Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Kipindi hamas wanavamia october 7 na kuua na kuchukua mateka mlishangilia.
Netanyau aliwaambia mtajuta
 
Hamas ilishambulia sio Gaza, ni sawa na Al shabaab watulipue hapa Dar alafu eti twende Mogadishu tulipue mahospitali na mashule true watoto na wamama!! Sasa inahusiana nini?
Kwa akili ndogo ya Hamas walifikiri watatafutwa wao baada ya tukio la october 7.
Waisrael lile tukio la october 7 wamelihamishia Gaza.
Hii inaitwa mkanye mkeo, mwambie gari siyo yangu
FaizaFoxy
 
Magaidi 100 tu mnapiga kelele? Tukiua chini ya 100 hatutafikia lengo la kuua magaidi na ndugu zao wapatao 120,000 ifikapo Decemba 2024
 
Binafsi ninapo kumbuka kuwa hao wa Palestina ni just innocent civilian like me,wanauwawa kila siku huku Dunia mzima inaangalia bila kufanya chochote,Huwa najisemea life is meaningless.

I don't even see the hand of God there helping them.
Umeshasau october 7?
Mchuma janga hula na wa kwao
 
Na useme Hamas 100,sio wapalestina na wanaosindikizana nao ndo hao wamama na vitoto vyao.wote ni magaidi tu at the end.
 
 
hii ni hasara kubwa kwa Mungu, watu wanapokufa. nimekoma, sitaki tena majibizano kuhusiana na huu mjadala wa Israel na Gaza, hata pale nilipochangia Mungu anisamehe kabisa na yeyote aliyekwazika. Mungu hafurahii kifo cha mwenye dhambi hata angekuwa ni gaidi au mwizi.

ajabu ni kwamba, wengi wa hao wanaoua wenzao, na hao wanaouawa, wote hawamwamini Mungu kwa njia sahihi. Waisrael ndio kabisa wamepoteza hata ile imani yao ya zamani ya kumwabudu mungu wa kweli, wamebaki kufurahia hata ushoga, nchi imejaa ushoga, wakati sodoma na gomorah miji iliyoteketezwa kwasababu ya ushoga hata haipo mbali na Israel, ni maeneo ya Jordan hapo. wapalestina nao wanaabudu wasichokijua na kisichookoa. Tunaomba Mungu asaidie hii vita iishe, kwasababu sio watoto na wanawake tu, bali watu wengi pande zote mbili wanakufa, mno.

Tukijikita kwenye maandiko, miaka hii ni miaka ambayo maarifa yameongezeka sana hata vita vimepiganwa kwa maarifa ya sayansi ya juu. Uonapo mambo hayo jua wakati wa Bwana kurudi umekaribia, kwa mtini jifunzeni tawi likishakuwanyauka na kuchipua mnajua wakati wa mavuno u karibu, walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, yeye atakuja kama mwivi, ila mambo ya vita kama hizi, mashariki ya kati, urusi, afrika n.k ni ishara tosha.

mfalme wa kazkazini atakuja kuungana na mfalme wa mashariki dhidi ya Israel (mfalme wa kazkazini ni Urisi na Uturuki, wakati mfalme wa mashariki ni Iran, china n.k), na ukiangalia, kuna tension hizo sana kuonyesha kuan siku hawa wote watakuja kuungana kwenye zile vita vilivyotabiriwa ambavyo ndio siku za mwisho. Mwenye sikio na asikie.
 
Tukio la October 7 mlishangilia sana.
Nikanyage kwa bahati mbaya, nikulipue kwa makusudi
 
Israel ipo hapo tangu enzi na enzi,ushahidi wa miji na wafalme wao yapo mpaka Leo,haya wewe tutajie mfalme mmoja tu wa wapalestina ili tujue ni kweli sio waarabu waliovamia hapo kutoka Saudi,misri nk.
 
Ni wanafiki hao jamaa acha kabisa,waislamu weusi kwa maelfu wanauwawa hapo sudani lakini kwa kuwa anayeua ni mwarabu yapo yapo tu yanakenua meno.
 
Hamas walifanya hivyo hivyo na wakaambiana Allahu akubaru na haikua 100 ilikua 1000+.
Leo wanapigwa wanaloloma.
Hakukua na msaada wa chakula pale ni strategi tu za kivita wajitokeze wachapwe.
Adui yako mwombee Njaa
kumbe ni strategy za kivita zile. kuua wazee na watoto wanaogombea chakula.
Kama ni hivyo Hamas hakuna sehemu walikosea kwani walikwishauliwa kwa maelfu tangu 1947 .Hata hivyo wao walianza na kwenye kambi kabisa za kijeshi za IDF,
 
Hamas ilishambulia sio Gaza, ni sawa na Al shabaab watulipue hapa Dar alafu eti twende Mogadishu tulipue mahospitali na mashule true watoto na wamama!! Sasa inahusiana nini?
Taqqiya at work. Hamas sio stationery Object hata useme hivyo.
Hata Amin alivamia kagera tu, JWTZ ikamfuata hadi Kampala.
 
Tuoneshe pocha za waliouwawa.. maana picha Drone ya Israel inaonesha hakuna aliyechini yaani aliyezimika.. zaidi ya maigizo yao waislam business as usually Taqiyya.. siku hizi Allah hana pa kujificha wala pa kuonewa aibu.. kikao cha UN kimefanyika kwa ajili ya news hiyo kila aliyeongea kulalamika akiulizwa ushahidi anakaa chini aibu.. kikako kikafungwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…