Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Israel yaua wapalestina 100 wanaosubiri msaada wa chakula

Mbona Hitler alipochinja wayahudi million 6 hamkusema ni collateral death ila mkaita genocide ilihali Germany ilikua vitani? Ila Israel ikifanyia wengine ndio collateral damage?
Kwahiyo mkuu ulitaka wayahudi wasipigane na waarabu waislamu????
Acha wapigane mbabe ajulikane......sababu wasipopogana waarabu watawafanya kama walivyowafanya wakurdi na wayazidi
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.

Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.

Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa

Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:

 
Kitendo cha Israel kupeleka ndege na kuua watu wanaokaribia kufa kwa njaa wakisubiri chakula ni tangazo la wazi la kushindwa vita kwa taifa hilo la kiyahudi.

Ukiondoa ukimya wa mataifa ya kifalme ya kiarabu yanayoongozwa na watu kama mwanamfalme wa Saudia waliokaa kimya,viongozi wa nchi nyingi wamelaani kitendo hicho.

Jumla ya watu 112 tayari wametangazwa kufa katika shambulio hilo la ndege kaskazini ya Gaza.Watu wengine karibu 1000 wameumia vibaya katika shambulio hilo.

Idadi hiyo ya watu ilikuwa imejikushanya karibu na malori machache ya misaada wakati ndege za kivita ziliporuka juu yao na kuanza kuwadondoshea mabomu mazito juu yao.

View attachment 2920933
Hao ni waarabu memba wa hamas waliovua sare za kijeshi baada ya kuzidiwa.......ambao October 07 walikua wanashangilia na kutembeza maiti za wanawake na wanaume wa kiyahudi adharani........wacha wale kichapo heavy.....!!!!
 
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.

Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.

Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa

Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:


WapaLestina kuua wayahudi ni kupigania haki.Wayahudi kuua wapalestina ni unyama.Inaingia akilini hii?
 
Binafsi ninapo kumbuka kuwa hao wa Palestina ni just innocent civilian like me,wanauwawa kila siku huku Dunia mzima inaangalia bila kufanya chochote,Huwa najisemea life is meaningless.

I don't even see the hand of God there helping them.
Hata wayahudi....October 7 waliuawa na waarabu wa kipalestina hivyo hivyo
 
Qur’an ilishamaliza kila kitu, Mayahudi na Wakristo hawatakua radhi nasi mpaka tufuate mila zao

Ndio tuyaonayo na kuyashuhudia wakifurahia mauwaji dhidi ya ndugu zetu wapalestina, Iraq, Libya, Afghanistan, Sudan n.k. usiende mbali hapa hapa Tz wasio waislamu wanaishi pamoja na waarabu/waislamu miaka na miaka lakini most of them nyoyo zao bado zimejaa chuki, roho mbaya, ukatili. In short vifua vyao vimejaa chuki.
Hata Wakristo Na Wayahudi Mungu wao wa Kiyahudi Yehova kupitia Torati Takatifu na Biblia Takatifu imeshaweka wazi Maarabu na Waislamu watajitahidi kujaribu kuwafanye muwe watumwa wao na sex slave na vijakazi wao.....dawa yao ni kipigo tu ili wasiwazoee.

Hapa Tanzania hasa Zanzbar, Waislamu wanaongoza kwa kuwachukia watu wa dini nyingine....wanatamani wangekua wao tu peke yao nchi nzima.

Nb: Ukiona mtu anatamka neno Mayahudi na sio Wayahudi.....na hataki utamke Maarabu.....ukitamka Maarabu anakasirika....bas unajua mlengo wake
 
Upo kishabiki na kuwatetea kwakua wewe na wao ni kitu kimoja, tofauti yake wewe ni yahudi mweusi na wao ni mayahudi weupe. Soma historia ni nani alieanza kuuwa. Israel pale ni wahamiaji, wameingia na kuikalia ardhi ya wapalestina 1947, hivyo hawajaanza leo kufanya ukatili huu.
Kwahiyo mkuu kwa akili yako unataka tuamini kua wayahudi asili yao pale inaanzia 1947-48????
🤣🤣🤣🤣 MUSLIM,S AND ARABS CHEAP PROPAGANDA,S.....BUT WE DONT BUY IT.
Uzuri historia ipo wazi
 
