Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Mkuu uzuri historia ya wayahudi na waarabu wa palestina ipo wazi....!!!
Kauli yako ni ARAB,S AND MUSLIMS STATE OF MIND TOWARDS JEW,S......uzuri we dont buy cheap propaganda against jew,s!!!
Wala sio propaganda ni UN resolution ya mwaka 2004 litamka wazi kuwa Israel iondoe walowezi wake ndani ya ardhi ya Palestine hasa westbank.

Nikisema walowezi naona wengi hamuelewi, ni wale waisrael wanaoishi NDANI ya mipaka ya sasa ya palestina. Wapo zaidi ya laki 5 sasa hao wakipigwa risasi mnadai Palestina imevamia Israel?

Ni ajabu sana
 
Hao wayahudi unajua wameua waafrika kusini wangapi during genocide? Ndio walikua wanawapa makaburu silaha na pesa kuua watu weusi. Na hakuna mahali Israel watu weusi wanaheshimika, wanatuona masokwe tu nashangaa mnavyojikomba kwao.


View: https://youtu.be/jrWLEjPLqVg?si=ctr7vksHgANHU6oH

Msikilize huyo kiongozi wa kidini huko kwa wayahudi akituita manyani

Hao waafrika kusini waarabu.........leta picha zao tuone kama ni wabantu?????
Lakini hao waarabu wa gaza wakishirikiana na hao waarabu wa afrika kusini wote memba wa hamas walimuua mollel mchaga.
Acha tulipiwe damu ya mdogo wetu mollel
 
Umeshasema wamepigwa na Hamas sasa kwanini wapigwe wanawake na watoto wasiohusika? Sheria za kimataifa haziruhusu hizo otherwise Hitler asingelaumiwa kwa kuchinja wayahudi kama kuku!!
Ushawahi kukaa na wasilamu?
Mtoto Mwizi anachoma watu visu kuiba wanamlinda.
Na ukute wako 10 humo ndani utachoka.
Hata mafuta ya kula anaiba anapeleka kwao.
Nenda kashtaki.
Ndo hao mnaita wamama na watoto wanauliwa.
No ndio hiyo migaidi miuaji na wazazi wao na watoto wao full Stop.
 
Wala sio propaganda ni UN resolution ya mwaka 2004 litamka wazi kuwa Israel iondoe walowezi wake ndani ya ardhi ya Palestine hasa westbank.

Nikisema walowezi naona wengi hamuelewi, ni wale waisrael wanaoishi NDANI ya mipaka ya sasa ya palestina. Wapo zaidi ya laki 5 sasa hao wakipigwa risasi mnadai Palestina imevamia Israel?

Ni ajabu sana
Sasa kati ya waarabu na wayahudi......nani mkazi wa kwanza pale?????
UN resolution 2004 ndio nn???
Na nani ana haki ya kuwapangia wayahudi namna ya kuishi kwenye aridhi ya mababu zao???
Mkuu hiyo Muslim and arabs cheap propaganda ipo weak,we dont buy it....!!!
 
Hao wayahudi unajua wameua waafrika kusini wangapi during genocide? Ndio walikua wanawapa makaburu silaha na pesa kuua watu weusi. Na hakuna mahali Israel watu weusi wanaheshimika, wanatuona masokwe tu nashangaa mnavyojikomba kwao.


View: https://youtu.be/jrWLEjPLqVg?si=ctr7vksHgANHU6oH

Msikilize huyo kiongozi wa kidini huko kwa wayahudi akituita manyani

Hata waarabu wanawaita nyie Wabantu GAWESH...,..au hujui????
Ndio maana kuanzia unguja,tabora mpaka ujiji na kasongo......waliwafanya nyie watumwa na vijakazi wa kuwazalia kizazi cha machotara.
 
Hao wayahudi unajua wameua waafrika kusini wangapi during genocide? Ndio walikua wanawapa makaburu silaha na pesa kuua watu weusi. Na hakuna mahali Israel watu weusi wanaheshimika, wanatuona masokwe tu nashangaa mnavyojikomba kwao.


View: https://youtu.be/jrWLEjPLqVg?si=ctr7vksHgANHU6oH

Msikilize huyo kiongozi wa kidini huko kwa wayahudi akituita manyani

Sasa kwa waarabu wewe mweusi unadhani unaheshimika.......kama hawatokuita KAFIR...,.......ukiwa muislamu watakuita GAWESH
 
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.

Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.

Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa

Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:


Israel shikilia hapo hapo. Kwani Hamas hawasikii njaa mzee. Walitafuta vita wacha wapewe. Waache kulia. Kama ni wanaume waje front kupigana sio unanificha nyuma ya wake zenu
 
Ushawahi kukaa na wasilamu?
Mtoto Mwizi anachoma watu visu kuiba wanamlinda.
Na ukute wako 10 humo ndani utachoka.
Hata mafuta ya kula anaiba anapeleka kwao.
Nenda kashtaki.
Ndo hao mnaita wamama na watoto wanauliwa.
No ndio hiyo migaidi miuaji na wazazi wao na watoto wao full Stop.
Hukuwahi kutoa point ya maana.
 
