Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hata mimi kosa la Bashiru sijaliona.
Watanzania sijui tuna pepo gani aisee, sifia sifia hii sijui itaisha lini.
Huku kusifia kila kitu, kule kupinga kila kitu. Mzani haubalance yani.
Wa huku akienda kule nae anaadopt tabia za kule vivyo hivyo sa kule akenda huku nae anasifia kila kitu.
Ni unafiki na ubinafsi tu.
Watanzania sijui tuna pepo gani aisee, sifia sifia hii sijui itaisha lini.
Huku kusifia kila kitu, kule kupinga kila kitu. Mzani haubalance yani.
Wa huku akienda kule nae anaadopt tabia za kule vivyo hivyo sa kule akenda huku nae anasifia kila kitu.
Ni unafiki na ubinafsi tu.