Qur’an ilishamaliza kila kitu, Mayahudi na Wakristo hawatakua radhi nasi mpaka tufuate mila zao

Ndio tuyaonayo na kuyashuhudia wakifurahia mauwaji dhidi ya ndugu zetu wapalestina, Iraq, Libya, Afghanistan, Sudan n.k. usiende mbali hapa hapa Tz wasio waislamu wanaishi pamoja na waarabu/waislamu miaka na miaka lakini most of them nyoyo zao bado zimejaa chuki, roho mbaya, ukatili. In short vifua vyao vimejaa chuki.
Mkuu kwahiyo hao waarabu wa sudan.....janjaweed ni ndugu zako na wakiua wabantu wenzio wewe unaona sawa......!!

Kwahiyo unafuraia wabantu wenzio kule darfur wakiuawa na waarabu wa janjaweed???

Wabantu wenzio sio ndugu zako....ila ndugu zako ni Waarabu wa janjaweed???

Duuuuh Waafrika wa Tanganyika bora muendelee tu kua watumwa wa Sultan wa Kiarabu aliyejimilikisha visiwa vya Zanzibar 🤣🤣🤣
 
Ndio tuyaonayo na kuyashuhudia wakifurahia mauwaji dhidi ya ndugu zetu wapalestina, Iraq, Libya, Afghanistan, Sudan n.k
Rubbish..
Kule Sudan kwa mfano, ni waarabu wa Janjaweed ambao ni waislamu ndio wanatekeleza mauaji ya kimbari (genocide) dhidi ya wazawa weusi ambao ni waislamu pia.
Tayari waafrika weusi zaidi ya 250,000 washauliwa na zaidi ya 1m wamesambaratishwa hawana makazi na hamsemi kitu kwa kuwa wauaji ni wafuasi wa mudi, ni wenzenu
 
Israel hajaanza leo kuuwa elewa hivyo na acheni ushabiki

Nendeni mkawasaidie ndugu zenu wacongo wanaouwana kila siku ndio faida na hasara kutokua na IMANI. Ya wapalestina tuachieni sisi ndugu zao.
Kwahiyo wakongomani hawana imani za kiarabu basi sio ndugu zako.
Ila waarabu wa palestina ni ndugu zako????
BASI WAACHE WAKRSTO WAWASHABIKIE NDUGU ZAO KIIMANI WAYAHUDI MAANA WOTE WANAABUDU MUNGU WA KIYAHUDI AITWAE EL SHADAI
 
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.

Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.

Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa

Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:


Chombo kinachotoka habari ndio kile kile Cha kulingania dini ya mnyaanzi ambacho wanazuga wamembeba camera kumbe ni mabomu? Hata hivyo Intelijensia ya izrael ni Kali Sana hawafanyi makosa, wewe gaidi ukifanye mgonjwa, Wana wewe, ukifanye daktari Wana wewe, ukifanye mkimbizi Wana wewe, ukifanye aljazira Wana wewe
 
Kama kawaida yao, ukishazoea kuua utaendelea kuua tu.

Wale wanaoitwa Taifa teule wameendelea na kazi yao ya kufanya wanachoweza kwa ufanisi mkubwa. Leo wameua wapalestina masikini 100, wasio na silaha, ambao wana njaa wakati wakisubiri msaada wa chakula. Wanajeshi wa Israel limefyatulia kundi la watu risasi na kuua wapalestina 100.

Haya yakiwa yanafanyika kuna watu wanafurahi, wanapenda, wanachekelea na wanatamani hawa wapalestina wasio na hatia wanedelee kuuawa

Taarifa za hilo tukio unaweza kuipata hapa:


Mmeshauliwa wangapi mpaka Sasa?

IDF wamekuwa wazembe sana; ilitakiwa waue 670 Kila siku
 
Humu naona michango mingi ni ushabiki wa kitoto usio na logic wala reasoning!
 
Back
Top Bottom