Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 tutake radhi Carols the jackalUkitaka kumtega mvaa vipedo misuli na makobazi, muekee chakula mbele yake. Anategeka vizuri sana. Wao wanadai kula ni ibada 🤔
Si mlisema wapo kwenye mahandaki, why hamuwasaki huko ila mnapiga mabomu wanawake na watoto wasio na hatia? DuhWatoke sasa hao hamas waende wakapambane kijeshi kama urusi na Ukraine.
Oooh kumbe hata Nyerere angekubali tu ukoloni uendelee sababu wametuzidi nguvuKanuni iko hivi ukiona mvamizi ana nguvu kuliko wewe ishi naye vizuri, ndio yale yale ya Ukraine kukaribisha maadui wa Russia karibu yake.
Mipaka gani?!Uchokozi gani kupigania mipaka yako? Ni sawa na kusema Nyerere alikua mchokozi kumfukuza Idd Amin kagera?
Funzo Kwa hamas, ugaidi haulipiQur’an ilishamaliza kila kitu, Mayahudi na Wakristo hawatakua radhi nasi mpaka tufuate mila zao
Ndio tuyaonayo na kuyashuhudia wakifurahia mauwaji dhidi ya ndugu zetu wapalestina, Iraq, Libya, Afghanistan, Sudan n.k. usiende mbali hapa hapa Tz wasio waislamu wanaishi pamoja na waarabu/waislamu miaka na miaka lakini most of them nyoyo zao bado zimejaa chuki, roho mbaya, ukatili. In short vifua vyao vimejaa chuki.
Wewe una undugu na wapalestina?!🤣🤣Israel hajaanza leo kuuwa elewa hivyo na acheni ushabiki
Nendeni mkawasaidie ndugu zenu wacongo wanaouwana kila siku ndio faida na hasara kutokua na IMANI. Ya wapalestina tuachieni sisi ndugu zao.
Watu huenda vitani kupigania watu wao,ardhi yao. Unapoanzisha vita matokeo yake watu wako wanachinjwa kila siku huku wewe huwezi peleka madhara kama hayo Kwa adui Yako sijui utakuwa unamaanisha Nini.Si mlisema wapo kwenye mahandaki, why hamuwasaki huko ila mnapiga mabomu wanawake na watoto wasio na hatia? Duh
Kwa sababu hiyo ilitakiwa wananchi wa Gaza wawe pamoja na Majeshi ya Israel na washirikiane kuwatambua na kuwaua hao Magaidi wa Hamas. Tofauti na hapo wananchi nao ni sehemu ya magaidi wa Hamas na wanashirikiana na Hamas wapigana na majeshi ya Israel.Hamas ilishambulia sio Gaza, ni sawa na Al shabaab watulipue hapa Dar alafu eti twende Mogadishu tulipue mahospitali na mashule true watoto na wamama!! Sasa inahusiana nini?
Ndio nikauliza mbona Hitler alipowachinja wayahudi million 6 hamkusema ni sababu walijificha? Ila mlisema ni genocide? Au ndio mkuki kwa nguruwe.......?)Sasa hao al shabab wakikimbilia Mogadishu unafikiri tutaenda kulipua wapi? Watakapokimbilia ni kulipua tu iwe hospital shuleni ama popote tu...
Kapeleka vita nani? Hamas waliwavamia walowezi wa kiyahudi wanaoishi ndani ya mipaka ya palestina sasa hapo wamepelekaje vita? Ni sawa na Ukraine wanavyovamia warusi ndani ya Ukraine huwezi sema wamepeleka vita!!Watu huenda vitani kupigania watu wao,ardhi yao. Unapoanzisha vita matokeo yake watu wako wanachinjwa kila siku huku wewe huwezi peleka madhara kama hayo Kwa adui Yako sijui utakuwa unamaanisha Nini.
😂🤣🤣Hao wanaouawa si ndio yale magaidi yalioua watanzania sasa na wenyewe wakiuawa kuna shida gani si ngoja na wenyewe wapate wababe wao, shida iko wapi.
Bravo Israel and may Yahweh bless you and give you more strength to liquidate those satanic terrorists.
Umeshasema wamepigwa na Hamas sasa kwanini wapigwe wanawake na watoto wasiohusika? Sheria za kimataifa haziruhusu hizo otherwise Hitler asingelaumiwa kwa kuchinja wayahudi kama kuku!!Leo wanapigwa wanaloloma.
Acheni kufuru za ajabu, yaani Mungu anayekataza usiue ndio unamuomba awape nguvu za kuua wamama na watoto wasio na hatia?Hao wanaouawa si ndio yale magaidi yalioua watanzania sasa na wenyewe wakiuawa kuna shida gani si ngoja na wenyewe wapate wababe wao, shida iko wapi.
Bravo Israel and may Yahweh bless you and give you more strength to liquidate those satanic terrorists.
Mkuu uzuri historia ya wayahudi na waarabu wa palestina ipo wazi....!!!Kapeleka vita nani? Hamas waliwavamia walowezi wa kiyahudi wanaoishi ndani ya mipaka ya palestina sasa hapo wamepelekaje vita? Ni sawa na Ukraine wanavyovamia warusi ndani ya Ukraine huwezi sema wamepeleka vita!!
Kufukuza mvamizi haijawahi kuwa kosa
Mungu yupi sasa kakataza watu kuua........usifananishe mungu wa kiarabu Allah na mungu wa kiyahudi Yehova.Acheni kufuru za ajabu, yaani Mungu anayekataza usiue ndio unamuomba awape nguvu za kuua wamama na watoto wasio na hatia?
Hao wayahudi unajua wameua waafrika kusini wangapi during genocide? Ndio walikua wanawapa makaburu silaha na pesa kuua watu weusi. Na hakuna mahali Israel watu weusi wanaheshimika, wanatuona masokwe tu nashangaa mnavyojikomba kwao.Si waliwaua watanzania hao????
Acha wapigike........🤣🤣🤣🤣
Na mlikua mnashangilia....ww na Faiza foxy??????