Binafsi ninapo kumbuka kuwa hao wa Palestina ni just innocent civilian like me,wanauwawa kila siku huku Dunia mzima inaangalia bila kufanya chochote,Huwa najisemea life is meaningless.

I don't even see the hand of God there helping them.
Mkuu Unalifikiria haliwezi kuwa sawa... Hakunaga vifo visivyo na Sababu so binadamu si kwamba hawana akili kama unavyofikiria... Kaa chini ujue sababu na sio kujitoa akili kama Umetoka msikitini kuswali..

Achieni kwanza Mateka hakuna nchi inayoweza chukuliwa raia wake hadi wageni wake mateka alafu wakuache utape tape tu Allah hu Akbar kisa Allah ni likubwa and halina Spirity litegemee maandamano na news za uongo vita isimame... Dunia ina Sheria zake huwezi kuteka Watoto na Wanawake even Allah alikataza katika uislam.. Nchi za kiarabu zenyewe zinawashangaa Hamas kwa walichokifanya japo walifurahi kama walikuwa ni wababe haswa ila kwa udhaifu wao hawawezi kuwaunga mkono... Kumbuka Kuna watanzania waliwaua na mmoja Maiti wanazishikiria bado..


Na hizi kelele zao nyingi wanataka media zisambae tu ila habari ni za uongo mtupu... ushahidi upo... Aljazeera Qatar ndio ma master wao

Pia kuna nchi kibao za kiarabu zinataka Hamas wafutwe trust me... sababu ya Hamas ni Mafisadi
 
Kitendo cha Israel kupeleka ndege na kuua watu wanaokaribia kufa kwa njaa wakisubiri chakula ni tangazo la wazi la kushindwa vita kwa taifa hilo la kiyahudi.

Ukiondoa ukimya wa mataifa ya kifalme ya kiarabu yanayoongozwa na watu kama mwanamfalme wa Saudia waliokaa kimya,viongozi wa nchi nyingi wamelaani kitendo hicho.

Jumla ya watu 112 tayari wametangazwa kufa katika shambulio hilo la ndege kaskazini ya Gaza.Watu wengine karibu 1000 wameumia vibaya katika shambulio hilo.

Idadi hiyo ya watu ilikuwa imejikushanya karibu na malori machache ya misaada wakati ndege za kivita ziliporuka juu yao na kuanza kuwadondoshea mabomu mazito juu yao.

View attachment 2920933
Sadly indeed!
 
Qur’an ilishamaliza kila kitu, Mayahudi na Wakristo hawatakua radhi nasi mpaka tufuate mila zao

Ndio tuyaonayo na kuyashuhudia wakifurahia mauwaji dhidi ya ndugu zetu wapalestina, Iraq, Libya, Afghanistan, Sudan n.k. usiende mbali hapa hapa Tz wasio waislamu wanaishi pamoja na waarabu/waislamu miaka na miaka lakini most of them nyoyo zao bado zimejaa chuki, roho mbaya, ukatili. In short vifua vyao vimejaa chuki.
Mzee acha kuongea ujinga,huu ulioandika hapa ni ujinga kusema kwamba kuna kitabu kimesema hayo maneno hapo juu ktk bold,na kitabu hicho kama kipo kitakuwa kimeandikwa na mjinga asiyejua ni nini maana ya maisha ya dunia hii.

Kingine acha kulia lia hao unaojifanya kuwatetea hapa wewe wanakuona nyani tu unakufa njaa ktk bara lako hili la giza hutawasikia wakisema neno,ukiindoa imani yangu ya Kikristo hata kama ningekuwa mpagani siioni sababu ya kumchukia muislam nor mwarabu as longer as hajanichukia na hanipunguzii wala haniongezei chochote ktk circle yangu ya utafutaji,kama unaamini unachukiwa wewe ndiye tabia zako ni mbaya jichunguze ubadilike.

Mnaendekeza chuki za kipumbavu kwanini unahisi Muislam wa Tanzania hapendwi na Mkristo wa Tanzania eti kisa wapumbavu fulani hapo Mashariki ya Kati wameamua kupunguzana?ina maana mimi ninapofanya biashara za pesa nyingi na akina Maulid na Amini kutoka Kigoma tena maustaadh wanafanya dhambi kufanya biashara na mimi?unajikuta umesoma kumbe kichwani mweupe.
 
Mazayuni wamemaliza kazi waliojidai itawachua wiki mbili tu? ama bado, Kulikoni? A huelewi?
Sasa na wewe ndiyo umekuja kuandika nini hapa?

Kwa muda uliokaa Jamiiforums na umri wako kwa kukisia kuna baadhi ya tagged inabidi uziache zikupite siyo unakuja kichwa kichwa unaandika upuuzi,wenzako wanalalamika wameuwa sana wewe unauliza hawajamaliza?
 
Back
Top Bottom