Hahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
Kama mmefikia hapo basi hakika Ni wazi vyombo vya habari vimeminywa kwa kiwango Cha Lami.
Nadhani wengi mmejionea kilichotokea katika mkutano wa ACT katika ukumbi wa diamond jubilee pale ambapo Bw Tundu Lisu alipokuwa anahitimisha hotuba yake..
Jamaa ITV wameamua kutoa sauti na mwisho wa siku wametuachia manyoya.
Hakika kila rangi zitaonekana.
RIP Dr Reginald Mengi!
Tutamkumbuka sana mze MengiMambo ya SUPERBLAND hayo mkuu.
Hahah fuatilia kwa umakini utajionea tu mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mzee umeua!
ITV ishakuwa station ya kilofa na kipumbavuNimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.
Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.
Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?
Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi
Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti
Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?
Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu
Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.
Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.
Haya mambo ya ajabu sana
Waziri wake wa Habari pekee kati ya Mawaziri wote ndo ametupwa nje kwenye kura za maoni na wanachama wa CCM wa Jimbo lake na kabila lake pamoja na PhD yake. Good riddance, liende zake!Yaani vyombo vya habari siku hizi vimegeuka nyau kwelikweli
Na huu ni ushahidi kuwa Magufuli kaharibu tasnia ya habari nchini, yaani ITV leo nacho kinakuwa chombo chenye Uwoga wa kurusha tukio kama lilivyo?
Aibu sana hii
HapanaHahaa, kumbe sio Mimi peke yangu nimeona Hili
Sema Tundu Lissu naye itabidi apunguze ukali wa speech zake maana mainstream media zote Sasa zitaogopa kumrusha
Huyo uliyem-tagg mwenyewe alipata kura 1,mpotezee tu alishadata kwny awamu hii.Je, Uchaguzi "huru na wa haki" hauwezi kuambatana na fair access to the media kwa vyama vyote sanjari na fair coverage ya mikutano ya siasa ya vyama vyote?!
Cc Pascal Mayalla
Superbrand gani ya kipumbavu hivyo.Mambo ya SUPERBLAND hayo mkuu.
Hahah hapo ni SUPERBLAND vs SUPERBRAND mzee baba.Superbrand gani ya kipumbavu hivyo.
Hili tukio litakuwa endelevu. Jiandae kulizoea πππππ
Sasa kama anazungumza utumbo unataka waendelee kurusha utumbo wake?Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.
Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani.
ITV wakamzimia sauti.
Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi ya CCM si ni bora mngejiunga kwa Humphrey polepole naye alikuwa Live?
Hizi tabia za kipuuzi za vyombo vya habari nchini kufanya Censoring, wapinzani pindi wakiwa Live zinaudhi, na zinakatisha tamaa, na zinaonyesha kuwa hivi vyombo vya habari havijwezi
Nimeona siku hizi ndo mchezo wa TV za online na hii ITV, yaani wapinzani wakianza kupoint out mapungufu ya serikali hii mnawazimia Sauti
Hivi ITV na heshima zenu zote mmekuwa low kiasi hiki?
Wananchi wanakereka kwa upumbavu kama huu
Kama hamtaki kurusha Live matukio ya wapinzani basi acheni.
Leo ITV wamemzimia Sauti Tundu Lissu takribani dakika tano nzima.
Haya mambo ya ajabu sana
Ni vizuri chadema mkawa na chombo chenu cha habari. Mnalialia mnatia huruma. PoleniKwa hili wamejishushia sana heshma yao katika jamii ni bora hata wasingerusha matangazo haya...hakika hatuna vyombo vya habari aisee
Yule mzee nadhani karma itamuandama hadi vumbini..Waziri wake wa Habari pekee kati ya Mawaziri wote ndo ametupwa nje kwenye kura za maoni na wanachama wa CCM wa Jimbo lake na kabila lake pamoja na PhD yake.
Mnapendwa na wanyonge wa nchi nzima lkn mnakimbilia kuzima speech za watu hahah,kipenzi cha wanyonge bana ni shiida.Ni vizuri chadema mkawa na chombo chenu cha habari. Mnalialia mnatia huruma. Poleni