Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Ata sioni sababu ya kumfungia sauti mtu ambae kila anapopewa nafasi anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe.
Shida yake ni Magufuli sio kuwatumikia watanzania, wakati Magu mwenyewe ndio kwanza anatafuna mahindi kwenye TV mpaka kuongea anashindwa.
Shida yake ni Magufuli sio kuwatumikia watanzania, wakati Magu mwenyewe ndio kwanza anatafuna mahindi kwenye TV mpaka kuongea anashindwa.