Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Amini nakwambia Tundu Antipas Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025Anaenda kuwa Rais wa Jamhuri ya watu wa Jf
Lini alijikaanga?Ata sioni sababu ya kumfungia sauti mtu ambae kila anapopewa nafasi anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
Shida yake ni Magufuli sio kuwatumikia watanzania, wakati Magu mwenyewe ndio kwanza anatafuna mahindi kwenye TV mpaka kuongea anashindwa.
Ana obsession na vitu ambavyo havipo yupo so defensive nani kamwambia atopewa form ya uraisi.Lini alijikaanga?
Kwahiyo mnazidiwa akili hata na Kina Joti? Kwani clip zao mitandaoni zinarushwa na ITV?ITV wametia aibu kubwa
Eti Superbrand, Superbrand my foot
Wanaogopa kurusha maudhui halisi wanamzimia mzungumzaji sauti
Wamenibore kinyama hawa watu!
Kimbilio letu sasa ni vi clip, na hili li dinosaur litaangushwa na tuITV iliondoka na mmiliki wake, kama ccm ilivyo ondoka na mwl Julius
Tumia akili bhasii kwani ACT wakati wanarushwa Live hawakulipwa??? Tatizo sio kulipia tatizo ni Ccm haitaki upinzani usikikee kabisaaa... Dikteta yoyote kamwe hawezi achia vyombo vya habari viwe huruuu ndo haya sasa. ITV hata kwenye habari zao habari za Chadema kuziona kwa tochi sana tena hapo ukute chadema wapo mahakamani au wanashitakiwa kwa Jambo fulani ila sio Mambo Positive ya chadema...Superbrand mafi mafii tuKuonyeshwa live ni mpaka ulipie ,je wamelipia?,wakakataliwa?
Tatizo wakati wajumbe wa CCM wanawanyowa kwa kura sufuri watia Nia hamkuwa makini kuyafuatilia majina ya watia Nia na fani zao, Pasco Mayalla kura moja.Ukiona Taifa hadi vyombo vya habari vina kitete ... basi hilo taifa kinakwenda shimo la tewa!! Ni wajibu wetu kuliokoa.
Jamaa tangu aliwe kichwa kaishiwa pumzi!Tatizo wakati wajumbe wa CCM wanawanyowa kwa kura sufuri watia Nia hamkuwa makini kuyafuatilia majina ya watia Nia na fani zao, Pasco Mayalla kura moja.
Ni DStv tu. Hata makocha wanaokuja kufundisha Simba na Yanga moja ya sharti la mkataba ni kuwekewa DStv na WiFi.Nimeshasema mara nyingi kwamba Wadanganyika tungali ktk dark ages . Yaan nimeshindwa nitazame TV gani objective??
Sasa bado Kuna vichwa pazi ati wanawategemea wanahabari Hawa kwenye Fair play. Maajabu makubwa.Jamaa tangu aliwe kichwa kaishiwa pumzi!
Magufuli anapowaita watu weupe mabeberu unamchukuliaje?Ana obsession na vitu ambavyo havipo yupo so defensive nani kamwambia atopewa form ya uraisi.
Kingine juzi tu hapa tume imetangaza hakuna kufunga ofisi kila mgombea wa ubunge na udiwani apewe form kwenye uchaguzi, yeye bado analalamika tu aamini maagizo yanayotolewa NEC.
Ni kumuacha tu mtu kama huyo kupayuka with time watu wamuone inawezekana hayuko sawa maana anaongea vitu ambavyo havipo, nchi sijui aina marafiki dunia nzima ipo peke yake kisa Magufuli apendwi nje.
Lisu anavyolopoka ni Kama Magufuli tu.Lisu ni mmoja wa Watu risk kwa TV ,ITV walishaponzwa na Chadema kuna siku mchungaji Msigwa walimrusha live akaanza kumporomoshea matusi Naibu Spika Tulia Ackson kitu ambacho Ni kinyume na maadili ya utangazaji wakalipishwa faini mamilioni na TCRA
Lisu hajiheshimu akianza kuropoka aweza ponza chombo Cha habari kikafungiwa ndio maana hata magazeti wanakwepa kaandika anayosema sababu yako kinyume na maadili ya uandishi wa habari .Ukiyaandika Ni at your own risk na hajali hata ufungiwe sawa na mikesi haji mahakamani anakutekezea likesi lako
Yuko so careless when it comes to public speaking .Akili yote huwa anaiacha nyumbani kwake kurusha live Ni kujitakia shida hujui Ni wapi atachomoka na dude lililo kinyume na maadili ya uandishi na kulirusha hewani
Ni ndoto ya badae Sana mkuu, sure! Haiwezi kuwa hata ungealika na walioahidiwa chochote baada ya hapo! Haiwezekani, hiyo Nguvu na ushawishi wa kumwondoa Magu Kwa bongo hii Kwa sasa, hayupo mkuu.Achana na hivyo vyombo vya habari vya Tanzania ndugu. Wanadhani Magu anashinda uchaguZi wa mwaka huu. Wasichojua ni kwamba Tanzania inaenda kushangaza ulimwengu mwaka huu. Fundi Antipas Lissu anaenda kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka huu na wote waliomdhiaki wataenda kumwomba msamaha
Beberu ni mnyonyaji, hana rangi! Yeyote Yule anayefanya kazi za kinyonyoji ni Beberu, hata wewe kama unafanya kazi za kinyonyoji, ni beberu tuMagufuli anapowaita watu weupe mabeberu unamchukuliaje?
Amka bro kumekucha usiote mchana wotee huuAchana na hivyo vyombo vya habari vya Tanzania ndugu. Wanadhani Magu anashinda uchaguZi wa mwaka huu. Wasichojua ni kwamba Tanzania inaenda kushangaza ulimwengu mwaka huu. Fundi Antipas Lissu anaenda kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka huu na wote waliomdhiaki wataenda kumwomba msamaha
Alitia nia kugombea Jimbo gani?Huyo uliyem-tagg mwenyewe alipata kura 1,mpotezee tu alishadata kwny awamu hii.