- Thread starter
- #21
Mh jaji mama Salma Maghimbi, kuna mashauri umeyatolea uamuzi toka mwezi wa 5 lakini mpaka sasa umeshindwa kutoa nakala ya hukumu, drawn order na proceedings.
Tunakuomba utupatie nakala husika kwa ajili ya hatua nyingine. Hivi kweli Mh Jaji DRAWN ORDER doc ya page moja ni ya kuchukua zaidi ya miezi 4 mteja kupatiwa?
Tunaomba nafasi yako usiitumie kuumiza wateja wa mahakama. Kumbuka wewe ni jaji mfawidhi mahakama kuu ya dar. Unatakiwa kuwa mfano kwa majaji wengine unaowaongoza
Tunakuomba utupatie nakala husika kwa ajili ya hatua nyingine. Hivi kweli Mh Jaji DRAWN ORDER doc ya page moja ni ya kuchukua zaidi ya miezi 4 mteja kupatiwa?
Tunaomba nafasi yako usiitumie kuumiza wateja wa mahakama. Kumbuka wewe ni jaji mfawidhi mahakama kuu ya dar. Unatakiwa kuwa mfano kwa majaji wengine unaowaongoza