestine na Israel
Wewe kafiri muabudu sanamu tumia akili japo kisoda
 
Kumbe hata hujielewi,hamas makazi yao ni gaza hata nateka waliwapeleka gaza ulitaka muyahudi awasubiri israel?adui unayemuweza usimuachie mungu,ndugu zako magaidi wa kidini watajuta mwaka huu na bado.
We ndio hujielewi, soma vizuri nilichoandika. Al shabab kutuvamia Dar hakumaanishi Mogadishu ndio wanahusika? Kamtafute Hamas umalizane naye sio unaenda mahospitali na mashuleni unaua watoto na wanawake wasiohusika. Ingekua hivyo kusingekua na kitu kinaitwa vita ingekua kama M23 wamevamia TZ basi tunaenda tu Goma tunalipua mashule na mahospitali alafu tunashangilia tumewapiga M23!!

Ajabu sana
 
Hao waafrika kusini waarabu.........leta picha zao tuone kama ni wabantu?????
Lakini hao waarabu wa gaza wakishirikiana na hao waarabu wa afrika kusini wote memba wa hamas walimuua mollel mchaga.
Acha tulipiwe damu ya mdogo wetu mollel
Walioua ni Hamas sio watoto na wanawake mbona hamuelewi. Hitler mnamlaumu sababu hakuua askari wa Kiyahudi ila wamama, watotoz wazee n.k ndio mpaka leo anaoenakana shetani. Cha ajabu Israel wanafanya kitu kile kile ila inaoenekana ushujaa.

Huu unafiki ndio unasababisha Putin aitwange Ukraine.
 
Ndo hao mnaita wamama na watoto wanauliwa.
No ndio hiyo migaidi miuaji na wazazi wao na watoto wao full Stop
If you say so tukubali Hitler hakua mbaya, kumbe kuua wamama na watoto wa kiyahudi ilikua ni sawa ili kufuta kizazi kiovu? There is no genocide
 
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.

Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.

Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa

Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:


Yule Mungu wao mbona hawasaidii Wapalestina nyakati za Taabu?

Ndio Maana Kiranga anasemaga hizi hisia za uwepo Mungu ni Bosheni tu
 
Kwahiyo ulitaka waarabu wakiwaua wayahudi.....basi wayahudi wasilipize kisasi?????
Au unaumia wakifa waarabu......ila unafurahia wakifa wayahudi???
Hamas kaua watu.... jeshi la Israel liende kuwaua Hamas I fully support that. Ila sio unaacha Hamas wapo kwa handaki unaenda lipua hospitali na shule vinahusiana nini? Angalia data waliokufa 80% ni Wanawake na watoto huku hamas waliokufa hawafiki elfu hata 2 sasa ndio nini hiko?

Kama unataka kuua, Kaue hao unaoita magaidi sio wanawake na watoto ndio tunachopinga
 
Sio kweli, wasauzi walikua wanavamia nyumba za wazungu na kuwachomea moto, kulipua maghorofa n.k in fact ugaidi ulizaliwa kule.

Ni ajabu sana kupigania uhuru wako unaonekana mchokozi.

Mimi nilikua pro-Ukraine ila tokea October 7 nimeona unafiki wa magharibi. Yaani anachofanya Zelinski ni sawa na anachofanya Hamas ila eti Zelinski wanamsupport ila Hamas anaitwa gaidi? Duuh huu unafiki sijui unamsaidia nani no wonder Putin anawapiga tu.

Hata hapo Syria myahudi hawezi ingia kumtoa Assad sababu anajua Putin ataifuta Tel Aviv asubuhi tu. Unafiki kila mahali
Dunia inaongozwa kwa maslahi tu zitto unafiki as usual haya mambo ya siasa za kimataifa ni ya kuyatazama tu nafikiri unafahamu wakati wa vita baridi kilichokuwa kinaendelea duniani
 
Sheria za vita haziruhusu sasa, vita ni jeshi vs jeshi not otherwise. Yaani unapigana na Hamas ila wewe unaenda kuua wanawake walio kwenye wodi ya kujifungua? Aisee kuna watu mnashangaza sana reasoning zenu kisa mahaba ya kidini.

Imagine huko M 23 wamefanya vita alafu sisi twende tu tuanze kuua wanawake na watoto wenye jamii ya kitutsi huko Goma!! Does it make sense? matokeo yake hamas wamejaa ila wasio na hatia ndio wanakufa.

Cha ajabu alipofanya Hitler kuchinja wayahudi wakasema ni mauaji ya halaiki ila wakifanya Israel unaambiwa "gaza walishangilia". Double standards kwa faida gani?
Hawa mawakala wa mayahudi ni wagumu sana kuelewa, hapo unajitahidi sana kuwapa facts na kuwafafanulia ila msimamo wao uko pale pale kuwatetea watu

إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.
 
Mkuu hakuna muyahudi mweusi.....tunazungumzia mdogo wetu mollel......UKIKANA BAS WEWE UNA MATATIZO YA AKILI......INA MAANA WATANZANIA WALIOKUFA HATA CLIP ZAO HUKUZIONA???

Naomba hiyo clip tuone kama ni yeye huyo mollel wako!

Yeyote alie upande wa mayahudi kuwashambulia ndugu zetu au hata kuonyesha ishara ya kuwasapoti iwe kwa silaha, ushauri n.k basi mtu huyo anapaswa kuuawa!

Ndio maana nikasema hapo mwanzo, kama ameuawa na hamas hali yakua akishirikiana na mazayuni kwa njia yoyote basi ni halali yake kuuawa, na hamas hawezi kuuwa mtu asie na hatia.
 
Back
Top Bottom